Sitta hawezi speed ya sasa viwango na kasi aliyokuwa nanyo ilikuwa ni ya akina malecela na wabunge wengine wasijua taratibu ..................Leo hii Sitta asipoaangalia ndio atakuwa spikaa mwenye historia mbaya ya kushindwa kuendesha Bunge nchini Tanzania.
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?
Sitta hawezi speed ya sasa viwango na kasi aliyokuwa nanyo ilikuwa ni ya akina malecela na wabunge wengine wasijua taratibu ..................Leo hii Sitta asipoaangalia ndio atakuwa spikaa mwenye historia mbaya ya kushindwa kuendesha Bunge nchini Tanzania.
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?
atakuwa anachangia hoja, tena kishabiki badala ya kufanya ufunguzi wa bunge maalum.Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?
Mkuu wewe ni kiona mbali njoo Maryland Bar mwenge nikununulie kinana Baridi Mkuu umeongea point maana hilo bunge Kuna wajumbe wengine walisha wahi kuwa Ma BarMaids so kuwa Control ngum sanaSitta hawezi speed ya sasa viwango na kasi aliyokuwa nanyo ilikuwa ni ya akina malecela na wabunge wengine wasijua taratibu ..................Leo hii Sitta asipoaangalia ndio atakuwa spikaa mwenye historia mbaya ya kushindwa kuendesha Bunge nchini Tanzania.
Haya sasa kumbe six anataka kuliendesha bunge kwa matakwa yake badala ya kufata kanuni... Ina maana six anataka kulainisha mambo kwanza...
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?
Mkuu,athari zake ni hizo zilizotajwa kwamba,mkuu wa nchi akija kufungua baada ya rasimu,atakuwa mchangiaji so ataongea kufuata rasimu itakavyokuwa. Muhimu sana kwanza alifungue bunge then ndo rasimu iwasilishwe. Nadhani hata kwa akili tu ya kawaida,unaweza kujua km huu ni uhuni mwingine unataka kufanywa na six. Hivi warioba akisoma rasimu,kikwete anakuja kuzindua bunge gani wakati litakuwa limeanza kazi..!? Naipenda sana nchi yangu Tanzania.Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?
Naomba kujuzwa hili bunge limeahirishwa mpaka lini?