Somalia restores diplomatic relations with Kenya

Somalia restores diplomatic relations with Kenya

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Baada ya nchi ya Somalia kujiona msichana mrembo na kuturingia na hata kukata uhusiano kati ya nchi hizi mbili, wao wao wenyewe wamerudi mezani bila sisi kuwaita. Wamejua hawajui. Hii ni nchi ya hovyo sana. Sawia na msichana sura mbaya anayeringia wanaume ilhali wanaume hawana haja na yeye.





 
Eneo gani hilo mkuu?
Hili hapa
images - 2021-05-07T191152.948.jpeg
 
Hawa ni kawaida yao. When the mining lords from Norway get into their heads, wanaleta kiherehere, when they realize the mining lords won't save them, wanareconcile. Their president lives in Kenya anyway.
 
Haha kwa hiyo mmeomba Qatar ndio iwapatanishe? Somalia haina shida na kenya, ipatiwe haki yake tu bhas. Hata mlete mpatanishi toka pluto, msipowapatia haki yao hakutakuwa na mahusiano mazuri na ya kudumu.

Mbaya zaidi wale waume zenu ndio Kwanzaa wanafadhili miradi ya kimaendeleo huko Somalia, na wengine wameondoa majeshi huko na kuacha vikosi vyenu uchi bila ulinzi wa angani.

Ndio hasira mmegeuzia kufunga kakuma na daadab.. But still hamuwezi pata suluhisho kwa hao jamaa.
 
Hawa ni kawaida yao. When the mining lords from Norway get into their heads, wanaleta kiherehere, when they realize the mining lords won't save them, wanareconcile. Their president lives in Kenya anyway.
Prove 🤣 🤣🤣
 
He was American citizen until recently, why he didnt bring those good American democratic values to fix his shithole country, answer is he is power drunk now and with weak government institutions in Somalia he will cling to office till his demise.
 
Haha kwa hiyo mmeomba Qatar ndio iwapatanishe? Somalia haina shida na kenya, ipatiwe haki yake tu bhas. Hata mlete mpatanishi toka pluto, msipowapatia haki yao hakutakuwa na mahusiano mazuri na ya kudumu.

Mbaya zaidi wale waume zenu ndio Kwanzaa wanafadhili miradi ya kimaendeleo huko Somalia, na wengine wameondoa majeshi huko na kuacha vikosi vyenu uchi bila ulinzi wa angani.

Ndio hasira mmegeuzia kufunga kakuma na daadab.. But still hamuwezi pata suluhisho kwa hao jamaa.
Ulinzi gani wa angani? Kwani unadhani Kenya hatuna airforce? Unaongea upuuzi tu.
 
Prove 🤣 🤣🤣
Hamna cha kuprove wala nini. Farmaajo amenunua jumba kubwa hapa Nairobi. Mansion hio inajulikana. Na sio yeye tu, hawa wanasiasa wa Somalia wamenunua majumba huku Nairobi. Nairobi ndio Dubai yao. Wakipata fursa kidogo wanakuja Nairobi kwenye mahoteli kujivinjari na familia zao.
 
Ulinzi gani wa angani? Kwani unadhani Kenya hatuna airforce? Unaongea upuuzi tu.
Teh najua mna airforce yenye ndege chakavu na incompetent service men. Jamaa yenu US alikuwa anawasaidia Sana kwenye aerial surveillance na drone attacks.

Mngekuwa njema angani hizo crash zingekuwa chache na Ethiopia asingeweza kutungua tu hizo flying coffins apendavyo.
 
Hamna cha kuprove wala nini. Farmaajo amenunua jumba kubwa hapa Nairobi. Mansion hio inajulikana. Na sio yeye tu, hawa wanasiasa wa Somalia wamenunua majumba huku Nairobi. Nairobi ndio Dubai yao. Wakipata fursa kidogo wanakuja Nairobi kwenye mahoteli kujivinjari na familia zao.
Sasa kama hutaki kuweka proof unataka nikuamini tu kama unapiga injili ya Yesu wa nazareti!?

Hayo mambo ya kuongea bila proof peleka kanisani. Hapa tunaongea facts.


Huo ni uvumi kama mnavyovumisha kuhusu mlima Kilimanjaro.

Tunawajua nyie ni waongo na mnajipendekeza.
 
He was American citizen until recently, why he didnt bring those good American democratic values to fix his shithole country, answer is he is power drunk now and with weak government institutions in Somalia he will cling to office till his demise.
Unfortunately for him he cannot cling to power. He has tried but has failed miserably. His oposition is a bunch of warlaord each owning an army. Farmaajo tried to postpone elections and these warlords brought their armies to town and barricaded half of Mogadishu. Somali National army itself splintered into two factions fighting against each other. You cannot push aside your opposition if they own an army. That is the same problem Salva Kiir had. He tried to push aside Riek Machar but Riek Machar had an army and unleashed that army on government soldiers. It is the same situation in Ethiopia where Abby Ahmed tried to isolate the Tigray politicians but these Tigray politicians controlled an army equally as powerful as the govt army. I guess the take home message is this "Don't try to mess with an opposition that controls an army."
 
Back
Top Bottom