Soma mkasa unitesao akili yangu

Huwa tunatoa taarifa mapema siku hatari ili. kama. unajali umwage nje lakin ukimwaga ndani tunajua au ukijidhihirisha umeshindwa
 
Huwa tunatoa taarifa mapema siku hatari ili. kama. unajali umwage nje lakin ukimwaga ndani tunajua au ukijidhihirisha umeshindwa
Kumwaga Nje
Kuloweka Nongwa
 
Kuna member alikuja na uzi "vijana msioe" kama sijakosea sana.

Daah!! Inakatisha tamaa sana ila ndiyo hivyo tutafanyaje ambao hatujaoa? Tutaoa kinyonge sana.
 
Eeehh
Kitanda hakizai haramu maadam uyo binti mwnywe alikubali kuliwa hatuna kitu tunaweza fanya

Tayar mkuu
Yes vizuri.
Inapendeza ukiwa unapita na kutoa mawazo yako, mchango wako wa kimawazo ni muhimu sana.
 
ktk uchunguzi wangu, aliyemwoa ndie anamlipia kodi ya nyumba pamoja na ada. kiukwel hii kitu inaniumiza kichwa sana. nafikiria sasa kama relation ndio hivi ata nisioe kabisa.

mnasoma Chuo gani na huyo dem wako?
 
Dogo yani kula mara moja tu ndio utupe gazeti lote hili? Ungekula mwaka mzima si ungeandika kitabu.
 
Wacha utotot wa kitahaira huo!! unasikia??? wewe relux si umesha mla sasa je??? kwanz aamekupa nafasi utafute kitu kipya hata mdogo wake rhuksa!!!
awe na mimba asiwe nayo atajiju!!!
kula raha sahau..... km ipo watakutafuta wao!! siyo kosa lako nyambaf!
 
Watoto wetu wa miaka hii mmekuwa wajinga sana hii post imejaa ujinga na utoto mwingi mpaka najuta kuisoma
 
Wanawake wana akili sana kaka usichukulie kirahs rahs
 
Kaa naamin humo simo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…