SOMA: Namna BIBLIA ilivyotabiri kipigo cha GAZA na Majirani zake, na namna GAZA ilivyokuwa ikisurubiwa toka enzi za manabii

Quran 5 21, Quran 17:104, Quran 26:5 zote Allah anasema nchi iliyokuwa inamilikiwa na Mashujaa makafiri Makanaani aliwapa Waisrael wakae, Sasa wewe uko kinyume na Allah ambaye kwenye Aya hizo anawaita Waisrael waja wake.
 
Huko kuning'inizwa ndiyo ukombozi wenyewe, bila damu kumwagika tusingekuwa na neema hiyo, ndiyo maana tukiliita jina la YESU kila kitu kinasema NAAM, walitundikwa wengi lakini yeye ndiye mwanzo ,Leo, kesho na milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…