Somalia wapiga marufuku Sambusa

Somalia wapiga marufuku Sambusa

Ndivyo mnavyojitetea,jibu lako sijashangaa hata. Ruhusuni basi saudia Uhuru wa kuabudu kwa watu wa dini zingine km nyie mlivyokuwa huru kuabudu kwenye nchi zenye misingi ya dini zingine.
Sio kujitetea kama una ushahidi leta, ama saudia ni nchi ya kiislamu na inahukumu kwa misingi ya uislamu licha ya mapungufu madogo madogo lakini wako kwenye unafuu mkubwa, ukiona haikufai kuishi huko ya nini kuminyana kwenye nchi za watu wenye jamii msizoendana mkuu si wahame tu.
 
Sio kujitetea kama una ushahidi leta, ama saudia ni nchi ya kiislamu na inahukumu kwa misingi ya uislamu licha ya mapungufu madogo madogo lakini wako kwenye unafuu mkubwa,
Huu Ni udhaifu mkubwa sana. Nyinyi mnaishi vizuri kwenye nchi za wengine zenye nifumo ya dini zao,tena Kuna mda mnaandamana kudai haki fulani fulani vitu fulani viruhusiwe kwa muislamu ,kwa Nini wao wakija kwenu mnawakataza kuabudu kwa dini zao? Hivi hujui Kuna watu wanaenda saudia kikazi km udaktari? Yani Ukiwa mkristo pale labda usali kwenye chumba chako, vinginevyo huna haki ya kuabudu, alafu wewe unakuja kusema kirahisi tu "si wahame"👇👇
ukiona haikufai kuishi huko ya nini kuminyana kwenye nchi za watu wenye jamii msizoendana mkuu si wahame tu.
 
Sio sawa, hao wanamgambo wanahitaji bakora za kutosha kuviweka vichwa vyao sawa.
Ni sawa tu, ukiona sharia ngumu una sepa tu, unaingia ktk makambi ya wakimbizi huko kenya, au unaenda lamu, mombasa, tanga kwenye amani
 
Huu Ni udhaifu mkubwa sana. Nyinyi mnaishi vizuri kwenye nchi za wengine zenye nifumo ya dini zao,tena Kuna mda mnaandamana kudai haki fulani fulani vitu fulani viruhusiwe kwa muislamu ,kwa Nini wao wakija kwenu mnawakataza kuabudu kwa dini zao? Hivi hujui Kuna watu wanaenda saudia kikazi km udaktari? Yani Ukiwa mkristo pale labda usali kwenye chumba chako, vinginevyo huna haki ya kuabudu, alafu wewe unakuja kusema kirahisi tu "si wahame"👇👇
Sasa mkuu ukienda kutafuta pesa kwenye nchi ambayo hamfanani mifumo si unavumilia kwaajili ya malengo, kuhusu hayo maandamano ya hao watu pia nikufahamishe wala hawawakilishi uislamu, kwenye uislamu maandamano ni haramu kabisa.
 
Kwani al shabaab huko somalia wanapambana na kuwaua kina nani kama sio waislamu wenzao? so wewe Mcqueenen ukifuga fisi tutasema ni ukristo ndio unafuga fisi, jenga hoja kwa utafiti si mihemko na chuki zisizo na sababu mkuu.
Wanaouliwa sio waislam, wanauliwa wanafki.
Mnafiq ni kafir

Mtu yeyote anayepinga sharia za Quran na hadeeth kisa umagharibi, sio muislam ni mnafiq
Ameshakuwa brainwashed na usasa.
 
Wanaouliwa sio waislam, wanauliwa wanafki.
Mnafiq ni kafir

Mtu yeyote anayepinga sharia za Quran na hadeeth kisa umagharibi, sio muislam ni mnafiq
Ameshakuwa brainwashed na usasa.
Wao huwa wanatega mabomu kwenye magari wakizingatia mikusanyiko yenye watu wengi kama masokoni, viwanjani n.k pale wanajuaje nani muislamu nani asiye muislamu? then kipimo cha unafiki anakifanya nani wakati wao ndio wabakaji wakubwa na wengine hata hawaswali?.

Tukizungumza tuwe waadilifu wale wahuni wa kisomali wasihusishwe na uislamu watuhumiwe wenyewe na ujinga wao.
 
Uslam una kitu kinachoitwa christophobia yani wanauogopa sana ukristo mana ukristo ukiingia katika jamii zao basi wengi watauacha uislam na misikiti kubaki magofu.
Ukiridito uko watu washamba wasio jitambua walami hawana ujinga huu wa mwamposa
 
Uslam una kitu kinachoitwa christophobia yani wanauogopa sana ukristo mana ukristo ukiingia katika jamii zao basi wengi watauacha uislam na misikiti kubaki magofu.
Muislamu yupi anaeuogopa ukristo? sisi tunawaandaa watoto wetu tangu wanaanza kujifunza kusema, tunawaandaa kuipenda dini yao na kuisoma vizuri na mafundisho yake, utakuja vipi kumbadilisha kisa tu unatembea na spika na kasuti keusi huku unapiga kelele kwenye jua kali masokoni na kwenye mikusanyiko ya watu? kweli kuna waislamu wengi wasiojitambua lakini hakuna tishio unalolisema.

Halafu mkuu hapa afrika mashariki uislamu una zaidi ya miaka 1000 wakati jamaa zetu wa kimissionari hawana hata miaka 300 tangu wakanyage hapa na kuanza mafunzo yao, so kiasi fulani tumejiweka sawa kwa karne nyingi.
 
Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.

Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)

Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.

Au ndio udogo wa kufikiri?
View attachment 2473792
Source:

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mkuu ukienda kutafuta pesa kwenye nchi ambayo hamfanani mifumo si unavumilia kwaajili ya malengo, kuhusu hayo maandamano ya hao watu pia nikufahamishe wala hawawakilishi uislamu, kwenye uislamu maandamano ni haramu kabisa.
Una hoja nyepesi Sana Kama pamba.

Wale waislamu pale German wanaopigania Haki kwa kuandamana ili wanawake waruhusiwe kuvaa hijab sijui niqab (I don't know the difference,naomba unifafanulie),so wale siyo waislamu kisa wanafanya maandamano na maandamano Ni Haram kwenye dini ya uislamu?

Kuna mahali mnafeli na mna hoja nyepesi Sana. Mtu anaua huku anataja jina la Mungu wenu Allah Tena huyu mtu ni imam kwenye msikiti,na kipindi chote anatambulika Kama "muislamu safi" mnakuja kumkana.. eti huyo siyo muislamu kisa kafanya mauaji,muislamu hawezi kufanya kitu kama hiko..!! Hoja nyepesi sana mko nazo,Kama hizi ulizozimention huko juu!!
 
Back
Top Bottom