Somalia ndiyo nchi pekee duniani ambayo ni 'failed state'

Somalia ndiyo nchi pekee duniani ambayo ni 'failed state'

Tena nchi nzima ni dini Moja ya mnyasanzi, ya amani yenye kitabu kimoja ambacho huitaji kusoma linguine. Ukikimsliza unakuwa Mwalimu, daktari( wa kisuna) nk
 
Nchi nyingi zilizoshindwa au failed state huwa zina changamoto kama

1. Ukabila au jamii tofauti zinazopigana

2.Dini (vita ya kidini kati ya Waislam na dini zingine kama Ukristu, Uhindu na Uyahudi)

3. Kuvamiwa na nchi nyingine yenye nguvu mfano Afghastan ilivamiwa mara mbili na soviet na US

LAKINI KWA SOMALIA
  • Watu wana dini moja
  • Kabila moja
  • Nchi moja
  • Tamaduni moja
ITOSHE KUSEMA WASOMALI HAWACHUKII WATU WENGINE KAMA WABANTU NA WENGINEO.

Wasomali wanajichukia WENYEWE

Ukiwakuta kenya wanavopiga kelele sasa😂😂
Kwa kuwa imekataa kutawaliwa na wazungu.

Wenyewe wana maisha yao, kwanini wawaingilie?
 
Hazina kubwa ya mafuta ambayo hayajaanza kuchimbwa bado,na Kenya anailaumu Somalia kuwa imeiuzia UK eneo la mpakani la upande wa baharini ambako kuna hazina kubwa ya mafuta(kwa mujibu wa DW Swahili)
 
Hazina kubwa ya mafuta ambayo hayajaanza kuchimbwa bado,na Kenya anailaumu Somalia kuwa imeiuzia UK eneo la mpakani la upande wa baharini ambako kuna hazina kubwa ya mafuta(kwa mujibu wa DW Swahili)
Wakati huo huo wamewapa waturuki
 
Nchi nyingi zilizoshindwa au failed state huwa zina changamoto kama

1. Ukabila au jamii tofauti zinazopigana

2.Dini (vita ya kidini kati ya Waislam na dini zingine kama Ukristu, Uhindu na Uyahudi)

3. Kuvamiwa na nchi nyingine yenye nguvu mfano Afghastan ilivamiwa mara mbili na soviet na US

LAKINI KWA SOMALIA
  • Watu wana dini moja
  • Kabila moja
  • Nchi moja
  • Tamaduni moja
ITOSHE KUSEMA WASOMALI HAWACHUKII WATU WENGINE KAMA WABANTU NA WENGINEO.

Wasomali wanajichukia WENYEWE

Ukiwakuta kenya wanavopiga kelele sasa😂😂
Vipi kuhusu Yemen?
 
Back
Top Bottom