Soma upate mawili matatu: Mhitimu mambo ninayopitia kipindi hiki katika harakati zangu

Soma upate mawili matatu: Mhitimu mambo ninayopitia kipindi hiki katika harakati zangu

una genetics za Kiduku lilo... hakuna asiyependa kujiajiri na kujisimamia, somtmes circumstances zinakuwia vgumu. na kama hujapata kaxhkaxh za kujikwamua kimaixha, umetengenezewa ulaji na kaka au mjomba, You r lucky. Si buxara pia kujibust kwa mafanikio yako mbele ya muhangaikaji, unazidi kumkatisha tamaa.
Sijui kwanini tunakuaga na mawazo Hasi kwa waliofanikiwa ..hivi huoni inampa Ari mwingine ajie kila kitu kinawezekana?? Mbona mna mind mbovu Sana jamani?
 
Nikifikiriaga maisha ya chuo, najiona nilicheza Kama pele. Sijawahi kuonja hata sek 1 ya u-jobless. Nimefika tu home (mkoani kwa broo alipokuwepo, siku hiyo hiyo nikakabidhiwa mradi tuliouanzisha kwa pa1 kipindi nipo miez ya mwisho mwisho ya chuo, nikaanza kazi siku hiyo hiyo, Hadi Leo mm ndo CEO, MANAGER, MSIMAMIZI, n.k wa mradi huo.

Sitafuti hela ya kula, bali hela ya kupiga hatua kimaisha.

Kula, kulala, kuvaa na bill Kama Kodi, umeme n.k Ni uhakika nabak nasotea hela ya kupiga hatua kimaisha.

Asante Mungu Mkuu
Kama una connection muunge mwamba hapo
 
Nikifikiriaga maisha ya chuo, najiona nilicheza Kama pele. Sijawahi kuonja hata sek 1 ya u-jobless. Nimefika tu home (mkoani kwa broo alipokuwepo, siku hiyo hiyo nikakabidhiwa mradi tuliouanzisha kwa pa1 kipindi nipo miez ya mwisho mwisho ya chuo, nikaanza kazi siku hiyo hiyo, Hadi Leo mm ndo CEO, MANAGER, MSIMAMIZI, n.k wa mradi huo.

Sitafuti hela ya kula, bali hela ya kupiga hatua kimaisha.

Kula, kulala, kuvaa na bill Kama Kodi, umeme n.k Ni uhakika nabak nasotea hela ya kupiga hatua kimaisha.

Asante Mungu Mkuu
Kizibo hii comment haikuwa mahali pake.

Yaani unamkuta mwenzako ana njaa ana lia njaa wewe unaanza kusema "mimi sijui njaa ikoje, sijawahi kuwa na njaa, kila siku ni kula bata kwa mbele kila siku kwangu sherehe, hivi hiyo njaa ikoje jamani"

Mtu mzuri ni yule anayejua nini cha kuongea na wapi.

By the way mr CEO ingekuwa vyema ungetoa connection.
 
Kizibo hii comment haikuwa mahali pake.

Yaani unamkuta mwenzako ana njaa ana lia njaa wewe unaanza kusema "mimi sijui njaa ikoje, sijawahi kuwa na njaa, kila siku ni kula bata kwa mbele kila siku kwangu sherehe, hivi hiyo njaa ikoje jamani"

Mtu mzuri ni yule anayejua nini cha kuongea na wapi.

By the way mr CEO ingekuwa vyema ungetoa connection.

SAA ingine nikiona wanafunz wanaenda shule, mm naona kama wanaenda kupoteza muda, kwasababu ajira Hamna, sema ukiongea ukweli huo humu jf watu wataanza kukupa pole kwa unayopitia amu
 
Kizibo hii comment haikuwa mahali pake.

Yaani unamkuta mwenzako ana njaa ana lia njaa wewe unaanza kusema "mimi sijui njaa ikoje, sijawahi kuwa na njaa, kila siku ni kula bata kwa mbele kila siku kwangu sherehe, hivi hiyo njaa ikoje jamani"

Mtu mzuri ni yule anayejua nini cha kuongea na wapi.

By the way mr CEO ingekuwa vyema ungetoa connection.


Mkuu naona Ni Kama una stress. Umesoma comment vzr wewe?? Nimesema na mm Ni graduate, sijaonja hata sec. 1 ya u-jobless kwa sababu nilikuwa mwoga wa maisha Baada ya chuo, nilichokifanya nikajichanga kwa kujinyima ili nitoke na mtaji wa kunzia maisha.

Mkuu utakuta eti na wewe una demu?? Una mmomonyoko wa ubongo mkuu
 
PHASE......01

Nina swali moja

Hizi ishu zote unazofanya kusomesha tuition, kubeba mchanga kuna lengo umeliweka mf:- tuition kuja kufungua shule yako/kutafuta Mtaji wa kufanya kitu au unafanya kwasababu ndio ujapata hiyo ajira.


PHASE..........02

AJIRA jina kubwa linalotisha likitamkwa ila si kwakila mtu, muhasibu, HR, Doctor, Engineer and something like wana haki yakupaza Title ya ajira kuwa yenye kutisha ikitajwa kwasababu ILA si kwa mwalimu....mwalimu mwalimu.


PHASE................03

Degree zinawaaibu sana Graduates, walioishia lasaba wanaona wakishindwa maisha sawa ila wakimuona Graduate kashindwa maisha hawamuelewi wanampiga pressure za kila namna I.e kasoma lakini anamaisha kama sisi.
PHASE 3…........…

Hao ndio wanafanya magraduate wengi wanajifungia ndani...............

Au labda mtu ahame mkoa aende mbali aanze upya
 
Back
Top Bottom