Somalia wapiga marufuku Sambusa

Somalia wapiga marufuku Sambusa

Una hoja nyepesi Sana Kama pamba.

Wale waislamu pale German wanaopigania Hali kwa kuandamana ili wanawake waruhusiwe kuvaa hijab sijui niqab (I don't know the difference,naomba unifafanulie,so wale siyo waislamu kisa wanafanya maandamano na maandamano Ni Haram kwenye dini ya uislamu?

Kuna mahali mnafeli na mna hoja nyepesi Sana. Mtu anaua huku anataja jina la Mungu wenu Allah Tena huyu mtu ni imam kwenye msikiti,na kipindi chote anatambulika Kama "muislamu safi" mnakuja kumkana.. eti huyo siyo muislamu kisa kafanya mauaji,muislamu hawezi kufanya kitu kama hiko..!! Hoja nyepesi sana mko nazo,Kama hizi ulizozimention huko juu!!
Huwezi kuita hoja zangu nyepesi wakati wewe hujaleta nzito kuzinyepesisha za kwangu, mimi ni muislamu tena ninayeuelewa uislamu nakueleza mambo hayo hayaruhusiwi kwenye uislamu unazipinga hoja zangu kwa kuniambia kuna mtu alikuwa anamchinja mtu mwingine huku anasema allah akbar hapa mwenye hoja nyepesi ni nani?.

Okay ngoja nikupe faida moja, kuna watu wanaitwa makhawaarij hawa hawakuanza leo wameanza ufisadi wao tangu karne za mwanzo kabisa kwenye historia ya uislamu, watu hawa ndio waliowaua watu watukufu na waheshimiwa katika uislamu na wamezungumzwa zaidi kwenye uislamu kwa lugha mbaya kuliko hata hiyo unayoisema wewe, na wao ndio watu waovu zaidi wanaouwawa chini ya mbingu na ni haki yao kuuwawa kama mtawala akiweza kufanya hivyo, watu wabaya kabisa na watu wanaotembea na mifumo yao ni kama alqaeda, alshabaab, isis, islamic jihad, boko haram n.k hata hawa hapa capo delgado msumbiji ni mfano wao..

Sasa hawa ni extremists na wanayoyafanya hayahusiani na uislamu kama nilivyokueleza tangu mwanzo sema sina muda ningekunukulia hadithi nyingi tu kuwasema vibaya wao.

Kuhusu wale waislamu wa ufaransa ziko fataawa nyingi tu kuwataka watoke kwenye nchi ambazo wanashindwa kudhihirisha dini yao kwa uhuru na si vyema kukaa kati ya watu ambao wanawanyima uhuru wa kuabudu totally, allah anasema kuwahusu watu kama hawa katika quran.

"Hakika wale ambao wanafishwa na malaika hali ya kuwa wamezidhulumu nafsi zao, wakiwaambia mlikuwa katika hali gani? watasema "tulikuwa ni madhaifu katika ardhi" watawaambia: hivi haikuwa ardhi ya allah ni pana mkahamia humo? basi hao mafikio yao ni jahannam, na marejeo mabaya zaidi ni hiyo jahannam"

Quran 4:97

So hao watu hakuna sheria inayowaruhusu kuandamana kwani ni kinyume na misingi ya uislamu na miongozo inawataka kujiweka mbali na sehemu kama hizo, kuhusu wale wauaji nimekueleza hapo juu.
 
Muislamu yupi anaeuogopa ukristo? sisi tunawaandaa watoto wetu tangu wanaanza kujifunza kusema, tunawaandaa kuipenda dini yao na kuisoma vizuri na mafundisho yake, utakuja vipi kumbadilisha kisa tu unatembea na spika na kasuti keusi huku unapiga kelele kwenye jua kali masokoni na kwenye mikusanyiko ya watu? kweli kuna waislamu wengi wasiojitambua lakini hakuna tishio unalolisema.

Halafu mkuu hapa afrika mashariki uislamu una zaidi ya miaka 1000 wakati jamaa zetu wa kimissionari hawana hata miaka 300 tangu wakanyage hapa na kuanza mafunzo yao, so kiasi fulani tumejiweka sawa kwa karne nyingi.

Umeelewa hata nilichokua naongelea au umejibu nawe uonekane umejibu
 
Yaani adui mpe story kidogo mwachie aichambue

Yaani ni mpumbavu tu ataamini uongo huu
Nenda kaulize wasomali Lumumba kama ni kweli
Mwenye chuki ya Uislam atatukana bila hata kuwa na uhakika kuwa hii Habari ni kweli au uongo

Alshabab wanauwa ila la hili ni mjinga tu mwenye chuki ataamini ya sambusa
Na hii tabia ya kuamini kila kitu bila utafiti mdogo tu wengi hamna

Muwe mna Google kabla ya ku comment wengi ni wavivu ww kujiongeza ndio maana vita haziishi kwenye njaa kwa sababu mnaamini kila uongo unaoweza kuleta mtafaruku

Eti Sambusa marufuku weka sheria hiyo hapa na waliotukana tuwaone.
rubbish
 
Uslam una kitu kinachoitwa christophobia yani wanauogopa sana ukristo mana ukristo ukiingia katika jamii zao basi wengi watauacha uislam na misikiti kubaki magofu.
Ulaya makanisa yameuzwa sana na Uislam umeongezeka sana
Kuna makanisa wameyafungua walokole na kugawa chai na biscuits za bure kila siku
Ukipita wanakuomba uje unywe chai tu

Yaani kuanzia dini mpaka kunywa chai na kupiga soga
Hakuna Muislam anaeuogopa ukristo kwa sababu mafundiksho yanatofautiana
Nyie mnamuita yesu mungu na sisi tunajua ni binadamu kama wewe sasa tuogope kwa lipi na kuwa wakristo?
 
yani kuna dini nyingine zina mambo ya ajabu Sana....
 
Dahh! Wasomali bana 😂😂😂😂

Hawa jamaa kweli hawakogo sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 dahh! Nimecheka kifala!
 
Mirungi sio kosa somalia wakati ni kilevi. wavaa kobazi watakuletea ayaha hapa mpaka utakimbia
 
Hakkuna neno linanikarahisha kama hili😆
Lazima ukarahike..! Neno lenyewe limekaa ki dharau dharau.

Kusitiri mtu mfano Wake ni kama yupo Uchi Vile mbele Ya Kadamnasi halafu atokee mtu amrushie kipande cha nguo kumuokoa na aibu..!

Sasa Kuoa au Kuolewa ama Kutooa au kutokuolewa ni Majaliwa Ya Mungu Sio Jambo La Aibu Hata Kidogo..!

Labda Wataalamu Wa Nahau wafafanue..!
 
Lazima ukarahike..! Neno lenyewe limekaa ki dharau dharau.

Kusitiri mtu mfano Wake ni kama yupo Uchi Vile mbele Ya Kadamnasi halafu atokee mtu amrushie kipande cha nguo kumuokoa na aibu..!

Sasa Kuoa au Kuolewa ama Kutooa au kutokuolewa ni Majaliwa Ya Mungu Sio Jambo La Aibu Hata Kidogo..!

Labda Wataalamu Wa Nahau wafafanue..!
uMemaliza mkuu....kuolewa ni majaliwa lakini sio kusitiriana..💯..how?
 
Wao huwa wanatega mabomu kwenye magari wakizingatia mikusanyiko yenye watu wengi kama masokoni, viwanjani n.k pale wanajuaje nani muislamu nani asiye muislamu? then kipimo cha unafiki anakifanya nani wakati wao ndio wabakaji wakubwa na wengine hata hawaswali?.

Tukizungumza tuwe waadilifu wale wahuni wa kisomali wasihusishwe na uislamu watuhumiwe wenyewe na ujinga wao.
Ukiona wanafanya ambush basi ujue hiko kijiji kimepelekewa uislam na kuambiwa kitawaliwe na sharia kikakataa.
Au ni maadui wa waislam wanatuma wanajeshi wao kupambana na alshabab.

Kama kuna waislam wanaishi kwenye maeneo ya hivo ni wanafiq kwasababu wamekubaliana kutawaliwa na makristo (eg.Kenya) na hawafanyi jihad yoyote ya kuipinga hiyo serikali ili kuruhusu uislam wa kweli uingie...na walio pamoja na makafir kwa ndani halafu nje wanajifanya waislam kwenda msikitini, Hao sio waislam bali ni wanafiq
Muislam wa kweli lazma afanye jihad, hawezi kukubali kutawaliwa na mkristo.
Ndomaana Muhamad(saw) alipambana na wenyeji wake waliomkuza wa makka.
Aliwaua, aliwafanyia ambush kwenye misafara yao ya biashara, akawaibia mali zao ili kuwadhoofisha kiuchumi mpaka akafanikiwa kuiteka Makka.

Ukijisalimisha kwa Alshabaab na ukaachana na unafiq au ukafir, Hawakuui wanakuchukua na kukustir
 
Huwezi kufuta ∆ au [emoji3531][emoji294][emoji287] kwasababu siyo vyakula
 
Back
Top Bottom