Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutuuu!!! awezee wapiHivi kwa Style hii Sita atamshinda Lowasa?
Thubutuuu!!! awezee wapi
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?
Naona unafurahi sana VURUMAI, mimi napenda haki, sipendi mambo ya kupindishapindisha. Umezisoma kanuni au unakoment kwa ushabiki wa vyma na sio kwa kufuata taratibu zilizopo!!!Sasa kundi lingine linaitwa UkAWA.Hii fujo tupu.Hii pia ndio furaha ya wana JF.hupenda sana vurumai na si maridhiano_
Kwanini Lissu au Prof Safari mmoja wapo hakugombea?Mbowe anaihujumu CHADEMA na Upinzani kwa ujumla ila wengi bado hamjashtuka tu.