Soma kwa makini: Dalili zinaonesha kuwa huenda mkataba wa bandari ukasababisha vifo vya watu

Soma kwa makini: Dalili zinaonesha kuwa huenda mkataba wa bandari ukasababisha vifo vya watu

Eti mtu aamke akute amekufa !!!?
Mtu amezoea kwenda bandarini na kurudi na milioni 2 au 3 za bure kila siku, huku mshahara wake akiutumia kwa ajili ya ulevi na kuonga wanawake, afu leo uje umnyang'anye ulaji wake wa bure na umwambie aishi kwa kutumia mshahara wake wa mwisho wa mwezi lazima apate mshtuko wa moyo na kufilia mbali.
 
Ubarikiwe mkuu kwa kuwa na uelewa mkubwa katika swala hili, na kukataa ofa za vocha wanazogawa wazee wa bandari.
 
Serikali ya ajabu sana hii. Kama watu hawataki mkataba si wauvunje kwann wanatumia nguvu kubwa kuwalazimisha watu.
 
Makundi hayo yakifa hakuna atakayesikitika juu ya misiba yao.
Aliye yalea kwa muda mrefu bila ya kuyashughulikia na yeye anatakiwa aungane nayo katika vifo; kwa sababu hayo unayodhani wewe kayafanya kuondoa hayo makundi nayo yanatuingiza katika matatizo makubwa zaidi, 👉 pengine kuzidi yaliyosababishwa na hayo yanayokufa sasa..

Kwa hiyo, katika orodha yako ya vifo, ongeza na hawa wahujumu wanaoweka rehani mali za waTanzania.
Hilo neno pengine unaelewa maana yake. Maana yake ni kitu ambacho mtu anakihisi, ila Hana uhakika kama kipo au kitakuwepo.
Sasa basi wewe hapo umewaza tu kwa upande mmoja wa hasara ila haujawaza kwa upande pia wa faida. I mean sawa sawa na jaji kutoa hukumu kabla ya anaemhukuku hajafunguliwa kesi.

Ulitakiwa pia uandike na upande wa faida kwamba hao DPW huenda wakaleta ufanisi mkubwa bandarini na kusababisha wale wateja wetu kutoka Congo, Uganda, Rwanda, Zambia nk waliokuwa wanapanga kuanza kutumia bandari za Lamu na Mombasa za Kenya pamoja na ile ya Angola wakabadili mawazo na kuendelea kutumia bandari kama kawaida.

Wakenya wanatambua fika kwamba hawa jamaa wakianza kazi kwa kuondoa wizi, uvivu na ucheleweshaji wa mizigo pale bandarini basi zile bandari zao zitageuka masoko ya kuuzia samaki tu. Ndomaana na wenyewe wanaomba Mungu hili swala lisipitishwe na serikali.
 
Hapa mwamba unachanganya madesa, ujuwe wakati wa Magu taifa ilikuwa ni kama nyumba ambayo inababa mkali akisema kitu ukipinga basi utaishia kwenye sandarusi of which yalikuwa nimaamuzi mabaya pia ila hatuna proof japo tulisema yeye alibariki pia. Kwa hili hata tufanyaje haliwezi kubadilika na kama unabisha basi we jitowe kwa niaba yetu shika bango nenda ikuli pale getini kazibe njia ili ufikishe ujumbe tuone kama mama atakusikia. Utakuwa umefanya jambo la maana sana. Pengine nikuulize kati ya mwarabu na mjerumani ungependa yupi arudi?
Mama ashasema kuwa yeye ni dereva mwenye leseni. Anaangalia mbele tu ili afikishe abiria wake Salama.
Kamwe haangalii nyuma wala pembeni akaja kumwaga abiria.
 
Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
Kundi la tano la machawa wa DP world...HIMARS, GUSSIE, choiceVariable, Faizafoxy, covax!!!
 
Lisu; Wanaotetea mkataba wa DPR World ni Hawana Akili(HAMNAZO) au WAMEHONGWA.
 
Ulitakiwa pia uandike na upande wa faida kwamba hao DPW huenda wakaleta ufanisi
"Wewe ni Dudumizi" na ninakufahamu sana na takataka zako nyigi humu JF, ikiwa ni pamoja na hii.

Unapoona mimi kutumia neno, "pengine" na kuhoji maana niliyolenga; halafu katika pumzi ile ile na wewe kwa kukosa akili, unatumia neno kama lile lile "huenda"!

DP World kwa kazi atakayofanya kuendana na yaliyobainishwa kwenye IGA hana faida yoyote kwa Tanzania. Sasa wewe mtu mwenye akili za mdudu unataka kulazimisha nione faida huko?

Jaribu kutumia akili yako vyema katika maswala haya. Hapa hakuna cha malumbano, tunapigania haki ya nchi yetu na sisi wenyewe.

Ninasisitiza tena, makundi yanayotakiwa vifo viyaandame ni pamoja na hili linalotuingiza kwenye mikataba mibovu.
 
Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
Imewakata wajinga wakijazwa upepo harafu Wanapokula wamejificha Twitter basi Wacha wale chuma kama kule Ngorongoro..
 
Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
Emeritus Prof.Shivji,Warioba,kadinali Pengo,Padre Kitime wapo group gani hapo?
 
"Wewe ni Dudumizi" na ninakufahamu sana na takataka zako nyigi humu JF, ikiwa ni pamoja na hii.

Unapoona mimi kutumia neno, "pengine" na kuhoji maana niliyolenga; halafu katika pumzi ile ile na wewe kwa kukosa akili, unatumia neno kama lile lile "huenda"!

DP World kwa kazi atakayofanya kuendana na yaliyobainishwa kwenye IGA hana faida yoyote kwa Tanzania. Sasa wewe mtu mwenye akili za mdudu unataka kulazimisha nione faida huko?

Jaribu kutumia akili yako vyema katika maswala haya. Hapa hakuna cha malumbano, tunapigania haki ya nchi yetu na sisi wenyewe.

Ninasisitiza tena, makundi yanayotakiwa vifo viyaandame ni pamoja na hili linalotuingiza kwenye mikataba mibovu.
Inasikitisha kuona wazazi wako wamekuzaa alafu wanaharakati uchwara ndio wanaopata faida ya kukutumia bure bila malipo.

Nakushauri uendelee kupambana hapa hapa JF huenda wale wazee wa bandari wataona juhudi zako na kukufikiria kama wanavyowafikiria chawa wengine. Siku zote chizi hujiona ni timamu, na watu timamu ndio humuona kuwa ni chizi. Kwahiyo sishangai kwa wewe mwenyewe kujiona wewe ni timamu, huku sisi tukikuona ni chizi. Ukitaka kujua kuwa unatumiwa na wanaharati uchwara angalia uwasilishaji wa ulichoandika ni ule ule wanaoutumia wanaharakati uchwara kwa kuwahadaa watu kwamba mkataba una mapungufu, lkn hawauweki hapa ili wenye akili tuyaone hayo mapungufu.

Ila siwalaumu hao wanaharakati uchwara maana wao wapo kazini kupigania matumbo yao na ya familia zao, huku wewe ukitumiwa kama daraja ili wakukanyage wapite na kuelekea kule wanapotaka kufika kwa faida zao na mafanikio yao.

Wanaharakati uchwara wamekuwa wakitumia ujinga wenu kwa manufaa yao. Mfano mwaka 2008 hadi 2014 walitumia ujinga wenu kuwahadaa kisiasa mkaambiwa Lowasa fisadi na nyinyi mkapanua midomo wao wakaukwaa ubunge na kutafuna mamilioni ya ruzuku bila kuwasaidia chochote. Mwaka 2015 baada ya kugundua kwamba nyinyi ni misukule yao ambayo hamna uwezo wa kuhoji lolote kutoka kwao wakawageukia na kusema Lowasa sio fisadi nyumbu mkaingia tena barabarani kumpigia deki bila kuhoji lolote, jamaa wakakwaa tena viti vya wabunge kibao huku nyumbu mkikosa hata hela ya kununua sindano.

Sasa wamekuja tena na gia ya bandari nyumbu mmeingizwa tena mkenge kwa kelele tu bila kuoneshwa mkataba wenyewe.

Wao washavuta chao kutoka kwa wazee wa bandari, huku wewe ukiendelea kufanywa tena daraja. Mimi sidanganywi kizembe na hiyo ofa yao ya vocha mtaipiganie nyie ambao mpo tayari kuuza utu wenu sababu ya njaa zenu.
 
Inasikitisha kuona wazazi wako wamekuzaa alafu wanaharakati uchwara ndio wanaopata faida ya kukutumia bure bila malipo.
Sihangaiki tena na takataka hizi, nishajieleza vya kutosha kwako, na ninajua umenielewa barabara.

Hayo uliyoandika huko chini sina muda wa kupoteza nayo.
 
Lisu gani yule aliesema Lowasa fisadi anastahili kuwa jela, au yule aliesema kuwa Lowasa sio fisadi alafu akampigia deki apite?
Lisu; Wanaotetea mkataba wa DPR World ni Hawana Akili(HAMNAZO) au WAMEHONGWA.
 
Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
WAATHIRIKA NI WENGI SANA MPAKA WENGINE WAPO KWENYE TAASISI ZA DINI , AMBAO BANDARI ILIKUWA KAMA CHAKA LAO WAJIANDAE KUUMBUKA MCHANA KWEUPE.
 
Back
Top Bottom