Soma orodha ya viongozi waliofanya vizuri 2023. Wa upinzani pia wamo

Soma orodha ya viongozi waliofanya vizuri 2023. Wa upinzani pia wamo

Ukiachia Abdul, Hawa wengine umewataja ili wakuhonge ?
Kitila?
Makamba?
Mwigulu ? Sasa tunaelekea kwenye hyper inflation.
Nape naye Yuko kwenye watu wachapa kazi? Hivi wewe utakua MTU wa namna gani?
Mume wako atakua na shida Sana.
 
Kuna Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba DC ni mama anaitwa FATINA LAAY huyu ni mtu na Nusu, mama mwenye hekima na Busara za hali ya juu. Natamani viongozi wote wa CCM wangejifunza kutoka kwake. Kwa umri wangu nilio nao nimewaona wakurugenzi na viongozi wengi lakini hakika huyu amezidi wote kwa utendaji wake mzuri. Ni kweli hakuna aliye mkamilifu lakini kwenye kipengele cha kutenda haki bila kujali huyu mama kwangu ni namba moja. Mtoa mada naomba na huyu mama umeongeze kwenye orodha yako.
 
Kwa mamlaka niliyojipa nimeona nitoe orodha yangu ya viongozi nilioona wamefanya vizuri majukumu yao kwa taifa. Hii orodha inajumuisha viongozi kutoka upinzani pia. Sijamweka Mama Samia kwasababu isingewezekana viongozi wa chini yake kufanya vizuri kama yeye mwenyewe asingekuwa anaupiga mwingi. List ni kama ifuatavyo;

1. Ummy Mwalimu - Waziri wa afya

2. Mwigulu Lameck Nchemba - Waziri wa fedha

3. Chalamila - RC Dar es Salaam

4. Alberto Msando - DC Handeni

5. Januari Makamba - Waziri wa mambo ya nje

6. Cecilia Paresso - Mbunge viti maalum CHADEMA

7. Nape Nnauye - Waziri wa mawasiliano

8. Hawa Bananga - Mbunge viti maalum CHADEMA

9. Abdul Nondo - Kiongozi wa vijana ACT

10. Jumaa Aweso - Waziri wa maji
Viwango vya watanzania ni vya chini sana
 
Back
Top Bottom