Somalia wapiga marufuku Sambusa

Somalia wapiga marufuku Sambusa

Waislamu wengi wa kiafrika hawajui Quran kwasababu ya lugha.
Huyu mifano yote ameitoa kwenye biblia. Angeaonyesha kwa mifano kuwa kwenye Quran hakuna jambo hilo, Ningemuelewa sana.
Huwa napata wakati mgumu sana kujua hawa watu kama wanaelewa Quran vilivyo.
Hata maandiko yao hapa JF utayakuta yale ya Rest in peace, najuni sijui nini lkn mambo mengine kuhusu yaliyoandikwa kwenye Quran hakuna.
Wewe ungekuwa mjumbe mzuri sana kwa kuelezea Quran ilivyokuwa nzuri lkn umeishia kwenye Biblia.
Cha ajabu na kinachosikitisha huyu Yesu ambaye humtambui lkn Quran inamtabua kama nabii issa lkn kwa sababu hamjui lugha mnafikiri Yesu wa kwenye Biblia na kwenye Quran ni yule yule.
Muislamu ukimwambia mimi ni mkristo nihubirie ili nisilimu. Hapo ataanza kuikosoa Biblia, atatoa mifano mingi ya kwenye Biblia 99% na Quran 1% anamalizia kukuambia ni dini ya haki. Unashangaa hawa watu wanaelewa au wamekaririshwa?
Hongera sana kwa kuisoma Biblia, hii inaonesha unaisoma na kuikubali sana Biblia kuliko Quran. Kinachokufanya usiisome Quran ni kwasababu huijui lugha ya kiarabu. Bila kujua lugha ya Kiarabu huwezi kusali wala kwenda peponi lakini kwetu Mungu wetu anajua lugha zote.

Kuna njia mbili zinazoweza kupitiwa ili kuufikia utambulisho wa Yesu Kristo na yaliyomo katika ujumbe wake.

Ya kwanza inaangazia makusanyo ya rekodi za kihistoria za wanahistoria wa kisasa kutoka katika maandiko na masalio ya kipindi hicho na ya pili inaangazia ripoti zilizomo katika Maandiko ya ufunuo.

Kwa ukweli, kuna ushahidi mchache mno unaotufahamisha kuwa Yesu alikuwa ni nani, au unaobainisha ujumbe wake ulikuwa ni nini.

Nyaraka rasmi za kihistoria za kipindi hicho kwa hakika hazina rekodi yoyote juu ya Yesu.

Msomi wa Biblia, R.T. France, anaandika,

"Hakuna andiko lolote la karne ya kwanza linalomtaja Yesu na hakuna kitu chochote au jengo lolote lililobakia na ambalo lina uhusiano naye."

Ukweli huu umewafanya baadhi ya wanahistoria wa Kimagharibi kukosea na kudai eti Yesu Kristo wa hakika hajapatapo kuwepo.

Kwa hiyo, kimsingi, utafiti lazima uegemee maandiko matakatifu yanayoeleza haiba na kazi za Yesu Kristo.

Maandiko matakatifu yatakayoulizwa ni yale yanayotambulikana kirasmi na dini zote mbili Ukristo na Uislamu.

Hata hivyo, kuchambua barabara, maelezo yaliyomo katika maandiko ya kidini, ni jambo la msingi kuanzia na kupima usahihi wa maandiko hayo.

Je, vitabu vya dini ni vyanzo vya kuaminika kuwa nyaraka za ushahidi, au ni ubunifu wa simulizi za kibinadamu na visa asili, au ni mchanganyiko wa yote mawili?

Je, Biblia, Agano la kale na Jipya ni maandiko ya ufunuo wa Mungu?

Je, Quran (Kurani) ni sahihi?

Nitaendelea
 
Leta ushahidi tu uzuri uislamu una ushahidi juu ya kila sheria yake, leta hapa huo ushahidi kuwa unaweza kukurupuka tu ukashika panga na kukamata watu na kuanza kuwachinja.
Sasa huo waleta ni uzuzu ,ni wapi umeambiwa kukurupuka? Kasome sura ya 47 Aya ya nne, kwa hiyo mtu akikwambia salat ni ibada ndio kakwambia ukurupuke na janaba au hedhi ukasali ??
 
Saudia wanahukumu kwa sheria, ukiona mtu anachinjwa ujue na yeye ameua mtu so analipwa kwa kisu vilevile kama alivyofanya, hapo hakuna ubaya.
Acha uzandiki wewe ati saudia wahukumu kwa Sheria kwani waliomuua Jamal kashogi lini uliona wamehukumiwa? Hivi hujui Christiano Ronaldo kasajilliwa timu ya saudia ? Mavazi yake yapo kwenye sheria ya dini?
Matamasha ya muziki yanayofanyika saudia yapo kwenye sheria,,? Dogo usiwe mfuasi wa Mohamed bin Salman ukajipofusha akili
 
Hayo ni mafunzo ya ufalme wa Saudia katika uislam hakuna mafunzo hayo ingekuwa hivyo mussa asingepingana na firawn(mtawala), Nabiy Muhammad asingepingana na kina Abu Jahal mpaka akahama makka na suala la madhara si ndio maana akaweka pepo kwa atakayehami dini yake,dogo usiwe na Akili za kushikiwa
Hao ndo wale nimewazungumzia jana, ukileta kwenda kinyume na mtawala atakufanya kile anachoona ni sawa kwake, utamlaumu nani? wewe unamiliki ndevu tu yeye ana jeshi na madaraka unatarajia nini?.

Ndio maana mafunzo ya uislamu ni kuwatii watawala muda wa kuwa hawajakuamrisha kufanya maasi vinginevyo utapata tabu tu.
 
Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.

Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)

Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.

Au ndio udogo wa kufikiri?

Source : Somali Extremist Group Bans Samosas in Country

View attachment 2473792
Hizi dini nyingine nadhani ni makosa makubwa kuzihusisha na mwenyezi Mungu
 
Wanafuata mafundisho sahih ya muhammad wewe kama hufanyi hivyo Jua wewe sio muislamu safi

Muhammad said
I will expel the Jews and Christians from the Arabian Peninsula and will not leave any but Muslim. Sahih Muslim 1767a
Ajabu kweli yaani anayefuata mafundisho ndiye sio muislam safi na anayepinga ndiye awe muislam safi akili ya wapi hii ? Ikiwa Muhammad aliacha maagizo wakristo na wayahudi wafukuzwe ghuba ya arabuni wao mafundisho ya kuwaleta kina Christiano Ronaldo wameyatoa wapi ? Halafu wao ndio wawe waislam safi hii ni Akili au matope?
 
Muhammad ndie muanzilishi wa ugaidi , msome anajitaja kabisa anaua na kufanya ugaidi

Muhammad anasema
I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
Kutoka kwa Sa’iyd bin Jubayr[35] amesema kuwa: “Rasuli wa Allaah (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ) aliua watu watatu katika vita vya Badr.”[36] [Imetolewa na Abuu Daawuwd katika kitabu chake cha Al-Maraasil na wapokezi wake ni madhubuti]


Sasa jiuljze anayoyafanya hayo anamfuata Muhammad au anampinga?
 
Sasa huo waleta ni uzuzu ,ni wapi umeambiwa kukurupuka? Kasome sura ya 47 Aya ya nne, kwa hiyo mtu akikwambia salat ni ibada ndio kakwambia ukurupuke na janaba au hedhi ukasali ?? Juha kalulu kweli wewe
Mbona kunitukana aisee, kwani kuna ulazima mimi kukujibu? then nanyamaza kama hauwezi kuwa mstaarabu na kufanya mjadala huru basi.
 
Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.

Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)

Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.

Au ndio udogo wa kufikiri?

Source : Somali Extremist Group Bans Samosas in Country

View attachment 2473792
Safi
Wana kataa dini zilizoletwa na mkoloni
 
Waislamu wengi wa kiafrika hawajui Quran kwasababu ya lugha.
Huyu mifano yote ameitoa kwenye biblia. Angeaonyesha kwa mifano kuwa kwenye Quran hakuna jambo hilo, Ningemuelewa sana.
Huwa napata wakati mgumu sana kujua hawa watu kama wanaelewa Quran vilivyo.
Hata maandiko yao hapa JF utayakuta yale ya Rest in peace, najuni sijui nini lkn mambo mengine kuhusu yaliyoandikwa kwenye Quran hakuna.
Wewe ungekuwa mjumbe mzuri sana kwa kuelezea Quran ilivyokuwa nzuri lkn umeishia kwenye Biblia.
Cha ajabu na kinachosikitisha huyu Yesu ambaye humtambui lkn Quran inamtabua kama nabii issa lkn kwa sababu hamjui lugha mnafikiri Yesu wa kwenye Biblia na kwenye Quran ni yule yule.
Muislamu ukimwambia mimi ni mkristo nihubirie ili nisilimu. Hapo ataanza kuikosoa Biblia, atatoa mifano mingi ya kwenye Biblia 99% na Quran 1% anamalizia kukuambia ni dini ya haki. Unashangaa hawa watu wanaelewa au wamekaririshwa?
Hongera sana kwa kuisoma Biblia, hii inaonesha unaisoma na kuikubali sana Biblia kuliko Quran. Kinachokufanya usiisome Quran ni kwasababu huijui lugha ya kiarabu. Bila kujua lugha ya Kiarabu huwezi kusali wala kwenda peponi lakini kwetu Mungu wetu anajua lugha zote.


Wanazuoni wengi wa madhehebu na vikundi mbalimbali vya Kikristo wamethibitisha kuwa sehemu kubwa ya maandiko ya Biblia ina mashaka makubwa juu ya uhalisia wake.

Katika utangulizi wa Ngano za Mungu mwenye Mwili, Mtunzi ameandika yafuatayo:
"Katika karne ya kumi na tisa, Wakristo wa Kimagharibi walifanya marekebisho makubwa mawili ili kuitikia wito wa kupanuka kwa elimu ya wanadamu: imekubalika kuwa mwanadamu ni sehemu ya maumbile na ameibuka kuwa ni miongoni mwa wanamageuzi wa mfumo wa maisha duniani;
Imekubalika kuwa vitabu vya Biblia vimeandikwa na watu tofauti tofauti katika matukio tofauti tofauti na haviwezi kukubaliwa kuwa ni utunzi wa Mungu wa neno kwa neno."

Katika gazeti la kimataifa la, Newsweek , lililobeba makala yenye kichwa 'Oo Bwana, Nani Aliyeandika Dua hii?'
kikosi cha wanatiolojia kutoka katika dhehebu kuu la kiporestanti, pamoja na Wasomi muhimu wa Biblia wa Kikatoliki nchini Marekani, baada ya ukaguzi wa kina wa miswada ya mwanzo kabisa ya Agano Jipya, wamehitimisha kuwa maneno pekee ya "Dua ya Bwana ambayo yanaweza kunasibishwa barabara na Yesu Kristo ni "baba".

Na hilo, ni kwa mujibu wa wasomi hao wa kanisa, maneno yote yaliyokuja baada ya ibara ya kwanza, "Baba yetu", ambayo ni dua muhimu sana ya Kikristo, yaliongezwa karne nyingi na waandishi wa kanisa walionukuu miswada ya mwanzoni ya Injili.

Shirika la U.S News & World Report, linanukuu zaidi kuwa, kikundi cha wasomi kilisema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maneno yaliyoandikwa katika Injili kumhusu Yesu huenda ni ya kubuniwa.

Miongoni mwa hayo likiwemo neno la Ekaristi ya Yesu katika Karamu ya Mwisho ("Chukua, kula. Huu ni mwili wangu…") na kila neno aliloambiwa kuwa amelitamka toka msalabani.
 
Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.

Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)

Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.

Au ndio udogo wa kufikiri?

Source : Somali Extremist Group Bans Samosas in Country

View attachment 2473792
Chanzo cha habari kikiwa ni hao fox news basi ujuwe ni ushoga mwingi kwenye kuripori. Baada mistari michache wanakuja na propaganda nyingi. Eti watu laki nane wana njaa.....watakufa kwa .......
Achana na habari zao hao watakufanya uonekane akili zako kama wao.
 
Msilamu ni mtu gani ?? Jibu swali unaloulizwa

Kwani Bwana yesu alikuwa mkristo ?
Gavana uwe unauliza maswali kwa kutumia akili ilipo ndani ya fuvu lako , hajapewa fuvu uwe unalipigiza tu sakafuni

Yesu ndie kristo

Na muislamu ni mtu asie kuwa na imani ame surrender kwa muhammad na Allah Yani ni slave of Allah
 
Back
Top Bottom