Soma unaweza jifunza kitu: Jinsi graduate nilivyopoteza 1.8M niliyoitafuta kwa jasho

Wapo mkuu lakin upractive in a large scale.....yes hao wengjne ndo wanatajarika haswa...masuala ya kusema ulime 5 acres bora hela uiache bank..unahangaika wee.jnakuja pata faida 400k!arghhh
Ukitaka kupata hela kwenye kilimo, uwe mfanyabiashara au dalali. Kuwa mkulima maana yake unawatengezea watu hela kupitia wewe.
 
Kwenye harakati za utafutaji kupoteza ni sehemu ya maisha.

Jambo la msingi ni kupambana kupunguza risk za kupoteza.

Mimi nilifanya kazi za usiku, nikakusanya zaidi ya 1M nikaenda kulima mihogo huku Kibiti. Haikurudi hata 100.

So, ni kawaida tu.
Hata nashamba pwani kusafisha tu pori milioni ikapotea mda wa kupanda nimemaliza mvua ikakatia njiani hata kumi sikupata,hadi leo ni shamba pori nimeuza haliuziki atakale hata bure tampa ni heka 10.
Tunasaka pesa kwa mateso Sana lkn hazina huruma zipoteapo
 
Kwenye harakati za utafutaji kupoteza ni sehemu ya maisha.

Jambo la msingi ni kupambana kupunguza risk za kupoteza.

Mimi nilifanya kazi za usiku, nikakusanya zaidi ya 1M nikaenda kulima mihogo huku Kibiti. Haikurudi hata 100.

So, ni kawaida tu.
Hata nashamba pwani kusafisha tu pori milioni ikapotea mda wa kupanda nimemaliza mvua ikakatia njiani hata kumi sikupata,hadi leo ni shamba pori nimeuza haliuziki atakale hata bure tampa ni heka 10.
Tunasaka pesa kwa mateso Sana lkn hazina huruma zipoteapo
Asante mkuu ,sitokata tamaa
Maisha ni harakati hata ukiacha kupambana utalazimishwa na nature kupambana.
Nimepoteza pesa nilichoambulia ni experience tu yaani kununua uzoefu wa maisha ya kupambana kwa milioni 200.Nabaki nayakumbuka tu maneno ya mzee wangu mwanangu jenga majumba ya kupanga tu hata kama za simpo simple utokosa wapangaji utolala njaa achana na mabiashara,leo ndo nayakumbuka huku pesa zimekata.
 
Aisee pole sana
 
Kwenye harakati za utafutaji kupoteza ni sehemu ya maisha.

Jambo la msingi ni kupambana kupunguza risk za kupoteza.

Mimi nilifanya kazi za usiku, nikakusanya zaidi ya 1M nikaenda kulima mihogo huku Kibiti. Haikurudi hata 100.

So, ni kawaida tu.
Mkuu ungefafanua kidogo hilo la mihogo kukupa hasara, ninavyojua mihogo ni zao linalolimika kwa wepesi kuliko mazao mengine, ila usioteshe tu kipindi cha kiangazi.
 
Hii sanaa tunatakiwa kujifunza. Ni ngumu lakini ni lazima uone jinsi ya kuweza kufanya. Unatakiwa ujifunze kuajiri watu wasio ndugu zako kwenye mishe zako. Wazungu wanasema OPT yaani other people time unatakiwa uweze ku laverage hii. This is an art worth to be known.
 
Mkuu Acha aibu hii.. wacha kulilia 1.8M, anyways mara kibao huwa nakumbusha tu.. Boda sio Biashara ya kuwekeza.
Nna jamaa angu anafanya hii shughuli mwaka wa nne huu na ziko tano mpaka sasa. Kila kitu ni namna unavyokisimamia.
 
Ukipoteza milioni au milioni 10 kwenye biashara na unalia mtaa mzima.Kumbuka wapo waliopoteza zaidi ya milioni 200 ktk utafutaji na wapo happy tu wakiamini ipo siku zitarudi zote
 
Nna jamaa angu anafanya hii shughuli mwaka wa nne huu na ziko tano mpaka sasa. Kila kitu ni namna unavyokisimamia.
Anapata Return nzuri.. huenda... by the way mtu mwenye 2M simshauri awekeze kwenye Boda
 
Siku nyingine mwanangu ukipata fedha usiwekeze kwenye vyombo tegemezi kama vyombo vya moto vya usafirishaji. Hebu fikiria una chombo chako trafiki anakigeuza chake kwa kukupiga mabao ukiachia mbali dereve kukuibia hata kwenye kukiktumia vibaya hata kuchomoa vifaa. Heri hiyo fedha ungelimia hata bamia ungerejesha fedha yako bila presha. Jifunzeni kuwa watukutu kidogo. Haya mabiashara ya kuigiziana wakati mwingine yana maumivu mwanangu. Kama imeshindikana si angalau ungeendesha lau mwenyewe ili ujue kiasi kinachoingia na challenge za biashara yenyewe kuliko kumwamini mjuba usiye hata mjua.
 
Asante mkuu
 
Mkuu ungefafanua kidogo hilo la mihogo kukupa hasara, ninavyojua mihogo ni zao linalolimika kwa wepesi kuliko mazao mengine, ila usioteshe tu kipindi cha kiangazi.
Kiangazi kilichangia, maana mihogo iliota hapa na pale sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…