Kwa kuwa imekataa kutawaliwa na wazungu.Nchi nyingi zilizoshindwa au failed state huwa zina changamoto kama
1. Ukabila au jamii tofauti zinazopigana
2.Dini (vita ya kidini kati ya Waislam na dini zingine kama Ukristu, Uhindu na Uyahudi)
3. Kuvamiwa na nchi nyingine yenye nguvu mfano Afghastan ilivamiwa mara mbili na soviet na US
LAKINI KWA SOMALIA
ITOSHE KUSEMA WASOMALI HAWACHUKII WATU WENGINE KAMA WABANTU NA WENGINEO.
- Watu wana dini moja
- Kabila moja
- Nchi moja
- Tamaduni moja
Wasomali wanajichukia WENYEWE
Ukiwakuta kenya wanavopiga kelele sasaππ
Maisha gan wakati ni nchi iliyofeliKwa kuwa imekataa kutawaliwa na wazungu.
Wenyewe wana maisha yao, kwanini wawaingilie?
Huijuwi Somalia wewe, unasikia maneno ya wanaokujaza ujinga.Maisha gan wakati ni nchi iliyofeli
wangekua na maisha yao wangekua kila siku wanaimbia nchi??
FaizaFoxy eti hii ni kweli ustaadhat wa failed stateWanalaana wasomali wote
Dabo laini au........sema takbiiiirWajinga ndiyo waliwao.
Wakati huo huo wamewapa waturukiHazina kubwa ya mafuta ambayo hayajaanza kuchimbwa bado,na Kenya anailaumu Somalia kuwa imeiuzia UK eneo la mpakani la upande wa baharini ambako kuna hazina kubwa ya mafuta(kwa mujibu wa DW Swahili)
nyieππDabo laini au........sema takbiiiir
Asee kumbe ustaadhat ni wakalaYaan wewe unamuuliza gaidi kuhusu somali
huyu mama ashakua na kashfa ya kurubuni vijana kwenda kujiunga na al shabab.
Kua nae makini
Ule mtandao sijui uliishia wap !Asee kumbe ustaadhat ni wakala
Wapo sema chinichini, ile operesheni ya kibiti iliwatikisa kidogoUle mtandao sijui uliishia wap !
vijana walikua wanakamatwa kenya
saizi upo mwingine vijana wanapelekwa msumbiji.
Duuuh,mbona hatari sasaWakati huo huo wamewapa waturuki
Sasa ningeandika vipi kitu nisichokijua??mbona hujaenda huko
Vipi kuhusu Yemen?Nchi nyingi zilizoshindwa au failed state huwa zina changamoto kama
1. Ukabila au jamii tofauti zinazopigana
2.Dini (vita ya kidini kati ya Waislam na dini zingine kama Ukristu, Uhindu na Uyahudi)
3. Kuvamiwa na nchi nyingine yenye nguvu mfano Afghastan ilivamiwa mara mbili na soviet na US
LAKINI KWA SOMALIA
ITOSHE KUSEMA WASOMALI HAWACHUKII WATU WENGINE KAMA WABANTU NA WENGINEO.
- Watu wana dini moja
- Kabila moja
- Nchi moja
- Tamaduni moja
Wasomali wanajichukia WENYEWE
Ukiwakuta kenya wanavopiga kelele sasaππ
Ndiyo maana yake Hana muda wa kupoteza anakupa kile unacho omba kwake. πππheee kwaiyo maji mara moja
hyo nimeipendaNdiyo maana yake Hana muda wa kupoteza anakupa kile unacho omba kwake. πππ