Somalia kuwa mwanachama wa Afrika Mashariki

Somalia kuwa mwanachama wa Afrika Mashariki

Hii juimiya inaenda kasi kwenye kuongeza wanachama kuliko kasi ya utekelezaji wa msingi wa mambo ya kutuunganisha. Nchi zikiwa nyingi bila waanzilishi kuwa na bond ya kutosha itayumbisha umoja mapema.
 
Hii juimiya inaenda kasi kwenye kuongeza wanachama kuliko kasi ya utekelezaji wa msingi wa mambo ya kutuunganisha. Nchi zikiwa nyingi bila waanzilishi kuwa na bond ya kutosha itayumbisha umoja mapema.
Uko sahihi mkuu, yaani wanachama wanakua wengi kwa kasi bila hata kuangalia mafanikio ya wanachama waliopo kwanza. Sasa Somali ya nini kwenye umoja huu! Iko siku na Afghanistan watajiunga pia japo wapo huko mbali
 
Unaweza fananisha migogoro ya huko na ya Somalia... Yaani Al Shabaab ambao wanaingia hadi kenya..?
Tatizo hili la uelewa...

Juzi nazani, DRC walishutumu Rwanda kuingia ktk misitu ya kongo na kuchukua sokwe na kuwapeleka ktk hifadhi za Rwanda, DRC wana washutumu Rwanda kuingia DRC na kuchukua mali pamoja na kuanzisha vikundi vya fujo

Juzi umoja wa mataifa kupitia shirika la wakimbizi limetangaza DRC kuna wakimbizi wengi wa ndani wanao kimbia maeneo yao asilia kwa sababu ya mapigano

Unaongea vitu vingi kwa masimulizi... ila hutaki kuona matatizo hayo yana koma

DRC kuingia kwenye jumuiya moja kwa moja swala lake la utulivu na amani lina anza shughulikiwa kikamilifu na jumuiya kama mwanachama

Angalia Somalia pia atasaidikaje ili jumuiya inufaike pia

Jtahidi kufahamu maswala ya kimataifa
 
Tatizo hili la uelewa...

Juzi nazani, DRC walishutumu Rwanda kuingia ktk misitu ya kongo na kuchukua sokwe na kuwapeleka ktk hifadhi za Rwanda, DRC wana washutumu Rwanda kuingia DRC na kuchukua mali pamoja na kuanzisha vikundi vya fujo

Juzi umoja wa mataifa kupitia shirika la wakimbizi limetangaza DRC kuna wakimbizi wengi wa ndani wanao kimbia maeneo yao asilia kwa sababu ya mapigano

Unaongea vitu vingi kwa masimulizi... ila hutaki kuona matatizo hayo yana koma

DRC kuingia kwenye jumuiya moja kwa moja swala lake la utulivu na amani lina anza shughulikiwa kikamilifu na jumuiya kama mwanachama

Angalia Somalia pia atasaidikaje ili jumuiya inufaike pia

Jtahidi kufahamu maswala ya kimataifa
Maneno yasiwe mengi... Kiufupi hao Somalia hatuwataki kwenye jumuiya yetu
 
Tunasubiri ile sarafu ya afrika mashariki.
haitafika. EAC inaweza ikasambaratika si zaidi ya miaka 20 ijayo. There is no common agenda na kila nchi inamtazama mwenzake kimachale tofauti na EU. Ukiangalia EAC imekaa kama nchi za Southern Asia ambazo kuna India na pakistani +bangladeshi.

-Tanzania+Kenya wanaishi kimachale
-Kenya+ Uganda wanaishi kimachale hadi jenerali mshenzi wa Ug anatamani aikanyage Nairobi
-Uganda+Rwanda wanaishi kimachale
-Uganda+DRC wanaishi kimachale
-DRC +Rwanda kuna uadui wa wazi hata dunia yote inajua
-Kenya+Somalia wanaishi kimachale

utulivu wa dhati uko katika Tanzania+Burundi na Uganda tu.
 
Migogoro ya Burundi na Rwanda siyo ya kidini.
Ila migogoro ya Somalia ni migogoro ya kidini.
Na ukumbuke dini yao wanataka kila mtu afuate sheria zake.
Sikatai Somalia kujiunga EAC ila nimetoa mawazo tu kulingana na komenti yako.
Hata mgogoro wa Somalia sio wa kidini,mgogoro wa Somalia ni wa kiutawala zaidi kwamba kuna koo zinataka zitawale ile nchi ndio maana kuna migogoro kila siku... asilimia 99 ya wasomali ni waislamu na nchi tayari inaendeshwa kwa sharia sasa huo unaosema wewe ni mgogoro wa kidini ni baina ya dini gani na dini gani??..Mwanzoni kabisa kipindi kile Somalia inang'aa kama dubai kabla ya kuharibiwa hasa na Mohamed Farrah Adid Alshabab waliraise kwa lengo moja tu la kuondoa utawala koo kandamizi zilizokuwa zinatawal nchi hiyo na hata sasa kuna maeneo wanayashikilia wanayatawala lakini lengo sio kulazimisha dini maana Somalia tayari ni nchi inayoongozwa na sharia za kiislamu
 
Dada punguza makasiliko... na aliye pendekeza kujumuishwa kwa Somalia ktk Jumuiya ni Kenya ambayo yeye yupo krb nao zaidi na migogoro anayo yeye kwa ukaribu

Kwann sisi watanzania tuogope... Uganda nae akapendekeza.... na ndio maana walialikwa ktk kikao cha kumkaribisha DRC

Sisi waoga, subirini mambo ya kuondoa mipaka na ajira za pamoja... mchangamke vizuri wakenya wame kuja kununua na kufanya ufugaji wa kuku na maguruwe pamoja na mashamba ya miti na maparachichi

Nyie pigeni kelele tu ambazo hazina mashiko
Kenya mwisho wa siku atataka swala la kupambana na Al Shabab liwe la Jumuiya. Utaratibu ulipaswa uwe kuwa, nchi hairuhusiwi kuwa mwanachama kama ina matatizo ya ndani.
 
Waje watuchangamshe,uzuri jumuiya yenyewe inatamkwa tu na wanakaaga vikao ila sijaona mguso wake kwa jamii,waseme ni umoja tu wa majirani kujuliana hali kufa na kuzikana,kualikana kwenye sherehe basi.
 
Hii juimiya inaenda kasi kwenye kuongeza wanachama kuliko kasi ya utekelezaji wa msingi wa mambo ya kutuunganisha. Nchi zikiwa nyingi bila waanzilishi kuwa na bond ya kutosha itayumbisha umoja mapema.
Nashangaa wengi wanapiga kelele na bla bla nyingi wakati jumuia yenyewe ni kama haipo. Wangeimarisha kwanza nchi waasisisi wa jumuia Kenya, Uganda na Tanzania ziunde jumuia ya kweli ndiyo wafikiri mambo ya kuongeza wanachama. Jumuia iliyojengwa kwenye ushirikiano wa uchumi na demokrasia ya kweli. Diktekta Museveni aweke ukomo kwenye vipindi vya uongozi. Wajiwekee misingi imara ya demokrasia ambayo kila mwanachama atalazimika kuifuata na pale anapofanya makosa aonywe.
 
Balozi za nchi zipi?
China 🇨🇳
Kenya
Uk
Italy
Qatar
Saudia
Egpty
Turkey
Uganda
USA aliondoka alipo ona mchina kaja basi nae karejea na kuna balozi zinazo endesha ofisi zikiwa kenya

Zipo nyingi kasoro Tanzania
 
FAB9308B-A0C9-4916-BEFC-1C6B7DA17895.jpeg


5EAAE662-5318-4D83-BB92-13B2BE7171BA.jpeg


B25E90EE-F8C6-40CF-8DE6-F1F7DA7DFAAE.jpeg


Wasomali wana jenga nchi yao nyie mnapiga kelele mitandaoni
 
Back
Top Bottom