Somalia: Watu 100 wauawa kwenye mlipuko wa mabomu ya kutegwa kwenye magari

Somalia: Watu 100 wauawa kwenye mlipuko wa mabomu ya kutegwa kwenye magari

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Rais wa Somalia amesema kuwa takriban watu 100 waliuawa katika mashambulio mawili ya mabomu yaliyofanywa kwenye barabara kuu ya Mogadishu na idadi ya vifo huenda ikaongezeka.

Katika taarifa yake, Rais Hassan Sheikh Mohamud akiwa katika eneo la milipuko amewaambia waandishi wa habari kwamba watu wengine zaidi ya 300 wamejeruhiwa.

Lilikuwa shambulio baya zaidi kuwahi kutokea nchini Somalia tangu shambulio la bomu la lori katika eneo moja Oktoba 2017 na kuua zaidi ya watu 500.

Serikali ya Somalia imelishutumu kundi la al-Shabab lenye ushirikiano na al-Qaida kuhusika na shambulio hilo. Kundi hilo mara nyingi hulenga mji mkuu ingawa bado halijakiri kufanya mashambulio hayo.

========================

Somalia’s president, elected this year, said the country remained at war with al-Shabab “and we are winning.” The government, along with militia groups, has been engaged in a new offensive against the extremists who hold large parts of the country and is applying pressure on the group’s financial network.

The extremists, who seek an Islamic state, have responded by killing prominent clan leaders in an apparent effort to dissuade grassroots support for the offensive.

The attack in Mogadishu occurred on a day when the president, prime minister and other senior officials were meeting to discuss expanded efforts to combat violent extremism and especially al-Shabab.

At hospitals and elsewhere, frantic relatives peeked under plastic sheeting and into body bags, looking for loved ones.

“I couldn’t count the bodies on the ground due to the (number of) fatalities,” witness Abdirazak Hassan said. He said the first blast hit the perimeter wall of the education ministry, where street vendors and money changers were located.

An Associated Press journalist at the scene said the second blast occurred in front of a busy restaurant during lunchtime. The blasts demolished tuk-tuks and other vehicles in an area of many restaurants and hotels.

The Somali Journalists Syndicate, citing colleagues and police, said one journalist was killed and two others wounded by the second blast while rushing to the scene of the first. The Aamin ambulance service said the second blast destroyed one of its responding vehicles.

The United States has described al-Shabab as one of al-Qaida’s deadliest organizations and targeted it with scores of airstrikes in recent years. Hundreds of U.S. military personnel have returned to the country after former President Donald Trump withdrew them.

ASSOCIATED PRESS
1667106801458.png


1667106822446.png

1667106852882.png
 
Rais wa Somali, Hassan Sheikh Mohamud amesema milipuko hiyo imetokea katika magari mawili Jijini Mogadishu akilaumu kikundi cha Al-Shabab kuhusika na kuwa idadi ya vifo inaweza kuongezeka.

Amesema kati ya waliouawa ni wamama, watoto na wanafunzi ambapo walipuaji walilenga Wizara ya Elimu na shule katika mitaa ambayo inamikusanyiko ya watu wengi.

Inadaiwa mwandishi wa kujitegemea Mohamed Isse Kona naye ameuawa. Baada ya bomu la kwanza kulipuka, watu walikusanyika na kuanza kutoa msaada ndipo mlipuko wa pili ukatokea hapohapo.

=====

At least 100 killed, 300 hurt in ‘heinous’ Mogadishu car bombings

Somali President Hassan Sheikh Mohamud has said at least 100 people have been killed and 300 wounded in two car bomb explosions in the country’s capital, Mogadishu.

Mohamud blamed the al-Shabab armed group for the attacks and told reporters on Sunday that he expected the death toll from the twin blasts to rise further.

“Our people who were massacred … included mothers with their children in their arms, fathers who had medical conditions, students who were sent to study, businessmen who were struggling with the lives of their families,” Mohamud said after visiting the site of the blast.

Authorities said the attack on Saturday targeted the Somali education ministry and a school and took place at the busy Sobe intersection.

Sadiq Doodishe, a police spokesperson, told reporters that women, children and the elderly had been killed in the attack.

State news agency SONNA said independent journalist Mohamed Isse Kona was also killed.

The first explosion hit the ministry; then the second blast occurred as ambulances arrived and people gathered to help the victims, police officer Nur Farah told the Reuters news agency.

“I was 100 meters away when the second blast occurred,” witness Abdirazak Hassan told The Associated Press news agency. “I couldn’t count the bodies on the ground due to the [number of] fatalities.” He said the first blast hit the perimeter wall of the education ministry, where street vendors and money changers were located.

A Reuters journalist near the blast site said the two explosions occurred within minutes of each other and smashed windows in the vicinity. Blood from victims of the blasts covered the tarmac just outside the building, he said.

Moments after the blasts, a large plume of smoke rose over the site.

The Aamin ambulance service said on Saturday that they had collected at least 35 wounded. One ambulance responding to the first attack was destroyed by the second blast, director Abdulkadir Adan added in a tweet.

A driver and a first aid worker had been wounded in the blast, he said.

The United Nations Mission in Somalia condemned Saturday’s “vicious attack” and extended its condolences to the families of the victims. Turkey condemned the “heinous” attack, while Qatar — firmly rejecting violence and “terrorism” — expressed its condolences and wished the wounded a speedy recovery.

The explosions occurred in the same location where Somalia’s largest bombing took place in the same month in 2017. In that bombing, which killed more than 500 people, a truck bomb exploded outside a busy hotel at the K5 intersection, which is lined with government offices, restaurants and kiosks.

Al Qaeda-allied al-Shabab, which has been fighting in Somalia for more than a decade, is seeking to topple the central government and establish its own rule based on a strict interpretation of Islamic law.

The group uses a campaign of bombings both in Somalia and elsewhere, and targets have included military installations as well as hotels, shopping centres, and busy traffic areas.

In August, at least 20 people were killed and dozens wounded when al-Shabab fighters stormed the Hayat Hotel in Mogadishu, triggering a 30-hour standoff with security forces before the siege was finally ended.

Mohamud, with support from the United States and allied local militias, has launched an offensive against the group, although results have been limited.


Source: Aljazeera
 
Uislam unabidi ubadiri baadhi ya maandiko yake. Moja ya maandiko hayo ni Yale yahusuyo jihadi na maswala ya kumpigania Allah. Wahafidhina wa Iman wataniahangaa lakini huo ndiyo ukweli.
 
Acha yauane tu yenyewe kwa yenyewe. Kwao kuuana ni kama ibada Yani kwao eti dhambi ni mwanamke kutovaa buibui na kula kiti moto hadharani
 
Uislam unabidi ubadiri baadhi ya maandiko yake. Moja ya maandiko hayo ni Yale yahusuyo jihadi na maswala ya kumpigania Allah. Wahafidhina wa Iman wataniahangaa lakini huo ndiyo ukweli.
Uislamu ni dini iliyofeli kiitakadi..hivyo imebakiza kutumia nguvu...so pathetic.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wanaompigania 'mungu' na uislamu wamesababisha vifo 100 na majeruhi 300 pale walipopambana kulipua wizara ya elimu, humo kuna watoto na wanawake ambao wameuawa.

The number of people killed in twin car bombings in the Somali capital Mogadishu, claimed by Al-Shabaab Islamists, has risen to 100, President Hassan Sheikh Mohamud said on Sunday.

"So far, the number of people who died has reached 100 and 300 are wounded, and the number for both the death and wounded continues to increase," he said after visiting the blast location.

Two cars packed with explosives blew up minutes apart near the busy Zobe intersection, followed by gunfire in an attack targeting Somalia's education ministry.

The afternoon explosions tore through walls, shattered windows of nearby buildings, sending shrapnel flying and plumes of smoke and dust into the air.

The victims included women, children and the elderly, police spokesman Sadik Dudishe said.

"The ruthless terrorists killed mothers. Some of them died with their children trapped on their backs," he said on Saturday, adding that the attackers had been stopped from killing more "innocent civilians and students."

"I could not sleep last night because of the horrible scene," police officer Adan Mohamed said on Sunday.

The attack took place at the same busy junction where a truck packed with explosives blew up on October 14, 2017, killing 512 people and injuring more than 290, the deadliest attack in the troubled country.
Mohamud described the incident as "historic", saying "it is the same place, and the same innocent people involved."

"This is not right. God willing, they will not be having an ability to do another Zobe incident," he said, referring to the Islamist group Al-Shabaab.

Nation Africa
 
Mungu wa kweli hapiganiwi na wala hahitaji wapiganaji. Hao ni mawakala wa shetani 😈 tu lakini cha ajabu wale wanaopinga nchi za magharibi kamwe hutawaona hapa wakilaani na kuwatangazia fatwa hawa magaidi.
 
Bora hivyo kuliko mashoga wanaotembea freely huko USA
 
Bora hivyo kuliko mashoga wanaotembea freely huko USA
Mashoga wapo popote siku hizi na hata hapo ulipo wapo baada ya waarabu kuuleta Afrika Mashariki wakati wa biashara yao haramu ya utumwa, lakini ugaidi unaoutetea huwezi kusema uko popote ila kwenye maeneo fulani fulani yenye watu wa jamii ya imani fulani ya dini.
 
Mashoga wapo popote siku hizi na hata hapo ulipo wapo baada ya waarabu kuuleta Afrika Mashariki wakati wa biashara yao haramu ya utumwa, lakini ugaidi unaoutetea huwezi kusema uko popote ila kwenye maeneo fulani fulani yenye watu wa jamii ya imani fulani ya dini.
Unatetea ushoga sio?
 
Ukitaka kujua hao ni watu wa dini au la, soma maandishi kwenye bendela yao. Yameandikwa haya maneno kwenye Bendela yao.

لا اله الا الله محمد رسول الله

Anayetaka kujua maana yake anaweza pata tafsiri toka Google translate.

Mi nafichua kidogo tu yanasema.

Hakuna Mungu isipokuwa.............
Na............ni mtume wake.
Sijataja dini yoyote hapa
 
Back
Top Bottom