Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
- Thread starter
- #21
Asante sanaKuanguka chini inaweza kuwa ni ajari ila kulialia na kuendelea kukaa hapo chini ni choice
Changanya na za kwako...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sanaKuanguka chini inaweza kuwa ni ajari ila kulialia na kuendelea kukaa hapo chini ni choice
Changanya na za kwako...
Pole sana kaka, tambua kuwa changamoto ni sehemu ya maisha. Kila jambo hutokea kwa sababu zake, usiogope, pia jifunze kupokea dissappointment; maisha yana mambo mengi sana.. na kimsingi dunia imejaa changamoto kuliko mtelezo.Wapendwa wanajf habari za usiku.
Leo akili imetulia nimeona nitoe simulizi fupi ya jinsi nilivyoweza kupoteza tsh 1.8M.
Mara baada ya kugraduate pale SUA na (BSC GM) Na kushindwa kupata temple nilijichanga katika kazi mbalimbali kama nyuzi zangu baadhi za nyuma zilivyoelezea mishemishe zangu ikiwemo shughuli za mchanga,tofali na tuition centre.
Kwa mwaka 2020 nilifanikiwa kukusanya kiasi cha shil milion 2 na laki 4 na niliamua hii pesa isikae benk tu kwavile bado naendelea kufight na mambo mengine bas niliamua kufanya biashara ya bodaboda.
Nilinunua bodaboda iliyokaribia kuisha kwa mkataba kwa tsh1l 1.8M na kumkabidh mtu aendeshe kwa makubaliano tuliyoafikiana. Nilkua namfaham lakini nilikua simjui sana kiundani na ndugu zake sana nilikuwa siwafaham sana.
Nadiriki kusema nimeweza kupewa mrejesho wa sku 10 pekee na mda huu navyoongea zimepita takribani wiki 3 sijaweza kuonana wala kuwasiliana na dereva wangu,polisi nimeripoti kwa kufata taratibu lakin sion matumaini ya kupata chombo changu, sijui mwenzangu ni mzima au ameaga dunia, nimejarbu kufatilia watu wake imeonyesha ni mhamiaj katika maeneo ya mkoa niliopo.
Nawaza sana ,nimeweza kupoteza pesa niliyoitafuta kwa jasho sana ndani ya mwaka mmoja, nikiri sikuweza kulala kwa siku 2 mfululizo,. Nimeamini hii dunia haina huruma.
Kuna muda nawaza ile ela bola ningeweka tu ,kuna muda nawaza sana nikiona mtu anaongelea pesa tu nawaza zile pesa zangu, nmebaki na kias cha laki 5 kwenye akaunt yangu nawaza lini nitafika tena kwenye milioni mbili na laki 4.
Kuna muda hua nawaza sana nikifikiria njia ngumu nilizoweza kupata hii pesa ,na njia rahs ilivyoweza kupotea hii pesa,kuna muda niliona haya maisha hayana maana, na kupitia huu mkasa i was so harsh, niliweza had kuseparate na mtu wangu ,ok ni hayo tu nimeona nishare nanyi wakubwa.
Muwe na usiku mwema.
Wakati ule tunapayuka humu kuhusu kilimo cha mihogo ukaona tunademka eh😅!Kwenye harakati za utafutaji kupoteza ni sehemu ya maisha.
Jambo ka msingi ni kupambana kupunguza risk za kupoteza.
Mimi nilifanya kazi za usiku, nikakusanya zaidi ya 1M nikaenda kulima mihogo huku Kibiti. Haikurudi hata 100.
So, ni kawaida tu.
Ni muda, ni 2019.Wakati ule tunapayuka humu kuhusu kilimo cha mihogo ukaona tunademka eh😅!
Ndo yaleyaleeeeeWhat doesn't kill you...makes u stronger!
Amka uendelee na safari...
Asante sana mkuuMkuu pole sana,Ila kukosea Ni kujifunza so don't give up,Naomba nikushauri pesa unayopata kwa muhanga au unayoitegemea usimpe mtu akutunzie au akuzalishie utakuja juta,as long as bado unatafuta tumia muda wako kusimamia biashara zako mwenyewe,usimuamini mtu kwenye pesa sio Nabii,padri Wala shekhe wengi wetu dhaifu kwenye Jambo linalohusu pesa.Pole sana
Asante sanaUtafutaji ni vita, kuna kupigwa na kuna kupiga, ila mafanikio hayaji kwa kurudi nyuma na mpiganaji anayepigana vita kwa kurudi nyuma hajawahi kushinda vita,akirudi nyuma, karudi nyuma kujipanga na mapambano., pesa uliopoteza itumie kama funzo kwa kurekebisha ulipokosea na nini ukifanye ili kosa kama hilo lisije likatokea tena kwako.
Mkuu, mazingira na muda haukuruhusu basi tu hata nikielezea ilivyokuwa ni kama maajabu yalipangwa kufanyika Siku hiyo.Uliwezaje kupanda daladala na kiasi chote hicho mkuu? Hapo ulijitakia.
Ndo yaleyale niliyoandika kwenye uzi wangu wa leoMimi naogopa sana kufanya biashara ambayo mimi sio mtendaji .. waswahili wananiogopesha sana
Sasa mkuu unataka alale kitandani mwezi analia kisa kaibiwa?Ndo yaleyaleeeee
Pole..ndo muda huo huo...Ni muda, ni 2019.
Pole sana mkuu. Huo mtihani wa marejesho ni mzito sana.Mkuu,mazingira na muda haukuruhusu basi tu hata nikielezea ilivyokuwa ni kama maajabu yalipangwa kufanyika Siku hiyo.
Nairejesha taratibu lakini bado ni swala limefanya akili yangu isiwe sawa.
Mzee mimi nikiwa chuo nlichapwa zaidi ya mls 2 tena boom za watu kama sita. Halafu nilichapwa kibwege sana. Yani nilichukuliwa mpaka RB. Chuo ilikuwa ni shida nashukuru Mungu nliishi kwachale polisi hawakunikamata, Mungu akaja kunipa kazi nikiwa likzo ambayo likzo ya mwez niliingza kama mls 4 nikawalipa wote na chenj ikabaki nikarudi chuo nikiwa mnene.Mi nilichapwa 1M mzee baba na haikuwa yangu you can imagine nilikuwa na wakati mgumu kiasi gani
Pole mm pia iliwahi nitokea 5M ilipotea hivyo hivyoMie niliibiwa kwenye daladala 6.4 M mwezi uliopita tena ya Ofisi,nikitembea nahisi moyo unachomoka nikikaa nahisi hivyo hivyo ni mateso ambayo sijawi kuyapitia toka kuzaliwa kwangu.