Mwaka Wa Uchaguzi Huu Usilaumu Kila Mtu Wengine Ni Wa Tia Nia Huko Na Mambo Mengi Sana Bado 😀😁😂Mkuu naona Ni Kama una stress. Umesoma comment vzr wewe?? Nimesema na mm Ni graduate, sijaonja hata sec. 1 ya u-jobless kwa sababu nilikuwa mwoga wa maisha Baada ya chuo, nilichokifanya nikajichanga kwa kujinyima ili nitoke na mtaji wa kunzia maisha.
Mkuu utakuta eti na wewe una demu?? Una mmomonyoko wa ubongo mkuu
Nashukuru kwa kuwajibu mkuuJina hilo linatumika tu humu jf lakini halina uhalisia na maisha yake
una genetics za Kiduku lilo... hakuna asiyependa kujiajiri na kujisimamia, somtmes circumstances zinakuwia vgumu. na kama hujapata kaxhkaxh za kujikwamua kimaixha, umetengenezewa ulaji na kaka au mjomba, You r lucky. Si buxara pia kujibust kwa mafanikio yako mbele ya muhangaikaji, unazidi kumkatisha tamaa.
Ni kweli mkuu. Sasa mheshimiwa, Mkurugenzi, mkuu na CEO je kwenye kampuni yako kuna kazi hapo watu tuje kuomba?Ona hii kunguni!!!!!
Nyie ndo wale mnaokaa mnasubiri miujiza!! Mkuu labda tu nikwambie,NILIANZA KUTOAMINI KATIKA VITU KAMA NYOTA, MIUJIZA, SIJUI BAHATI nikiwa chuo Baada ya kuanza Kusoma vitabu, nikakutana na hii statement iliyobadilisha maisha, naomba kkunukuu
"There is a law of cause and effect. Nothing happens by chance or miracle. Every thing that happens has it's cause. Even those things you see as miracles it is because their causes are beyond your understanding and consciousness. So if you want something to happen, make sure you you cause them to happen, and those who will see the results to your causes will consider you to be lucky"
Mkuu ujue kuwa nilijichanga Sana na Yale maboom, nilikuwa naishi maisha Yale kuonekana HUNA SWAGA, nimekula Sana mihogo ili tu nisave hela. Hivi unapoambiwa kujichanga unaelewa??
[emoji1787] [emoji1787] Maandishi yako yanaonyesha jinsi ulivyo.Mkuu naona Ni Kama una stress. Umesoma comment vzr wewe?? Nimesema na mm Ni graduate, sijaonja hata sec. 1 ya u-jobless kwa sababu nilikuwa mwoga wa maisha Baada ya chuo, nilichokifanya nikajichanga kwa kujinyima ili nitoke na mtaji wa kunzia maisha.
Mkuu utakuta eti na wewe una demu?? Una mmomonyoko wa ubongo mkuu
Graduate wanatakiwa kutengeneza ajira na kuajiri wengine.SAA ingine nikiona wanafunz wanaenda shule, mm naona kama wanaenda kupoteza muda, kwasababu ajira Hamna, sema ukiongea ukweli huo humu jf watu wataanza kukupa pole kwa unayopitia amu
Asante mkuuMkuu maisha ni tofauti sana ,naamini utafanikiwa maana umeshanza kupiga hatua
NimekuelewaHuna Focus, hilo tuu ndilo linalowaumiza vijana wengi wa Kiafrika. Siku ukiwa na Focus maisha yatakunyookea, usipokuwa na Focus maisha yatakupeleka peleka yatakavyo
Nimekuelewa
Watu tumetifautiana mkuu binafsi napenda nikutane na watu successful Tena aelezee mafanikio yake kwa kujiamin kabisa kuonesha unachofanya kinamaanisha...! It motivates alot...kwanini wewe uweze Mimi nishndwe..lakini kila mtu ana perception zake aise..Kuna mwamba humu anaitwa graph. .anajiamini had unahisi wapi Mimi nakosea,..u go boy! CongraturationOna hii kunguni!!!!!
Nyie ndo wale mnaokaa mnasubiri miujiza!! Mkuu labda tu nikwambie,NILIANZA KUTOAMINI KATIKA VITU KAMA NYOTA, MIUJIZA, SIJUI BAHATI nikiwa chuo Baada ya kuanza Kusoma vitabu, nikakutana na hii statement iliyobadilisha maisha, naomba kkunukuu
"There is a law of cause and effect. Nothing happens by chance or miracle. Every thing that happens has it's cause. Even those things you see as miracles it is because their causes are beyond your understanding and consciousness. So if you want something to happen, make sure you you cause them to happen, and those who will see the results to your causes will consider you to be lucky"
Mkuu ujue kuwa nilijichanga Sana na Yale maboom, nilikuwa naishi maisha Yale kuonekana HUNA SWAGA, nimekula Sana mihogo ili tu nisave hela. Hivi unapoambiwa kujichanga unaelewa??
Umeandika points tupu mkuu, ila sema huo uandishi wako kwa kijana kabisa sio sahihiuna genetics za Kiduku lilo... hakuna asiyependa kujiajiri na kujisimamia, somtmes circumstances zinakuwia vgumu. na kama hujapata kaxhkaxh za kujikwamua kimaixha, umetengenezewa ulaji na kaka au mjomba, You r lucky. Si buxara pia kujibust kwa mafanikio yako mbele ya muhangaikaji, unazidi kumkatisha tamaa.
Una haki ya kumshukuru Mungu mkuu na kumtolea sadaka iliyo kuu hata kwa kuwakumbuka watu wenye mahitaji maalumu, hustle ya mtaa kwenye kutafuta kazi na maisha kwetu wengine sio ya kawaida aise.Nikifikiriaga maisha ya chuo, najiona nilicheza Kama pele. Sijawahi kuonja hata sek 1 ya u-jobless. Nimefika tu home (mkoani kwa broo alipokuwepo, siku hiyo hiyo nikakabidhiwa mradi tuliouanzisha kwa pa1 kipindi nipo miez ya mwisho mwisho ya chuo, nikaanza kazi siku hiyo hiyo, Hadi Leo mm ndo CEO, MANAGER, MSIMAMIZI, n.k wa mradi huo.
Sitafuti hela ya kula, bali hela ya kupiga hatua kimaisha.
Kula, kulala, kuvaa na bill Kama Kodi, umeme n.k Ni uhakika nabak nasotea hela ya kupiga hatua kimaisha.
Asante Mungu Mkuu
Kujichanga naelewa sana mkuu tena kwa maisha ya chuoOna hii kunguni!!!!!
Nyie ndo wale mnaokaa mnasubiri miujiza!! Mkuu labda tu nikwambie,NILIANZA KUTOAMINI KATIKA VITU KAMA NYOTA, MIUJIZA, SIJUI BAHATI nikiwa chuo Baada ya kuanza Kusoma vitabu, nikakutana na hii statement iliyobadilisha maisha, naomba kkunukuu
"There is a law of cause and effect. Nothing happens by chance or miracle. Every thing that happens has it's cause. Even those things you see as miracles it is because their causes are beyond your understanding and consciousness. So if you want something to happen, make sure you you cause them to happen, and those who will see the results to your causes will consider you to be lucky"
Mkuu ujue kuwa nilijichanga Sana na Yale maboom, nilikuwa naishi maisha Yale kuonekana HUNA SWAGA, nimekula Sana mihogo ili tu nisave hela. Hivi unapoambiwa kujichanga unaelewa??
Kibaya zaidi nyinyi ndiyo mnafanya figisu figisu ccm ishinde.
Walimu wa taifa wengi ni liability tu