hawa ndiyo ile jamii ya wakina Boko Haram, na ISS watu wanaoijua Dini Kuliko Mtume Mwenyewe.
Wakati Mtume Aliishi na Jamii ya watu Ambao hawakuwa Imani yake na Aliishi nao Kwa Upendo Mkubwa.
Sasa sijui huu Uislam wa Siku Hizi unao Bagua watu Umetoka Wapi?
You see my point? They are trying to accommodate non christians and christian non believers in their salutations.......lakini nyie you are intolerant of others. You want to impose yourselves. See the difference?Nisome vizuri narudia tena, sijasema imepigwa marufuku bali wanaanza kuiondoa pole pole na ndiyo maana hata msemo unabadilika sasa hivi wanasema Happy Hollidays badala ya Merry Christmas, unajua ni kwa nini?
A Merry Christmas: before it's abolished | Daily Mail Online
You see my point? They are trying to accommodate non christians and christian non believers in their salutations.......lakini nyie you are intolerant of others. You want to impose yourselves. See the difference?
But this is not because eti hao wanaoambiana happy holidays sio Christians au kwamba ukristo uko on the decline. That would be a wrong assumption.
Issue ni freedom of worship, religious tolerance.Wonders will never end from the other side, the question to ask here is, are we Christian Country? Christianity is one of the vital Criteria to be enrolled as member?
Christmas.. is your point..!
You would like to potray as if EAC is a Christian club..so Somali being a muslim county does not qualify..
Frank speaking Somali is more to EA compared to Burundi Rwanda and Juba.
Am sure Kenya Uganda will have no objection...Tanzania will mind...other do not care
[emoji817] [emoji817] [emoji109]No....but freedom of worship is. In fact, the draft EAC bill of human and peoples rights states:
20. (1) Every person has the right to freedom of conscience, religion, thought, belief and opinion.
(2) Every person has the right, either individually or in community with others, in public or in private, to manifest any religion or belief through worship, observance, including observance of a day of worship, practice or teaching.
(3) A religious community may establish and run places of education at its own expense and to provide religious instruction for persons of that community in the course of providing the education.
(4) Religious observance or religious instruction may be conducted at a State or State-aided institution, if- (a) conducted on an equitable basis; and (b) attendance at such religious observance or religious instruction is voluntary.
(5) A person may not be denied access to any institution, employment or facility or the enjoyment of any right, for reasons of that person's religious beliefs.
(6) A person shall not be compelled to- (a) take an oath that is contrary to that person's religion or belief or that involves expressing a belief that the person does not hold; (b) take an oath in a manner that is contrary to that person's religion or belief or that involves expressing a belief that the person does not hold; (c) receive religious instruction or to take part in or attend a religious ceremony or to observe a day of rest or other observance that relates to a religion that is not that person's religion; (d) pertorm, observe or undergo a rite or a religious practice; (e) disclose that person's belief or religious conviction; or (f) engage in any other act that is contrary to that person's belief or religion
I see nothing here that warrants kupiga marufuku hao wakristo wachache walioko huko kusherehekea Krismas.Kwanza wasomalia 100% ni waislam wamadhebu ya sunni na niwanachama wa jumuia ya nchi za kiislam na mwanachama wa nchi za kiarabu na ijumaa ndio siku ya mapumziko kwa wiki.
Basi somalia haijawahi kusherehekea Christmas toka taifa hilo liundwe, kwa hivo kupiga marufuku siyo kosa kwa kuwa wao ni taifa la kiislam.
Kuhusu kuomba kwao kujiunga JUMUIA YA EAST AFRICA, kwa kuwa tu wamepiga marufuku sherehe za Christmas, hawawezi wakataliwa kawa kuwa, JUMUIA YA EAST AFRICA, SIO TAASISI YA KIKIRISTO .
.
kaka uchina mungu wao si nyoka? Hapo unategemea nini?Uchina mbona imepiga marufuku Krismasi na mnaenda huko?
Unaweza kutoa uthibitisho??? Acha kuropokwa kwa mihemko...That's the reason we keep saying again and again that Muslim(s) are devil worshipers [a sect that advocate satanism] because they don't allow diversity, the always think of ethnic cleasing.
...................Unaweza kutoa uthibitisho??? Acha kuropokwa kwa mihemko...
Mm nadhani wakikubaliwa kujiunga itakuwa nafasi nzuri sana kwao kuteka mabasi na kuuliza wasafiri kama ni dini gani na hapo ndiyo tutajua wasomali na akina nani! It's a matter of time.Wazungu wenyewe waliotuletea Krismasi wanaanza kuipiga marufuku polepole, ije kuwa Somalia? Kwani tatizo ni nini? Si ni nchi yao? Zaidi ya 98% ya Wananchi wa Somalia ni Waislamu hivyo hakuna atakayedhurika, binafsi napendekeza Somalia iingie AM, kwani Wasomali watatusaidia sana kuijenga AM kiuchumi, Wasomali ni jamii ya watu wanaojiamini na wanaojituma sana na wakitulia na mambo ya yakipoa Somalia hakuna nchi ya kushindana na Somalia kiuchumi hapa Afrika hata Wazungu wanalijua hilo na ndiyo maana hawataki Somalia itulie!
Waambie hivo wale waislam wanaoambiwa ujerumani wasivae hijab alafu wanalalamika. Kwani ujerumani haina mila na desturi zao?Hii habari ya political inbalance mara unstable country , mara different region huna point unachachawa tu kwani lazima kuandika?hebu review conditions za kujiunga na bloc kwa ndio upayuke kama ni krismas kila nchi ina katiba yake na sheria zake za ndani as long hawajavunja katiba ya bloc mm sioni tatizo tusitoke mapovu bure .
Somalia plans to re-apply to join the six-member East African Community (EAC) bloc in 2017, the country's ambassador said Sunday.
Somali Ambassador to Kenya Gamal Hassan told journalists in Nairobi that its application in 2016 was postponed as it had not met all the requirements of admission.
"Hopefully our application to join the EAC will receive a positive response during the EAC summit in 2017," Hassan said during the Eastleigh Business Summit, which brought together business people from the Somali business community in Kenya.
EAC partner states include Kenya, Uganda, Tanzania, Burundi, Rwanda and South Sudan.
Hassan said Somalia's membership will help boost trade between Somalia and its EAC neighbors. "It will also help provide employment opportunities for youth in the region," he added.
Remember this: Somalia bans Christmas celebrations - BBC News