Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
We are not twins. Nyie ni wakenya sisi ni watanzania. Tulishawahi kuwa na shirika la ndege la pamoja, mkaiba ndege zetu. Hatuwezi kuwa brothers na majambazi.East Africa should do a joint purchase of Submarines,No one will dare us,A danger to Kenya is a danger to Tanzania,we are twins brothers if you don't know
Kalenjins warriors Ndio tu hii Dunia wanaweza Shambuliana na Ndege🤣🤣🤣Wanabomoa mpaka mavifaruEast Africa should do a joint purchase of Submarines,No one will dare us,A danger to Kenya is a danger to Tanzania,we are twins brothers if you don't know
Same story Ndio mtapiga adi leo,laana Gani hio,nani aliroga Tanzania walai?TZ hampendi maendeleo munathani kuwa Bado Tuko 1960s,It's a changed world Two Birds are better than one.we are intertwined ata ukatae tukivamiwa Kenya mjue pia Tz itavamiwaWe are not twins. Nyie ni wakenya sisi ni watanzania. Tulishawahi kuwa na shirika la ndege la pamoja, mkaiba ndege zetu. Hatuwezi kuwa brothers na majambazi.
Never tulivamiwa pekee yetu during Uganda and Tanzania. Mnavamiwa pekee yenu na Al Shabab.Same story Ndio mtapiga adi leo,laana Gani hio,nani aliroga Tanzania walai?TZ hampendi maendeleo munathani kuwa Bado Tuko 1960s,It's a changed world Two Birds are better than one.we are intertwined ata ukatae tukivamiwa Kenya mjue pia Tz itavamiwa
Kwani mtalipua ngapi izo,Niliona wakati wa Vita za Armenia na Azerbaijan, Armenia walikuwa na hizo Mingi wakithani zitawalinda kutokana na Jets,walikipata Cha mtema kuni.walilipua Jets chache Lakini Jets ambazo Zilipita border ziliwalipua Kama kunguni🤣🤣🤣🤣🤣
Sema hivo tu TZ muko na Bahati DRC militias hawana ujuzi wakutengeneza Rockets mungekipata,Kama vile msumbiji walivyo vuka Border na kuwachoma.Ata France Macron alisema if you don't help your neighbour kutatua matatizo yake yataspread mpaka kwenu.God forbid,thanks to God Jeshi ya Kenya iko Imara Haya matatizo ya alshaaba yangefika TZ na UG Lakini wapi?🇰🇪🔥🔥Never tulivamiwa pekee yetu during Uganda and Tanzania. Mnavamiwa pekee yenu na Al Shabab.
So kila mtu apambane na mambo yake. In short Kenya ifanye mambo yake. Na sisi Tanzania tunafanya mambo yetu. We are not twins.
Videge vyenu tunavilipua kwa SMG.Kwani mtalipua ngapi izo,Niliona wakati wa Vita za Armenia na Azerbaijan, Armenia walikuwa na hizo Mingi wakithani zitawalinda kutokana na Jets,walikipata Cha mtema kuni.walilipua Jets chache Lakini Jets ambazo Zilipita border ziliwalipua Kama kunguni🤣🤣🤣🤣🤣
KDF = KENYA DRINKING FORCE.Sema hivo tu TZ muko na Bahati DRC militias hawana ujuzi wakutengeneza Rockets mungekipata,Kama vile msumbiji walivyo vuka Border na kuwachoma.Ata France Macron alisema if you don't help your neighbour kutatua matatizo yake yataspread mpaka kwenu.God forbid,thanks to God Jeshi ya Kenya iko Imara Haya matatizo ya alshaaba yangefika TZ na UG Lakini wapi?🇰🇪🔥🔥
Hahaha kidogo unaanza kuuona mwanga... Macron alijua ni Tz pekee inaweza kutuliza mambo huko.. Na kweli hali imetulia na macron kaleta neema Tz.Sema hivo tu TZ muko na Bahati DRC militias hawana ujuzi wakutengeneza Rockets mungekipata,Kama vile msumbiji walivyo vuka Border na kuwachoma.Ata France Macron alisema if you don't help your neighbour kutatua matatizo yake yataspread mpaka kwenu.God forbid,thanks to God Jeshi ya Kenya iko Imara Haya matatizo ya alshaaba yangefika TZ na UG Lakini wapi?[emoji1139][emoji91][emoji91]
Nami pia nikikumbuka Mozambique militias wakichoma Vijiji za TZ,Jeshi yenu Imara walivyo kuja wengi na wakatimuliwa mbio😛Maajabu🤣🤣🤣🤣🤣KDF = KENYA DRINKING FORCE.
Nikikumbuka West Gate huwa nahuzunika sana na kutoa machozi
😭😭😭
Issue ya West Gate ilituhuzunisha sana dunia nzima.Nami pia nikikumbuka Mozambique militias wakichoma Vijiji za TZ,Jeshi yenu Imara walivyo kuja wengi na wakatimuliwa mbio😛Maajabu🤣🤣🤣🤣🤣
Nayo ile kuchomwa kwa Vijiji kulitia upungufu moyoni🤣🤣🤣🤣Issue ya West Gate ilituhuzunisha sana dunia nzima.
Ule wizi wa KDF ni wa kuzimu. Ibilisi pekee anaweza fanya hivyo.
Kwani umetumia POP Nini,Hao Si Jeshi Ni Askari ambao Kazi yao Mingi Ni Kula Hongo Vijijini🤣🤣🤣🤣Hawa KDF, vijana wanaviuno kama nyigu.
View attachment 1777239View attachment 1777240View attachment 1777241
KDF = Kenya Drinking ForceNayo ile kuchomwa kwa Vijiji kulitia upungufu moyoni🤣🤣🤣🤣
Kunyaland ipo hii chuma?Yani Jeshi Imara ya TZ#The Best of The Best wanaona wanamgambo wanasepa mbiooo,In East Africa wat a joke
Uongo, hao ndio KDF.Kwani umetumia POP Nini,Hao Si Jeshi Ni Askari ambao Kazi yao Mingi Ni Kula Hongo Vijijini🤣🤣🤣🤣