Somalia restores diplomatic relations with Kenya

Somalia restores diplomatic relations with Kenya

Teh najua mna airforce yenye ndege chakavu na incompetent service men. Jamaa yenu US alikuwa anawasaidia Sana kwenye aerial surveillance na drone attacks.

Mngekuwa njema angani hizo crash zingekuwa chache na Ethiopia asingeweza kutungua tu hizo flying coffins apendavyo.
Crashes hizo zilifanyika wakati Marekani bado alikuwa Somalia. Ethiopia alitungua ndege wakati Marekani bado alikuwa Somalia. Nimekuambia hujui unachozungumzia. Mambo haya ya kijeshi naona hayaelewi.
 
Crashes hizo zilifanyika wakati Marekani bado alikuwa Somalia. Ethiopia alitungua ndege wakati Marekani bado alikuwa Somalia. Nimekuambia hujui unachozungumzia. Mambo haya ya kijeshi naona hayaelewi.
Siku hizi umeacha kuwa Cashier aka Accountant umekuwa mwanajeshi!? 🤣 🤣🤣
 
Crashes hizo zilifanyika wakati Marekani bado alikuwa Somalia. Ethiopia alitungua ndege wakati Marekani bado alikuwa Somalia. Nimekuambia hujui unachozungumzia. Mambo haya ya kijeshi naona hayaelewi.
Una kichwa kigumu Sana wewe.. You can't comprehend things. Sasa unataka niandike kama insha hapa?

Sasa kama mko na airforce mbona hayo ya kutunguliwa yaliwatokea? Halafu usiseme US walikuwepo wakati Ethiopia akiwatungua, inabidi ujiulize motives na interest behind those attacks.

Ni vizuri ume-comfirm mko na weak airforce ndio maana mnatunguliwa hovyo. Na kama sio US huko Somalia pia wangekuwa wanawatungua Sana tu.
 
Crashes hizo zilifanyika wakati Marekani bado alikuwa Somalia. Ethiopia alitungua ndege wakati Marekani bado alikuwa Somalia. Nimekuambia hujui unachozungumzia. Mambo haya ya kijeshi naona hayaelewi.
Toys aka Fighter jet za Kenya
images - 2021-05-08T084216.026.jpeg
 
Una kichwa kigumu Sana wewe.. You can't comprehend things. Sasa unataka niandike kama insha hapa?

Sasa kama mko na airforce mbona hayo ya kutunguliwa yaliwatokea? Halafu usiseme US walikuwepo wakati Ethiopia akiwatungua, inabidi ujiulize motives na interest behind those attacks.

Ni vizuri ume-comfirm mko na weak airforce ndio maana mnatunguliwa hovyo. Na kama sio US huko Somalia pia wangekuwa wanawatungua Sana tu.
Nimekuambia mambo haya huyaelewi na husikii. Ethiopia alitungua ndege mbili za civilian. Yaani ndege zinazobeba mizigo ambazo sio za kijeshi. Hakuna ndege hata moja ya Kdf iliyotunguliwa.
 
Nimekuambia mambo haya huyaelewi na husikii. Ethiopia alitungua ndege mbili za civilian. Yaani ndege zinazobeba mizigo ambazo sio za kijeshi. Hakuna ndege hata moja ya Kdf iliyotunguliwa.
Sasa Mngekuwa na aerial surveillance wangetungua vipi ndege? Maana yake ni failure ya ulinzi wa anga. Ama ni vipi jameni? Mbona uko na thick head hivyo?
 
TZ wanaongea Mingi and You have a fucked up Airforce,Navy and Army,Yani TZ ingekuwa imepakana na Somalia,Ethiopia na Sudan ambazo Ni inchi za Vita,TZ could be a Fucked up Nation.I could only Imagine🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee sisi tumepakana na Congo. Nyie mnakimbizwa na wanamigambo!!? Shame on you.
 
Sasa Mngekuwa na aerial surveillance wangetungua vipi ndege? Maana yake ni failure ya ulinzi wa anga. Ama ni vipi jameni? Mbona uko na thick head hivyo?
I wonder TZ munajifanya wajanja na Vijiji Zenu karibu na Border zilichomwa na majambazi ambao hawajawai kuwa kwa War mpaka Askari wenu wakahepa raia wakiomba usaidizi and Yet you say you have Air surveillance,why didn't you see the Goons before they entered TZ 🙈🙉🤣🤣🤣🤣🤣
 
TZ wanaongea Mingi and You have a fucked up Airforce,Navy and Army,Yani TZ ingekuwa imepakana na Somalia,Ethiopia na Sudan ambazo Ni inchi za Vita,TZ could be a Fucked up Nation.I could only Imagine🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mdomo ndio wako nayo kubwa na wana ndege 32 pekee kwa airforce yao wakati Kenya airforce ina ndege zaidi ya 150. Na bado wanataka kuringa.
 
Mzee sisi tumepakana na Congo. Nyie mnakimbizwa na wanamigambo!!? Shame on you.
Hao wanamgambo wa Congo hawavuki mipaka kuteka Watanzania nyara na kufanya mashambulizi so huwezi kulinganisha kundi la wanamgambo na kundi la kigaidi.
 
I wonder TZ munajifanya wajanja na Vijiji Zenu karibu na Border zilichomwa na majambazi ambao hawajawai kuwa kwa War mpaka Askari wenu wakahepa raia wakiomba usaidizi and Yet you say you have Air surveillance,why didn't you see the Goons before they entered TZ [emoji85][emoji86][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Where are those goons? Una proof yoyote kuonesha mahali tulivamiwa? Achana na propaganda wewe slum dweller... Hii game iko chini yetu...

And after all that, Ile investment ina shift to the other side..
 
Vyovyote utakavyofanya. Mimi ninachotaka proof. If you don't have any proof shut up your fvckn mouth.
Najua nikikuletea hizo articles za gazeti utabadilisha goal post kama kawaida yako. Utaanza kusema kwamba gazeti za Kenya haziaminiki.
 
Where are those goons? Una proof yoyote kuonesha mahali tulivamiwa? Achana na propaganda wewe slum dweller... Hii game iko chini yetu...

And after all that, Ile investment ina shift to the other side..
Serikali yenu ilishakiri wazi kwamba magaidi kutoka Mozambique walivamia Mtwara na kuuwa watu kadhaa na kuteka watu nyara. Sasa wewe ni nani upinge serikali yako?
 
Mzee sisi tumepakana na Congo. Nyie mnakimbizwa na wanamigambo!!? Shame on you.
Sasa Congo,ata aibu🙈🙉Yani unathani Vita za ki alkaida Ni Kama za DRC,Kenya tunapigana na Adui ambaye Hachoki na Haishiwi na Silaha,Kazi yake kulipia bila Sababu yeyote,You TZ you only know cartoon wars za 1960,If you have no army in Somalia pekee wanajeshi wenu wanaingiza mkia katikati ya miguu,kabaridi😃wakiskia Eti waende Somalia.Kenya si Eti tunaingia Somalia,Tuko Ndani kila siku,Wanaeza lipua anywhere that's why we have special Defence force wa Kukabiliana na Hawa Adui wanaoitwa alshaabab.Ata USA wanajua uzito wa Vikundi Kama hivi and Still Kenya survives 🔥🔥🇰🇪
 
Back
Top Bottom