Somalia, nchi inayopiga marufuku kusherehekea Krismas, yapanga kuomba kuingia EAC

Somalia, nchi inayopiga marufuku kusherehekea Krismas, yapanga kuomba kuingia EAC

hawa ndiyo ile jamii ya wakina Boko Haram, na ISS watu wanaoijua Dini Kuliko Mtume Mwenyewe.

Wakati Mtume Aliishi na Jamii ya watu Ambao hawakuwa Imani yake na Aliishi nao Kwa Upendo Mkubwa.

Sasa sijui huu Uislam wa Siku Hizi unao Bagua watu Umetoka Wapi?


Uchina mbona imepiga marufuku Krismasi na mnaenda huko?
 
Nisome vizuri narudia tena, sijasema imepigwa marufuku bali wanaanza kuiondoa pole pole na ndiyo maana hata msemo unabadilika sasa hivi wanasema Happy Hollidays badala ya Merry Christmas, unajua ni kwa nini?

A Merry Christmas: before it's abolished | Daily Mail Online
You see my point? They are trying to accommodate non christians and christian non believers in their salutations.......lakini nyie you are intolerant of others. You want to impose yourselves. See the difference?
But this is not because eti hao wanaoambiana happy holidays sio Christians au kwamba ukristo uko on the decline. That would be a wrong assumption.
 
You see my point? They are trying to accommodate non christians and christian non believers in their salutations.......lakini nyie you are intolerant of others. You want to impose yourselves. See the difference?
But this is not because eti hao wanaoambiana happy holidays sio Christians au kwamba ukristo uko on the decline. That would be a wrong assumption.


Unaposema nyie unamaanisha nini? Mimi siyo Msomali, ila nimekupa ukweli wa mambo, wakisema kupiga marufuku Krismasi haimaanishi kwamba Wakristo hawawezi kuishi Somalia hapana, ni kwamba Somalia kama nchi haitambui Krismasi kama zilivyo nchi nyingi tu, kwa mfano Uchina haitambui krismasi lkn mbona kuna Wakristo wengi tu wanaishi Uchina? Saudi Arabia haitambui Krismasi lkn kuna Wazungu wengi wanafanya kazi Saudi Arabia bila ya tatizo lolote, hivyo tena kwa kuwa Somalia ni 98% Waislamu ni sawa wanaposema Somalia hakuna sherehe ya Krismasi lkn haimaanishi kwamba Wakristo hawawezi kuishi Somalia!
 
Hata mm nikijakuwa raisi wa zanzibar napiga marufuku Xmas
 
Wonders will never end from the other side, the question to ask here is, are we Christian Country? Christianity is one of the vital Criteria to be enrolled as member?
Issue ni freedom of worship, religious tolerance.
 
Christmas.. is your point..!
You would like to potray as if EAC is a Christian club..so Somali being a muslim county does not qualify..
Frank speaking Somali is more to EA compared to Burundi Rwanda and Juba.
Am sure Kenya Uganda will have no objection...Tanzania will mind...other do not care


100% nakubaliana na wewe, watu wengi sana wanaongelea kuhusu East Afrika lkn hawaelewi Historia ya EA, nchi ya Somalia pmj na Ethiopia ndiyo original East African countries zinazojulikana Duniani kihistoria, Somalia imekuwa EA kabla hata ya Dunia kujua kuna TZ, Kenya au sijui Uganda na Burundi!
 
No....but freedom of worship is. In fact, the draft EAC bill of human and peoples rights states:
20. (1) Every person has the right to freedom of conscience, religion, thought, belief and opinion.
(2) Every person has the right, either individually or in community with others, in public or in private, to manifest any religion or belief through worship, observance, including observance of a day of worship, practice or teaching.
(3) A religious community may establish and run places of education at its own expense and to provide religious instruction for persons of that community in the course of providing the education.
(4) Religious observance or religious instruction may be conducted at a State or State-aided institution, if- (a) conducted on an equitable basis; and (b) attendance at such religious observance or religious instruction is voluntary.
(5) A person may not be denied access to any institution, employment or facility or the enjoyment of any right, for reasons of that person's religious beliefs.
(6) A person shall not be compelled to- (a) take an oath that is contrary to that person's religion or belief or that involves expressing a belief that the person does not hold; (b) take an oath in a manner that is contrary to that person's religion or belief or that involves expressing a belief that the person does not hold; (c) receive religious instruction or to take part in or attend a religious ceremony or to observe a day of rest or other observance that relates to a religion that is not that person's religion; (d) pertorm, observe or undergo a rite or a religious practice; (e) disclose that person's belief or religious conviction; or (f) engage in any other act that is contrary to that person's belief or religion
[emoji817] [emoji817] [emoji109]
 
Kwanza wasomalia 100% ni waislam wamadhebu ya sunni na niwanachama wa jumuia ya nchi za kiislam na mwanachama wa nchi za kiarabu na ijumaa ndio siku ya mapumziko kwa wiki.
Basi somalia haijawahi kusherehekea Christmas toka taifa hilo liundwe, kwa hivo kupiga marufuku siyo kosa kwa kuwa wao ni taifa la kiislam.
Kuhusu kuomba kwao kujiunga JUMUIA YA EAST AFRICA, kwa kuwa tu wamepiga marufuku sherehe za Christmas, hawawezi wakataliwa kawa kuwa, JUMUIA YA EAST AFRICA, SIO TAASISI YA KIKIRISTO .
.
 
Kwanza wasomalia 100% ni waislam wamadhebu ya sunni na niwanachama wa jumuia ya nchi za kiislam na mwanachama wa nchi za kiarabu na ijumaa ndio siku ya mapumziko kwa wiki.
Basi somalia haijawahi kusherehekea Christmas toka taifa hilo liundwe, kwa hivo kupiga marufuku siyo kosa kwa kuwa wao ni taifa la kiislam.
Kuhusu kuomba kwao kujiunga JUMUIA YA EAST AFRICA, kwa kuwa tu wamepiga marufuku sherehe za Christmas, hawawezi wakataliwa kawa kuwa, JUMUIA YA EAST AFRICA, SIO TAASISI YA KIKIRISTO .
.
I see nothing here that warrants kupiga marufuku hao wakristo wachache walioko huko kusherehekea Krismas.
Kupiga marufuku krismas sio kigezo cha kuingia EAC lakini granting your citizens freedom of worship ni kigezo!
 
That's the reason we keep saying again and again that Muslim(s) are devil worshipers [a sect that advocate satanism] because they don't allow diversity, the always think of ethnic cleasing.
Unaweza kutoa uthibitisho??? Acha kuropokwa kwa mihemko...
 
We just admitted an unstable country in the name of S.Sudan to EAC, it is unwise to admit another unstable country in EAC. It will interfere with the delicate balance there's in the region.

The other thing that will interfere and tip the proper political balance in EAC is consecutively admitting two northern states. A state from a different region should be admitted before Somalia is admitted. Like from the west or south. Remember Sudan wanted to be in EAC like yesterday and has a right of admission given that now they share a border with EAC.

Having regional political balance in EAC is important for the progress and viability of EAC.
 
Hii habari ya political inbalance mara unstable country , mara different region huna point unachachawa tu kwani lazima kuandika?hebu review conditions za kujiunga na bloc kwa ndio upayuke kama ni krismas kila nchi ina katiba yake na sheria zake za ndani as long hawajavunja katiba ya bloc mm sioni tatizo tusitoke mapovu bure .
 
Wazungu wenyewe waliotuletea Krismasi wanaanza kuipiga marufuku polepole, ije kuwa Somalia? Kwani tatizo ni nini? Si ni nchi yao? Zaidi ya 98% ya Wananchi wa Somalia ni Waislamu hivyo hakuna atakayedhurika, binafsi napendekeza Somalia iingie AM, kwani Wasomali watatusaidia sana kuijenga AM kiuchumi, Wasomali ni jamii ya watu wanaojiamini na wanaojituma sana na wakitulia na mambo ya yakipoa Somalia hakuna nchi ya kushindana na Somalia kiuchumi hapa Afrika hata Wazungu wanalijua hilo na ndiyo maana hawataki Somalia itulie!
Mm nadhani wakikubaliwa kujiunga itakuwa nafasi nzuri sana kwao kuteka mabasi na kuuliza wasafiri kama ni dini gani na hapo ndiyo tutajua wasomali na akina nani! It's a matter of time.
 
Hii habari ya political inbalance mara unstable country , mara different region huna point unachachawa tu kwani lazima kuandika?hebu review conditions za kujiunga na bloc kwa ndio upayuke kama ni krismas kila nchi ina katiba yake na sheria zake za ndani as long hawajavunja katiba ya bloc mm sioni tatizo tusitoke mapovu bure .
Waambie hivo wale waislam wanaoambiwa ujerumani wasivae hijab alafu wanalalamika. Kwani ujerumani haina mila na desturi zao?
 
We should drop some members before accepting others.

EAC was not ready for S. Sudan... Rwanda and Burundi were to be on probation period.
 
Somalia plans to re-apply to join the six-member East African Community (EAC) bloc in 2017, the country's ambassador said Sunday.

Somali Ambassador to Kenya Gamal Hassan told journalists in Nairobi that its application in 2016 was postponed as it had not met all the requirements of admission.

"Hopefully our application to join the EAC will receive a positive response during the EAC summit in 2017," Hassan said during the Eastleigh Business Summit, which brought together business people from the Somali business community in Kenya.

EAC partner states include Kenya, Uganda, Tanzania, Burundi, Rwanda and South Sudan.

Hassan said Somalia's membership will help boost trade between Somalia and its EAC neighbors. "It will also help provide employment opportunities for youth in the region," he added.

Remember this: Somalia bans Christmas celebrations - BBC News

Impossible!! haiwezekani and it will never happen since this country and its rulers are anti Christianity!!!!!! Possibly till 2095 when the current hateful, anti Christianity generation is extinct.
 
Waje wote tu, hata batoto Bakongo (DRC) wamekawia sana..
Krisimasi isiwe issue, binafsi nimesheherekea Krisimasi Zanzibar na hofu niliyokua nayo ya kumwagiwa tindi kali ikatokea kuwa ujinga wangu tu maana Wazenji ni watu wakarimu sana. Pia wao wameserebuka sana kwenye Krisimasi.

Wasomali ni watu wenye bidii sana, napenda wanavyojituma, haya masuala ya dini ndio yanawaangusha na kuwachelewesha. Yaani dini inafaa kuleta amani lakini inakua ndio chanzo cha mauaji na mateso.
 
Back
Top Bottom