Somalia wapiga marufuku Sambusa

Somalia wapiga marufuku Sambusa

Kanisa na mwarabu nani alitangulia kufika zanzibar na africa mashariki

Soko la watumwa la zanzibar lilijengwa na nani?

Kwani utumwa ulianza lini ?? na hapa zanzibar lini ??


Kwa Nini Wakristo Wengi Sana Waliunga Mkono Utumwa?


Sababu za Kibiblia

• Ibrahimu, "baba wa imani," na wazee wote wa ukoo walishikilia watumwa bila kibali cha Mungu (Mwa. 21:9–10).

• Kanaani, mwana wa Hamu, alifanywa mtumwa kwa ndugu zake (Mwa. 9:24–27).

• Amri Kumi zinataja utumwa mara mbili, kuonyesha kuukubali kabisa kwa Mungu (Kut. 20:10, 17).

• Utumwa ulikuwa umeenea katika ulimwengu wote wa Kirumi, na bado Yesu hakuupinga kamwe.

• Mtume Paulo aliamuru hasa watumwa kuwatii mabwana zao (Efe. 6:5–8).

• Paulo alimrudisha mtumwa aliyetoroka, Filemoni, kwa bwana wake (Filem. 12).


Sababu za Usaidizi na Uinjilisti

• Utumwa huwaondoa watu kutoka katika tamaduni za “kuabudu shetani, kufanya uchawi, uchawi” na maovu mengine.

• Utumwa huleta wapagani katika nchi ya Kikristo ambapo wanaweza kusikia injili. Mabwana Wakristo hutoa mafundisho ya kidini kwa watumwa wao.

• Chini ya utumwa, watu hutendewa kwa wema, kama wageni wengi wa kaskazini wanavyoweza kuthibitisha.

• Ni kwa manufaa ya wamiliki wa watumwa kuwatendea vyema watumwa wao.
• Watumwa wanatendewa kwa ukarimu zaidi kuliko wafanyakazi katika viwanda vinavyokandamiza vya kaskazini marekani

Sababu za Kijamii

• Kama vile wanawake wameitwa kuchukua nafasi ya chini (Efe. 5:22; 1 Tim. 2:11–15), vivyo hivyo watumwa huwekwa na Mungu mahali pao.

• Utumwa ni njia ya Mungu ya kulinda na kutoa kwa ajili ya jamii duni (kuteseka "laana ya Hamu" katika Mwa. 9:25 au hata adhabu ya Kaini katika Mwa. 4:12).

• Kukomeshwa kungesababisha maasi ya watumwa, umwagaji damu, na machafuko. Fikiria “utawala wa ugaidi” wa umati wakati wa Mapinduzi ya Ufaransa
 
Zanzibar huwa wanachapa viboko watu wanaokula kipindi cha mfungo wa ramadhani. Na hiyo ipo kwenye Quran?
Haipo na ni taratibu zao walizojiwekea hao wazanzibar na sijui kama zanzibar wanahukumu kwa sheria za uislamu, wanapiga mijeledi mia wazinifu? na sheria nyingine? hili sijui.
 
Unakumbuka wale magaidi waliovamia chuo Kenya?
Unaulizwa kama ni muislam unaachwa ila km siyo unauwawa.
Kwanini ulipize ubaya kwa ubaya?

Na hawa wanaokuja kuuwa waislamu Zanzibar kila baada miaka 5 kwenye huu uchafuzi unaoitwa uchaguzi ??
 
Kwani utumwa ulianza lini ?? na hapa zanzibar lini ??


Kwa Nini Wakristo Wengi Sana Waliunga Mkono Utumwa?


Sababu za Kibiblia

• Ibrahimu, "baba wa imani," na wazee wote wa ukoo walishikilia watumwa bila kibali cha Mungu (Mwa. 21:9–10).

• Kanaani, mwana wa Hamu, alifanywa mtumwa kwa ndugu zake (Mwa. 9:24–27).

• Amri Kumi zinataja utumwa mara mbili, kuonyesha kuukubali kabisa kwa Mungu (Kut. 20:10, 17).

• Utumwa ulikuwa umeenea katika ulimwengu wote wa Kirumi, na bado Yesu hakuupinga kamwe.

• Mtume Paulo aliamuru hasa watumwa kuwatii mabwana zao (Efe. 6:5–8).

• Paulo alimrudisha mtumwa aliyetoroka, Filemoni, kwa bwana wake (Filem. 12).
Sababu za Usaidizi na Uinjilisti

• Utumwa huwaondoa watu kutoka katika tamaduni za “kuabudu shetani, kufanya uchawi, uchawi” na maovu mengine.

• Utumwa huleta wapagani katika nchi ya Kikristo ambapo wanaweza kusikia injili. Mabwana Wakristo hutoa mafundisho ya kidini kwa watumwa wao.

• Chini ya utumwa, watu hutendewa kwa wema, kama wageni wengi wa kaskazini wanavyoweza kuthibitisha.

• Ni kwa manufaa ya wamiliki wa watumwa kuwatendea vyema watumwa wao.
• Watumwa wanatendewa kwa ukarimu zaidi kuliko wafanyakazi katika viwanda vinavyokandamiza vya kaskazini marekani

Sababu za Kijamii

• Kama vile wanawake wameitwa kuchukua nafasi ya chini (Efe. 5:22; 1 Tim. 2:11–15), vivyo hivyo watumwa huwekwa na Mungu mahali pao.

• Utumwa ni njia ya Mungu ya kulinda na kutoa kwa ajili ya jamii duni (kuteseka "laana ya Hamu" katika Mwa. 9:25 au hata adhabu ya Kaini katika Mwa. 4:12).

• Kukomeshwa kungesababisha maasi ya watumwa, umwagaji damu, na machafuko. Fikiria “utawala wa ugaidi” wa umati wakati wa Mapinduzi ya Ufaransa

Acha ujanja janja wa kuhamisha hoja yangu.

Jibu swali nililokuuliza.


Soko la watumwa la zanzibar (stone town slave market) lilijengwa na kuendeshwa na nani?
 
Acha ujanja janja wa kuhamisha hoja yangu.

Jibu swali nililokuuliza.


Soko la watumwa la zanzibar lilijengwa na kuendeshwa na nani?


Ungeelewa hii kwanza

Utumwa ulianza lini ?? Zanzibar ulianza lini ??


Kwa Nini Wakristo Wengi Sana Waliunga Mkono Utumwa?

Sababu za Kibiblia


• Ibrahimu, "baba wa imani," na wazee wote wa ukoo walishikilia watumwa bila kibali cha Mungu (Mwa. 21:9–10).
• Kanaani, mwana wa Hamu, alifanywa mtumwa kwa ndugu zake (Mwa. 9:24–27).
• Amri Kumi zinataja utumwa mara mbili, kuonyesha kuukubali kabisa kwa Mungu (Kut. 20:10, 17).
• Utumwa ulikuwa umeenea katika ulimwengu wote wa Kirumi, na bado Yesu hakuupinga kamwe.
• Mtume Paulo aliamuru hasa watumwa kuwatii mabwana zao (Efe. 6:5–8).
• Paulo alimrudisha mtumwa aliyetoroka, Filemoni, kwa bwana wake (Filem. 12).


Sababu za Usaidizi na Uinjilisti


• Utumwa huwaondoa watu kutoka katika tamaduni za “kuabudu shetani, kufanya uchawi, uchawi” na maovu mengine.
• Utumwa huleta wapagani katika nchi ya Kikristo ambapo wanaweza kusikia injili. Mabwana Wakristo hutoa mafundisho ya kidini kwa watumwa wao.
• Chini ya utumwa, watu hutendewa kwa wema, kama wageni wengi wa kaskazini wanavyoweza kuthibitisha.
• Ni kwa manufaa ya wamiliki wa watumwa kuwatendea vyema watumwa wao.
• Watumwa wanatendewa kwa ukarimu zaidi kuliko wafanyakazi katika viwanda vinavyokandamiza vya kaskazini marekani

Sababu za Kijamii


• Kama vile wanawake wameitwa kuchukua nafasi ya chini (Efe. 5:22; 1 Tim. 2:11–15), vivyo hivyo watumwa huwekwa na Mungu mahali pao.
• Utumwa ni njia ya Mungu ya kulinda na kutoa kwa ajili ya jamii duni (kuteseka "laana ya Hamu" katika Mwa. 9:25 au hata adhabu ya Kaini katika Mwa. 4:12).
• Kukomeshwa kungesababisha maasi ya watumwa, umwagaji damu, na machafuko. Fikiria “utawala wa ugaidi” wa umati wakati wa Mapinduzi ya Ufaransa
 
Unakumbuka wale magaidi waliovamia chuo Kenya?
Unaulizwa kama ni muislam unaachwa ila km siyo unauwawa.
Kwanini ulipize ubaya kwa ubaya?
Nakumbuka sana na kote nimeeleza ubaya wa hao watu kuna wengine ni vijana tu wanapotoshwa kama walivyokuwa wanafanya kina aboud rogo, ibrahim lenard, ibrahim rogo na extremists wengine na yaliyotokea kilindi tanga bila shaka unayajua.

Mtume muhammad alikuwa anapanua dola ya kiislamu na ilikua hasa mpaka kufikia kutawala nchi za wazungu, kuhusu kulipa ubaya kwa ubaya ni jambo zuri kwasababu ndio unaendana na ubaya mtu aliofanyiwa, ila kusamehe ni jambo linafaa pia na lina malipo.
 
Ungeelewa hii kwanza

Utumwa ulianza lini ?? Zanzibar ulianza lini ??

Ukiulizwa swali, na wewe unauliza swali.. huo ni utamaduni wa wapi?

Jibu swali uliloulizwa kwanza.

Kisha tunga swali lako jipya.

Jibu swali langu kwanza

Soko la watumwa stone town zanzibar lilijengwa na kuendeshwa na nani?
 
Ukiulizwa swali, na wewe unauliza swali.. huo ni utamaduni wa wapi?

Jibu swali uliloulizwa kwanza.

Kisha tunga swali lako jipya.

Jibu swali langu kwanza

Kanisa na mwarabu nani alitangulia kufika zanzibar na africa mashariki

Soko la watumwa stone town zanzibar lilijengwa na kuendeshwa na nani?


Utumwa ulianza lini duniani ??? Mbona mnakuwa mnaishikilia Zanzibar na utumwa au ndio walioanzisha ulimwenguni ??
 
Utumwa ulianza lini duniani ??? Mbona mnakuwa mnaishikilia Zanzibar na utumwa au ndio walioanzisha ulimwenguni ??

Ukiulizwa swali, na wewe unauliza swali.. huo ni utamaduni wa wapi?

Jibu swali uliloulizwa kwanza.

Kisha tunga swali lako jipya.

Jibu swali langu kwanza

Soko la watumwa stone town zanzibar lilijengwa na kuendeshwa na nani?
 
Ukiulizwa swali, na wewe unauliza swali.. huo ni utamaduni wa wapi?

Jibu swali uliloulizwa kwanza.

Kisha tunga swali lako jipya.

Jibu swali langu kwanza

Soko la watumwa stone town zanzibar lilijengwa na kuendeshwa na nani?

Kwa Nini Wakristo Wengi Sana Waliunga Mkono Utumwa?

Sababu za Kibiblia


• Ibrahimu, "baba wa imani," na wazee wote wa ukoo walishikilia watumwa bila kibali cha Mungu (Mwa. 21:9–10).
• Kanaani, mwana wa Hamu, alifanywa mtumwa kwa ndugu zake (Mwa. 9:24–27).
• Amri Kumi zinataja utumwa mara mbili, kuonyesha kuukubali kabisa kwa Mungu (Kut. 20:10, 17).
• Utumwa ulikuwa umeenea katika ulimwengu wote wa Kirumi, na bado Yesu hakuupinga kamwe.
• Mtume Paulo aliamuru hasa watumwa kuwatii mabwana zao (Efe. 6:5–8).
• Paulo alimrudisha mtumwa aliyetoroka, Filemoni, kwa bwana wake (Filem. 12).

Sababu za Usaidizi na Uinjilisti


• Utumwa huwaondoa watu kutoka katika tamaduni za “kuabudu shetani, kufanya uchawi, uchawi” na maovu mengine.
• Utumwa huleta wapagani katika nchi ya Kikristo ambapo wanaweza kusikia injili. Mabwana Wakristo hutoa mafundisho ya kidini kwa watumwa wao.
• Chini ya utumwa, watu hutendewa kwa wema, kama wageni wengi wa kaskazini wanavyoweza kuthibitisha.
• Ni kwa manufaa ya wamiliki wa watumwa kuwatendea vyema watumwa wao.
• Watumwa wanatendewa kwa ukarimu zaidi kuliko wafanyakazi katika viwanda vinavyokandamiza vya kaskazini marekani

Sababu za Kijamii


• Kama vile wanawake wameitwa kuchukua nafasi ya chini (Efe. 5:22; 1 Tim. 2:11–15), vivyo hivyo watumwa huwekwa na Mungu mahali pao.
• Utumwa ni njia ya Mungu ya kulinda na kutoa kwa ajili ya jamii duni (kuteseka "laana ya Hamu" katika Mwa. 9:25 au hata adhabu ya Kaini katika Mwa. 4:12).
• Kukomeshwa kungesababisha maasi ya watumwa, umwagaji damu, na machafuko. Fikiria “utawala wa ugaidi” wa umati wakati wa Mapinduzi ya Ufaransa
 
Kwa Nini Wakristo Wengi Sana Waliunga Mkono Utumwa?

Sababu za Kibiblia


• Ibrahimu, "baba wa imani," na wazee wote wa ukoo walishikilia watumwa bila kibali cha Mungu (Mwa. 21:9–10).
• Kanaani, mwana wa Hamu, alifanywa mtumwa kwa ndugu zake (Mwa. 9:24–27).
• Amri Kumi zinataja utumwa mara mbili, kuonyesha kuukubali kabisa kwa Mungu (Kut. 20:10, 17).
• Utumwa ulikuwa umeenea katika ulimwengu wote wa Kirumi, na bado Yesu hakuupinga kamwe.
• Mtume Paulo aliamuru hasa watumwa kuwatii mabwana zao (Efe. 6:5–8).
• Paulo alimrudisha mtumwa aliyetoroka, Filemoni, kwa bwana wake (Filem. 12).

Sababu za Usaidizi na Uinjilisti


• Utumwa huwaondoa watu kutoka katika tamaduni za “kuabudu shetani, kufanya uchawi, uchawi” na maovu mengine.
• Utumwa huleta wapagani katika nchi ya Kikristo ambapo wanaweza kusikia injili. Mabwana Wakristo hutoa mafundisho ya kidini kwa watumwa wao.
• Chini ya utumwa, watu hutendewa kwa wema, kama wageni wengi wa kaskazini wanavyoweza kuthibitisha.
• Ni kwa manufaa ya wamiliki wa watumwa kuwatendea vyema watumwa wao.
• Watumwa wanatendewa kwa ukarimu zaidi kuliko wafanyakazi katika viwanda vinavyokandamiza vya kaskazini marekani

Sababu za Kijamii


• Kama vile wanawake wameitwa kuchukua nafasi ya chini (Efe. 5:22; 1 Tim. 2:11–15), vivyo hivyo watumwa huwekwa na Mungu mahali pao.
• Utumwa ni njia ya Mungu ya kulinda na kutoa kwa ajili ya jamii duni (kuteseka "laana ya Hamu" katika Mwa. 9:25 au hata adhabu ya Kaini katika Mwa. 4:12).
• Kukomeshwa kungesababisha maasi ya watumwa, umwagaji damu, na machafuko. Fikiria “utawala wa ugaidi” wa umati wakati wa Mapinduzi ya Ufaransa

Kila Ukiulizwa swali, na wewe unauliza swali.

Jibu swali uliloulizwa kwanza.

Kisha tunga swali lako jipya.

Jibu swali langu kwanza

Soko la watumwa stone town zanzibar lilijengwa na kuendeshwa na nani?
 
Kila Ukiulizwa swali, na wewe unauliza swali.

Jibu swali uliloulizwa kwanza.

Kisha tunga swali lako jipya.

Jibu swali langu kwanza

Soko la watumwa stone town zanzibar lilijengwa na kuendeshwa na nani?


Kwa Nini Wakristo Wengi Sana Waliunga Mkono Utumwa?

Sababu za Kibiblia


• Ibrahimu, "baba wa imani," na wazee wote wa ukoo walishikilia watumwa bila kibali cha Mungu (Mwa. 21:9–10).
• Kanaani, mwana wa Hamu, alifanywa mtumwa kwa ndugu zake (Mwa. 9:24–27).
• Amri Kumi zinataja utumwa mara mbili, kuonyesha kuukubali kabisa kwa Mungu (Kut. 20:10, 17).
• Utumwa ulikuwa umeenea katika ulimwengu wote wa Kirumi, na bado Yesu hakuupinga kamwe.
• Mtume Paulo aliamuru hasa watumwa kuwatii mabwana zao (Efe. 6:5–8).
• Paulo alimrudisha mtumwa aliyetoroka, Filemoni, kwa bwana wake (Filem. 12).

Sababu za Usaidizi na Uinjilisti


• Utumwa huwaondoa watu kutoka katika tamaduni za “kuabudu shetani, kufanya uchawi, uchawi” na maovu mengine.
• Utumwa huleta wapagani katika nchi ya Kikristo ambapo wanaweza kusikia injili. Mabwana Wakristo hutoa mafundisho ya kidini kwa watumwa wao.
• Chini ya utumwa, watu hutendewa kwa wema, kama wageni wengi wa kaskazini wanavyoweza kuthibitisha.
• Ni kwa manufaa ya wamiliki wa watumwa kuwatendea vyema watumwa wao.
• Watumwa wanatendewa kwa ukarimu zaidi kuliko wafanyakazi katika viwanda vinavyokandamiza vya kaskazini marekani

Sababu za Kijamii


• Kama vile wanawake wameitwa kuchukua nafasi ya chini (Efe. 5:22; 1 Tim. 2:11–15), vivyo hivyo watumwa huwekwa na Mungu mahali pao.
• Utumwa ni njia ya Mungu ya kulinda na kutoa kwa ajili ya jamii duni (kuteseka "laana ya Hamu" katika Mwa. 9:25 au hata adhabu ya Kaini katika Mwa. 4:12).
• Kukomeshwa kungesababisha maasi ya watumwa, umwagaji damu, na machafuko. Fikiria “utawala wa ugaidi” wa umati wakati wa Mapinduzi ya Ufaransa
 
Acha ujanja janja wa kuhamisha hoja yangu.

Jibu swali nililokuuliza.


Soko la watumwa la zanzibar (stone town slave market) lilijengwa na kuendeshwa na nani?


Je, Biblia inaamuru wafuasi wake kurithi watumwa na watoto wao?

Hebu tuangalie Mambo ya Walawi 25:44-46

“Watumwa wako wa kiume na wa kike watatoka katika mataifa yanayowazunguka; mwaweza kununua watumwa kutoka kwao. katika nchi yako, nao watakuwa mali yako. Unaweza kuwarithi kwa watoto wako, na kuwafanya watumwa siku zote, lakini wewe usiwatawale Waisraeli wenzako kwa ukatili.

Ni aina gani ya thamani ya kibinadamu ambayo Biblia inawapa watumwa?

Ikiwa watumwa na watoto wao lazima warithishwe na kupitishwa kwa vizazi vipya kama watumwa, basi watapataje uhuru wao duniani??

Je, Biblia inaamini katika Uhuru?

Je, Biblia inaamini katika kuwakomboa wanadamu kutoka katika utumwa?

Inaonekana haifanyi hivyo!
 
Je, Biblia inaamuru wafuasi wake kurithi watumwa na watoto wao?

Hebu tuangalie Mambo ya Walawi 25:44-46

“Watumwa wako wa kiume na wa kike watatoka katika mataifa yanayowazunguka; mwaweza kununua watumwa kutoka kwao. katika nchi yako, nao watakuwa mali yako. Unaweza kuwarithi kwa watoto wako, na kuwafanya watumwa siku zote, lakini wewe usiwatawale Waisraeli wenzako kwa ukatili.

Ni aina gani ya thamani ya kibinadamu ambayo Biblia inawapa watumwa?

Ikiwa watumwa na watoto wao lazima warithishwe na kupitishwa kwa vizazi vipya kama watumwa, basi watapataje uhuru wao duniani??

Je, Biblia inaamini katika Uhuru?

Je, Biblia inaamini katika kuwakomboa wanadamu kutoka katika utumwa?

Inaonekana haifanyi hivyo!


Mimi sijakuuliz swali kuhusu biblia... na wala sijapinga chochote kuhusu maneno yako.

Swali langu nililikuuliza kuhusu soko la watumwa stone town zanzibar umekwepa kulijibu kwa sababu unazizojua mwenyewe.

Nimekuacha Maana swali ukiulizwa unakwepa kujibu
 
Kila Ukiulizwa swali, na wewe unauliza swali.

Jibu swali uliloulizwa kwanza.

Kisha tunga swali lako jipya.

Jibu swali langu kwanza

Soko la watumwa stone town zanzibar lilijengwa na kuendeshwa na nani?


Kwa bahati mbaya, hakuna usawa kati ya wanadamu katika Ukristo!

Wakristo wanapenda kufikiri kwamba Biblia inawaheshimu wanadamu wote na inawapenda wanadamu wote, lakini ukweli unathibitisha vinginevyo.

Hebu tuangalie Wagalatia 4:28-31
“Basi ninyi, ndugu zangu, mmekuwa wana wa ahadi kama Isaka; Lakini Maandiko Matakatifu yasemaje, ‘Mwondoe mjakazi na mwanawe, kwa maana mwana wa mtumwa hatashiriki kamwe urithi pamoja na mwana wa mwanamke huru. Kwa hiyo, ndugu, sisi si watoto wa mtumwa, bali wa mwanamke huru."

Mstari huu wa Agano Jipya unadharau watoto wanaozaliwa na mama watumwa.

Aya hii haitambui watoto waliozaliwa kutoka kwa mama watumwa kama wana wa kawaida kwa sababu hawaruhusiwi kurithi.

Aya hii haiwatambui watumwa kuwa sawa na wanadamu wa kawaida. Aya hii inakubaliana kikamilifu 100% na utumwa na watu kuwa watumwa.

Hebu tumtazame Filemoni 15-19

“Labda alitengwa nawe kwa muda kidogo ili umpate tena kwa wema, si mtumwa tena, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu mpendwa. mpendwa sana kwangu, lakini kwako wewe pia kama mwanadamu na kama ndugu katika Bwana.Basi, kama wanihesabu mimi kuwa mwenzangu, mkaribishe kama vile ungenikaribisha mimi; ikiwa amekukosea neno lo lote au ana deni lako, shtaki. Mimi Paulo, ninaandika hivi kwa mkono wangu mwenyewe. Nitalilipa bila kusahau kwamba una deni kwangu mwenyewe.

Mstari huu ni uthibitisho mwingine kwamba Biblia

(1) Inaonekana kama watumwa kama wanadamu wadogo au wanyama kama inavyoonyeshwa katika Kutoka 23:12 na Mambo ya Walawi 25:46,

(2) Mtumwa ni mtu aliyedharauliwa ambaye hatawahi kutambuliwa kuwa binadamu wa kawaida isipokuwa awe Mkristo. Ikiwa mtumwa anakataa kuwa Mkristo, basi hatapata uhuru wake kamwe, na hataangaliwa kamwe kama mwanadamu; lazima daima achukuliwe kama mnyama na Wakristo.

Hebu tuangalie 1 Wakorintho 7

“Je! mtu huru wa Bwana; kadhalika naye aliyekuwa mtu huru alipoitwa ni mtumwa wa Kristo." Katika mstari huu, Paulo alikuwa anamuuliza mtu huyo "Je! ulikuwa mtumwa?" maana Ulikuwa kitu mbaya na si kawaida?

Pia “...ikiwa unaweza kupata uhuru wako, fanya hivyo... (1 Wakorintho 7)” ambayo ina maana kwamba Agano Jipya halitamsaidia mtu yeyote wala halitamwita Mkristo yeyote kupigania haki za mtumwa yeyote ili aachiliwe. Mtumwa atalazimika kuishi kama mtumwa na kufa kama mtumwa, au kupigania uhuru wake dhidi ya Wakristo.

Hebu tuangalie 1Timotheo 6:1 "Wote walio chini ya nira ya utumwa na wawahesabu bwana zao kuwa wanastahili heshima kamili, ili jina la Mungu na mafundisho yetu yasitukanwe."

Mathayo 10:24 "Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu. Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake."

Hebu tuangalie 1Petro 2:18 "Enyi watumwa, watiini mabwana zenu kwa heshima yote, si kwa walio wema na wastahiki tu, bali na walio wakali."

Hebu tuangalie Wakolosai 3:22 “Enyi watumwa, watiini mabwana zenu wa kidunia katika kila jambo;
 
Mimi sijakuuliz swali kuhusu biblia... na wala sijapinga chochote kuhusu maneno yako.

Swali langu nililikuuliza kuhusu soko la watumwa stone town zanzibar umekwepa kulijibu kwa sababu unazizojua mwenyewe.

Nimekuacha Maana swali ukiulizwa unakwepa kujibu


Nimekuuliza kwani utumwa ulianza lini au hilo soko lilikuwa la kwanza kujengwa hapo zanzibar mbona mnakimbia hili swali ??
 
Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.

Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)

Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.

Au ndio udogo wa kufikiri?
View attachment 2473792
Kwani haiwezekani sambusa ya duara, pembe nne au zaidi.
 
Ungeelewa hii kwanza

Utumwa ulianza lini ?? Zanzibar ulianza lini ??


Kwa Nini Wakristo Wengi Sana Waliunga Mkono Utumwa?

Sababu za Kibiblia


• Ibrahimu, "baba wa imani," na wazee wote wa ukoo walishikilia watumwa bila kibali cha Mungu (Mwa. 21:9–10).
• Kanaani, mwana wa Hamu, alifanywa mtumwa kwa ndugu zake (Mwa. 9:24–27).
• Amri Kumi zinataja utumwa mara mbili, kuonyesha kuukubali kabisa kwa Mungu (Kut. 20:10, 17).
• Utumwa ulikuwa umeenea katika ulimwengu wote wa Kirumi, na bado Yesu hakuupinga kamwe.
• Mtume Paulo aliamuru hasa watumwa kuwatii mabwana zao (Efe. 6:5–8).
• Paulo alimrudisha mtumwa aliyetoroka, Filemoni, kwa bwana wake (Filem. 12).


Sababu za Usaidizi na Uinjilisti


• Utumwa huwaondoa watu kutoka katika tamaduni za “kuabudu shetani, kufanya uchawi, uchawi” na maovu mengine.
• Utumwa huleta wapagani katika nchi ya Kikristo ambapo wanaweza kusikia injili. Mabwana Wakristo hutoa mafundisho ya kidini kwa watumwa wao.
• Chini ya utumwa, watu hutendewa kwa wema, kama wageni wengi wa kaskazini wanavyoweza kuthibitisha.
• Ni kwa manufaa ya wamiliki wa watumwa kuwatendea vyema watumwa wao.
• Watumwa wanatendewa kwa ukarimu zaidi kuliko wafanyakazi katika viwanda vinavyokandamiza vya kaskazini marekani

Sababu za Kijamii


• Kama vile wanawake wameitwa kuchukua nafasi ya chini (Efe. 5:22; 1 Tim. 2:11–15), vivyo hivyo watumwa huwekwa na Mungu mahali pao.
• Utumwa ni njia ya Mungu ya kulinda na kutoa kwa ajili ya jamii duni (kuteseka "laana ya Hamu" katika Mwa. 9:25 au hata adhabu ya Kaini katika Mwa. 4:12).
• Kukomeshwa kungesababisha maasi ya watumwa, umwagaji damu, na machafuko. Fikiria “utawala wa ugaidi” wa umati wakati wa Mapinduzi ya Ufaransa
Waislamu wengi wa kiafrika hawaijui Quran wala lugha inayotumika kwenye Quran.
Hawawezi kuweka aya za Quran hapa kwasababu hajui Quran wala hajui lugha ila atakimbilia kwenye Biblia kwasababu anaielewa.
Huyu ukimwambia akuhubirie ili uslimu 99% ya maneno yake yatatoka kwenye Biblia na 1% yatatoka kwenye Quran ndiyo maana waislamu wengi wapo hasa kwa sehemu alizokaa mwaarabu. Na umeshindwa kusambaa kwasababu maneno yote atakayohubiria 99% yatatoka kwenye Biblia.
Hapa angeweka aya za Quran zinazopinga utumwa ningemwelewa sana.
Uislamu haujitoshelezi wala haujitegemi pasipo kuigusa Biblia
 
Back
Top Bottom