Shida kwao sio umbo,shida ni nyama wawekezaji wanaweka ya kitimoto.Mbona hiyo easy tu si wabadilishe shape tu? unatengeneza umbo la mstatili au bomba na jina mnaita mnalotaka nyie....kitu ni kile kile tu.
View attachment 2473919
Kumbe Vatikan wameruhusu waislamu na mabudda na mahindu?Ndivyo mnavyojitetea,jibu lako sijashangaa hata. Ruhusuni basi saudia Uhuru wa kuabudu kwa watu wa dini zingine km nyie mlivyokuwa huru kuabudu kwenye nchi zenye misingi ya dini zingine.
Bibie unakaa attention ili ukitajwa uislamu tu lazima utokee.
Hili ndo tatizo la kutopenda hesabu za maumbo
Aiseee!Hii marufuku ipo tangu 2013 huko. Sambusa hazipikwi
Na mwanamama ole wako uvae sidiria
Haya yapo maeneo wanapotawala alshabab
Hiviii..!!! suala ni shepu ya sambusa ilivyo au ingredients za sambusa? Maana naona kama swala ni shepu yake, wapike zenye sura nyingine..!!!Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.
Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)
Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.
Au ndio udogo wa kufikiri?
View attachment 2473792
[emoji1787]Unazuia ukristo Kwa kupiga marufuku sambusa? Hii Imani shetani amehusika moja Kwa moja
Ndio kwa sababu kuna wengine mumezaliwa si riziki na mnaleta mambo yenu ya kishoga humu , kama Yesu alivyotuambia hapa chini
NIMEWEKA MISTALI YA BIBLIA KWA KIINGEREZA NA KWA KISWAHILI ILI NIONE HILO ULLOLIANDIKA KAMA KWELI LIMO KWENYE BIBLIA KAMA ULIVYOSEMA. Mwenye macho na aone
Matthew 19:10-12
10 The disciples said to him, “If this is the situation between a husband and wife, it is better not to marry.”
11 Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given.
12 For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”
Matayo 19:10-12
10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Kama hivi ndivyo hali ilivyo kati ya mume na mke, basi ni afadhali mtu asioe!”
11 Yesu akajibu, “Si kila mtu anaweza kupokea mafundisho haya isipokuwa wale ambao Mungu amewajalia.
12 Kwa maana wako watu wasioweza kuoa kwa sababu wamezaliwa na hali hiyo; na wengine wamefanywa hali hiyo na binadamu; na pia wako wengine ambao wameamua kutokuoa kwa ajili ya Ufalme wa mbinguni. Awezaye kuli pokea fundisho hili na alipokee.”
Weka hiyo yako ambayo unadhani ndo ipo sahihi. Weka mstari kwa mstari kama nilivyofanya mimi. Kuishia kubandika hiyo picha na kuweka maneno uliyoyaweka wala si ushahidi tosha wa ulichokiandika. Kwangu mimi wewe ni MUONGO WA HALI YA JUU. VINGENEVYO WEKA MSTARI KWA MSTARI KAMA NILIVYOFANYA MIMIHiyo yo Biblia uliyo kopia niinaitwa vipi ?? manaa kuna biblia zaidi ya elfu kumi tofauti na kila mmoja anasema yake ndiyo sahihi
Hawa watu ni wendawazimuAl Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.
Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)
Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.
Au ndio udogo wa kufikiri?
View attachment 2473792
Weka hiyo yako ambayo unadhani ndo ipo sahihi. Weka mstari kwa mstari kama nilivyofanya mimi. Kuishia kubandika hiyo picha na kuweka maneno uliyoyaweka wala si ushahidi tosha wa ulichokiandika. Kwangu mimi wewe ni MUONGO WA HALI YA JUU. VINGENEVYO WEKA MSTARI KWA MSTARI KAMA NILIVYOFANYA MIMI
Na mwanamama ole wako uvae sidiria[emoji3064][emoji31]Hii marufuku ipo tangu 2013 huko. Sambusa hazipikwi
Na mwanamama ole wako uvae sidiria
Haya yapo maeneo wanapotawala alshabab
Weka huo ushahidi ulionao..!! Na wewe kopi huko kwako MSTARI KWA MSTARI, kunakosema hayo unayotuaminisha..!! Tuwekee hiyo Matayo 19:10-12, SimpleMimi sijasema kuna biblia yoyote sahihi , mimi ninavyojua na ushahidi ninao hakuna biblia sahihi zote zimekuwa forged
Huko uliko kopia wewe pia kwani eunuch imetafsiriwa vyengine kinyume na uhalisia
Weka huo ushahidi ulionao..!! Na wewe kopi huko kwako MSTARI KWA MSTARI, kunakosema hayo unayotuaminisha..!! Tuwekee hiyo Matayo 19:10-12, Simple
Kwahiyo unataka ibadilishwe umbo/sura ili kuwafurahisha hawa mashetwani???kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili,
Ni watu wasio na hamu ya sex, au watu walioondolewa uwezo wa kuwa na hamu ya sex.Mbona hujanijibu , hivi eunuch ni watu gani ??
Sasa kwa nini Allah aliwaumba makafiri.si angewaumba waislamu tupu? Au hana Nguvu sana?Ukiona wanafanya ambush basi ujue hiko kijiji kimepelekewa uislam na kuambiwa kitawaliwe na sharia kikakataa.
Au ni maadui wa waislam wanatuma wanajeshi wao kupambana na alshabab.
Kama kuna waislam wanaishi kwenye maeneo ya hivo ni wanafiq kwasababu wamekubaliana kutawaliwa na makristo (eg.Kenya) na hawafanyi jihad yoyote ya kuipinga hiyo serikali ili kuruhusu uislam wa kweli uingie...na walio pamoja na makafir kwa ndani halafu nje wanajifanya waislam kwenda msikitini, Hao sio waislam bali ni wanafiq
Muislam wa kweli lazma afanye jihad, hawezi kukubali kutawaliwa na mkristo.
Ndomaana Muhamad(saw) alipambana na wenyeji wake waliomkuza wa makka.
Aliwaua, aliwafanyia ambush kwenye misafara yao ya biashara, akawaibia mali zao ili kuwadhoofisha kiuchumi mpaka akafanikiwa kuiteka Makka.
Ukijisalimisha kwa Alshabaab na ukaachana na unafiq au ukafir, Hawakuui wanakuchukua na kukustir
Aloooh mtume kumbe aliiba mali za watu? Hii inaruhusiwa kwenye Quran? Au Allah alimruhusu?Ukiona wanafanya ambush basi ujue hiko kijiji kimepelekewa uislam na kuambiwa kitawaliwe na sharia kikakataa.
Au ni maadui wa waislam wanatuma wanajeshi wao kupambana na alshabab.
Kama kuna waislam wanaishi kwenye maeneo ya hivo ni wanafiq kwasababu wamekubaliana kutawaliwa na makristo (eg.Kenya) na hawafanyi jihad yoyote ya kuipinga hiyo serikali ili kuruhusu uislam wa kweli uingie...na walio pamoja na makafir kwa ndani halafu nje wanajifanya waislam kwenda msikitini, Hao sio waislam bali ni wanafiq
Muislam wa kweli lazma afanye jihad, hawezi kukubali kutawaliwa na mkristo.
Ndomaana Muhamad(saw) alipambana na wenyeji wake waliomkuza wa makka.
Aliwaua, aliwafanyia ambush kwenye misafara yao ya biashara, akawaibia mali zao ili kuwadhoofisha kiuchumi mpaka akafanikiwa kuiteka Makka.
Ukijisalimisha kwa Alshabaab na ukaachana na unafiq au ukafir, Hawakuui wanakuchukua na kukustir