Nikifikiriaga maisha ya chuo, najiona nilicheza Kama pele. Sijawahi kuonja hata sek 1 ya u-jobless. Nimefika tu home (mkoani kwa broo alipokuwepo, siku hiyo hiyo nikakabidhiwa mradi tuliouanzisha kwa pa1 kipindi nipo miez ya mwisho mwisho ya chuo, nikaanza kazi siku hiyo hiyo, Hadi Leo mm ndo CEO, MANAGER, MSIMAMIZI, n.k wa mradi huo.
Sitafuti hela ya kula, bali hela ya kupiga hatua kimaisha.
Kula, kulala, kuvaa na bill Kama Kodi, umeme n.k Ni uhakika nabak nasotea hela ya kupiga hatua kimaisha.
Asante Mungu Mkuu