Somalia wapiga marufuku Sambusa

Somalia wapiga marufuku Sambusa

Shukrani kwa hadithi za kanisa lako


Ongeza zawadi kutoka biblia yako

(36) Anayedaiwa kuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu hulewa na kulazwa uchi. Ni somo gani la maadili katika hili? (Mwanzo 9:21).Na pia soma 1 Samweli 19:24. 2 Samweli 6:20.Isaya 20:3-4. Kusoma maneno haya inaonekana kama kutoka kwa mgonjwa wa akili mlevi kichaa.

(37) Na Jimmy akamtembelea Sara, kama alivyoahidi; akatimiza neno lake na Sara akapata mimba .... (Mwanzo 21:1-2) . { Sasa soma tena ...... wakati huu soma Mungu badala ya Jimmy) Huu ni mangod ya Biblia.

(38) Wachukue watumwa kuwa urithi ( Mambo ya Walawi 25:46 ). Je, hiyo inaonekana kama Mungu huyu ni Mwenye Haki? Je, hiyo inaonekana kama watu wote ni sawa mbele ya Mungu huyu wa Biblia? Mungu mbaguzi kweli!

(39) Wanawake na Watoto ni nyara tu mbele ya Mungu huyu wa Biblia. ( Kumbukumbu la Torati 20:14 ).

(40) Wanaume wanaweza kuwauza binti zao ( Kutoka 21:7 ).

(41) Ni aibu kwa wanawake kusema katika Kanisa ( 1 Wakorintho 14:34-35 ).

(42) Mtu anayedhaniwa kuwa Mungu ana njaa, hawezi kuona kwa mbali, hakujua majira ya tini, hawezi kukua tini mara moja, na aliulaani mti kwa jambo ambalo mti hauwajibiki nalo .....Soma Marko sura ya 11.

(43) Musa aliandika vitabu vitano vya kwanza vya Agano la Kale na ndivyo wanavyodai. Inakuwaje mtu aliyekufa akaandika Obituary yake mwenyewe? ( Kumbukumbu la Torati 34:5-10 ).

(44) Ni nani aliyewahesabu Israeli? Mungu AU Shetani? (11 Samweli 24 AU 1 tarehe 21) !

(45) miaka 7 au miaka 3? ( 11 Samweli 24:13 AU 1 Mambo ya Nyakati 21:11 ) .
Nyinyi mkibishana hamtafika popote sababu nyie wabantu mnajua historia za waarabu na wayahudi na hamjui za babu zenu!!Hivi hamuoni aibu ndugu zangu????
 
muhammad ameua watu 8 kwa
Kukata mikono yote miwili
Kutoboa macho yote kwa kutumia misumari iliyo yamoto
Kuwaacha na kiu mpaka wakafa

Nukuu sahih
Muhammad
... he had their hands and feet cut off. Then he ordered for nails which were heated and passed over their eyes, and they were left in the Harra (i.e. rocky land in Medina). They asked for water, and nobody provided them with water till they died Sahih al-Bukhari, Volume 4, Book 52, Number 261


Kumbe hadithi imeanza na dots ......... maana yake ni kitu gani ??
 
Kaka kweli muhamadi alikua anaua au unanipanga mdogo wako?????Nasikia alikua muungwana???
Maandiko ya waislamu ndio yanasema na Aya ya Koran ndio inasema jinsi ya kumuua anaempinga Muhammad

Jinsi alivyo ya watu 8
Nukuu sahih
Muhammad
... he had their hands and feet cut off. Then he ordered for nails which were heated and passed over their eyes, and they were left in the Harra (i.e. rocky land in Medina). They asked for water, and nobody provided them with water till they died Sahih al-Bukhari, Volume 4, Book 52, Number 261

Na Aya ya Koran inayoelekeza jinsi ya kumuua anaempinga Allah na Muhammad

Koran 5:33 ya wale wanao mpiga vita Allah na Muhammad wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho

Ukikutana na muislamu safi na wewe unampinga Muhammad anatakiwa akutoe uhai Kwa kukusulubisha , kukukata mikono na miguu
 
Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.

Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)

Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.

Au ndio udogo wa kufikiri?

Source : Somali Extremist Group Bans Samosas in Country

View attachment 2473792
Alshabaab siyo serikali inayoongoza Somalia.

Mderators angalieni heading ikae sawa
 
Sass mbona wanatumia quran na wanakwenda misikitini
Wanatumia quran kufanyaje? mtu anaweza kusoma quran na asiifanyie kazi na hawa ndo waislamu kwa asilimia kubwa.

Hao ni wasomali, ukienda nairobi swala ya alfajiri msikiti unajaa mpaka imamu humuoni halafu wakitoka wanakamata mirungi so sio hoja ya kuhalalisha.
 
Kumbe hadithi imeanza na dots ......... maana yake ni kitu gani ??
Maana yake Kuna maneno nyuma , nimeweka point niliyotaka

Muhammad aliwatoboa macho Kwa kutumia misumari ambayo ilikuwa kwenye moto ,


Muhammad
... he had their hands and feet cut off. Then he ordered for nails which were heated and passed over their eyes, and they were left in the Harra (i.e. rocky land in Medina). They asked for water, and nobody provided them with water till they died Sahih al-Bukhari, Volume 4, Book 52, Number 261

Alivyo maliza akaweka aya ya 5:33 kuwambia waislamu jinsi ya kumtoa uhai anaempinga Muhammad na Allah
 
Bro hata ukiwa na itikadi tofauti na serikali unachinjwa!!!Ukimpinga mfalme unachinjwa kwa kubambikiwa kesi ya kukashifu dini!!!Afu asilimia tisini na maskini ndio wahanga!!!!Mara mbili tu ndio nilishuudia watu wa koo ya kifalme wakiuawa!!!!Ukikaa kule ukashuudia siasa yao ndio utanielewa nachosema
Hao ndo wale nimewazungumzia jana, ukileta kwenda kinyume na mtawala atakufanya kile anachoona ni sawa kwake, utamlaumu nani? wewe unamiliki ndevu tu yeye ana jeshi na madaraka unatarajia nini?.

Ndio maana mafunzo ya uislamu ni kuwatii watawala muda wa kuwa hawajakuamrisha kufanya maasi vinginevyo utapata tabu tu.
 
Jifunze kujibu basi

kwa nini muhammad alimuuliza punda kama anapenda mademu?


Ongezea na hii


Ufunuo 12:1-9, joka ataingia mbinguni na kufanya vita na malaika!
Ni hadithi ya kawaida kutoka kwa ulimwengu wa kichawi.

Mathayo 27:51-53, ufufuo wa wafu wakati wa kusulubishwa haukutajwa na injili tatu, na inachukuliwa kuwa hadithi ya hadithi kulingana na maoni ya Biblia.

Waamuzi 9:7-16 , miti ilimpigia kura Mfalme wao wenyewe.

Waamuzi 9:8 “Siku moja miti ilitoka ili kumtia mafuta mfalme juu yake.

“Biblia ina mitindo mbalimbali ya uandishi kama vile mashairi, masimulizi, hekaya, historia, sheria, na unabii na lazima ifasiriwe kulingana na mitindo hiyo.

Mambo ya Walawi 11:20-23 “Wadudu wote warukao, waendao kwa miguu minne, ni machukizo kwenu.

Hakuna wadudu wenye miguu minne.

Mambo ya Walawi 11:6 "Sungura, ingawa anacheua, hana kwato zilizopasuka, ni najisi kwenu." Sungura, ni lagomorphs,

Dunia ni tambarare, ina pembe nne, imesimama juu ya nguzo zinazoizuia isitetemeke, na haiwezi kutikisika. (1 Samweli 2:8, Ayubu 9:6, Ayubu 38:4, Isaya 11:12, Ufunuo 7:1, Ayubu 38:13, Yeremia 16:19, Danieli 4:11, Zaburi 93:1-3, Zaburi. 96:10, Zaburi 104:5, 1 Mambo ya Nyakati 16:30, Mathayo 4:8)
 
Maana yake Kuna maneno nyuma , nimeweka point niliyotaka

Muhammad aliwatoboa macho Kwa kutumia misumari ambayo ilikuwa kwenye moto ,


Muhammad
... he had their hands and feet cut off. Then he ordered for nails which were heated and passed over their eyes, and they were left in the Harra (i.e. rocky land in Medina). They asked for water, and nobody provided them with water till they died Sahih al-Bukhari, Volume 4, Book 52, Number 261

Alivyo maliza akaweka aya ya 5:33 kuwambia waislamu jinsi ya kumtoa uhai anaempinga Muhammad na Allah

... he had their hands

Hizo dots za kazi gani ??

Endelea kupata zawadi za biblia yako

Danieli 4:10-11 inatangaza kwamba dunia ni tambarare, “

Haya ndiyo maono niliyoyaona nikiwa nimelala kitandani mwangu: Nikatazama, na tazama, mbele yangu umesimama mti katikati ya nchi, urefu wake ulikuwa mkubwa sana. mti ukakua mkubwa, ukawa na nguvu, na kilele chake kilifika angani, ukaonekana hata miisho ya dunia.”

Mathayo 13:31-32 “Akawaambia mfano mwingine: “Ufalme wa mbinguni umefanana na mbegu ya haradali ambayo mtu aliitwaa na kuipanda katika shamba lake. Ingawa ni ndogo kuliko mbegu zako zote,” Mbegu ya haradali si ndogo kuliko mbegu zote. Nyingine, kama vile mbegu ya okidi, ni ndogo zaidi.

Marko 16:18 "watashika nyoka kwa mikono yao; hata wakinywa sumu ya kufisha, haitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya." Wakristo wakihangaishwa sana na uwongo wa aya hii kwa sababu ya vifo vingi walivyopata kwa sababu yake, hata wanatheolojia wa Biblia wanasisitiza kukanusha mistari hii kwa kusema: “Nakala ya awali yenye kutegemeka zaidi na mashahidi wengine wa kale hawana Marko 16:9-10. 20." [1] [2].

Yohana 12:24 "Nawaambieni kweli, chembe ya ngano isipoanguka chini, ikafa, hubakia kuwa mbegu moja tu; lakini ikifa, hutoa mbegu nyingi." Huo ni uwongo kisayansi. Mbegu iliyokufa haitoi mbegu mpya.

Yakobo 5:3 dhahabu na fedha huota kutu.
 
... he had their hands
Ni Kwa sababu nyie sio waislamu safi kama Al shabab maagizo ya Allah yapo clear

Koran 5:33 ya wale wanao mpiga vita Allah na Muhammad wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho
 
Jifunze kujibu basi

kwa nini muhammad alimuuliza punda kama anapenda mademu?


Wewe endelea kupata zawadi kutoka biblia yako

Mwanzo 1:16, MUNGU Mwenyezi aliumba taa mbili, jua na mwezi, kila moja ikitoa mwanga wa kujitegemea kwa dunia. Kiebrania husema "taa mbili", ikimaanisha kila moja ikitoa mwanga wake unaojitegemea.

Mambo ya Walawi 12:2-5, mwanamke husababisha uchafuzi maradufu anapozaliwa kuliko ule wa mvulana.

Mama hubaki najisi kwa siku 66 baada ya kuzaliwa kwa mwanamke badala ya siku 33 ikiwa atamzaa mwanamume.


1 Wakorintho 2:15 Kiongozi wa kiroho yuko juu ya sheria; yeye ndiye Sheria kuu! Yeye “Mtu wa rohoni huamua mambo yote, lakini yeye mwenyewe hahukumiwi na mtu ye yote.

Tatizo la mstari huu ni upuuzi , kwa sababu viongozi wa kiroho wa Kikristo wa madhehebu yote wanajulikana kihistoria kwa kufichuliwa na kashfa nyingi za ufisadi, wizi, matumizi mabaya ya michango kwao, uasherati, ushoga, ulawiti kupita kiasi. na hata uanzishaji wa vita na mateso.

Basi ni jinsi gani mtu ye yote wa imani yoyote, ambaye kama mwanadamu anaweza wakati wowote, kuwa juu na zaidi ya Sheria ?
 
Ni Kwa sababu nyie sio waislamu safi kama Al shabab maagizo ya Allah yapo clear

Koran 5:33 ya wale wanao mpiga vita Allah na Muhammad wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho
Leviticus
16 anyone who blasphemes the name of the Lord is to be put to death. The entire assembly must stone them. Whether foreigner or native-born, when they blaspheme the Name they are to be put to death.
 
Jifunze kujibu basi

kwa nini muhammad alimuuliza punda kama anapenda mademu?
Mathew 5

29 Jicho lako la kulia likikukosesha, ling'oe na ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako, kuliko mwili wako wote kutupwa katika jehanum.

30 Na mkono wako wa kuume ukikukosesha, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja kuliko mwili wako wote kwenda jehanamu.


Hakuna mkristo yoyote aliyefuata maagizo haya ya Yesu , UNAFIKI MTUPU
 
Mathew 5

29 Jicho lako la kulia likikukosesha, ling'oe na ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako, kuliko mwili wako wote kutupwa katika jehanum.

30 Na mkono wako wa kuume ukikukosesha, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja kuliko mwili wako wote kwenda jehanamu.


Hakuna mkristo yoyote aliyefuata maagizo haya ya Yesu , UNAFIKI MTUPU
Kwenye mjadala , wewe umeuliza na kukebei punda kuongea kwenye biblia

Ukajisahau Muhammad alioongea na punda akamuuliza swali la kijinga Sana 😂😂😂😂

Ulimuuliza punda kama anapenda mademu , kumbe punda alikuwa li bwabwa likamwambia halipendi

Kwa Nini muhammad alimuuliza hilo swali?
 
Kwenye mjadala , wewe umeuliza na kukebei punda kuongea kwenye biblia

Ukajisahau Muhammad alioongea na punda akamuuliza swali la kijinga Sana 😂😂😂😂

Ulimuuliza punda kama anapenda mademu , kumbe punda alikuwa li bwabwa likamwambia halipendi

Kwa Nini muhammad alimuuliza hilo swali?

Mimi nimechukua kutoka kitabu mnachosema ni maneno ya mungu, si hadithi Za kanisa Kama ulivyoleta wewe
Mathew 5

29 Jicho lako la kulia likikukosesha, ling'oe na ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako, kuliko mwili wako wote kutupwa katika jehanum.

30 Na mkono wako wa kuume ukikukosesha, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja kuliko mwili wako wote kwenda jehanamu.


Hakuna mkristo yoyote aliyefuata maagizo haya ya Yesu , UNAFIKI MTUPU
 
Kwenye mjadala , wewe umeuliza na kukebei punda kuongea kwenye biblia

Ukajisahau Muhammad alioongea na punda akamuuliza swali la kijinga Sana 😂😂😂😂

Ulimuuliza punda kama anapenda mademu , kumbe punda alikuwa li bwabwa likamwambia halipendi

Kwa Nini muhammad alimuuliza hilo swali?
Mathew 5

29 Jicho lako la kulia likikukosesha, ling'oe na ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako, kuliko mwili wako wote kutupwa katika jehanum.

30 Na mkono wako wa kuume ukikukosesha, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja kuliko mwili wako wote kwenda jehanamu.


Hakuna mkristo yoyote aliyefuata maagizo haya ya Yesu , UNAFIKI MTUPU
 
Back
Top Bottom