Somalia yaanza kuwafukuza Wakenya!

Roho mtakatifu alikuwa anatutembelea.

Hahahahahaaaa

Wewe ulikuwepo kwani karne ya 13 mpaka useme hivyo?

Unaweza ukanipa proof huyo RM alikua anawatembelea?

NIshakuambia hakuna tofauti ya superstition na hayo mambo yenu!

Its funny unaongelea spooky god!

So lame!
 
R
Hahahahahaaaa

Wewe ulikuwepo kwani karne ya 13 mpaka useme hivyo?

Unaweza ukanipa proof huyo RM alikua anawatembelea?

NIshakuambia hakuna tofauti ya superstition na hayo mambo yenu!

Its funny unaongelea spooky god!

So lame!
Roho mtakatifu alikuwepo tu
 
R
Roho mtakatifu alikuwepo tu

Alikuwepo tu,proof hakuna!

Nikikukomalia sana,utasema ulisoma kitabu kinaitwa biblia!

Its funny an almighty God with all the powers,he is just a book author/writer!

He is a journalist!

Proof of him writing a book?None!

Walioandika ni wanadamu kama mimi na wewe telling all these pile of lies with no proof whatsoever halafu on top of that wanadanganya God wrote it!

Fvck!
 
Wewe ni Mkora sana
 
Hahahahaha

Kakutuma utukane watu wanaompinga eee?

Sasa wewe mwenye dini na mimi nisieamini chochote tuna tofauti gani sasa?
Mimi naamini wewe ni muisilamu lakini unajifanya mpagani kuficha imani yako inayozua vifo na mauwaji afrika ya mashariki.
 
Mungu Ibariki KENYA. Viongozi wote wa South Somalia wana Majumba wamewekeza kwa pesa za msaada uliokuwa uende kwa Raia maskini na haswa Somali minorities SOMALI BANTU sasa ni wakari wa kuwawekea Vikwazo hao wezi kamata hizo biashara Piga mnada halafu pesa zipelekwe kwa Masikini walengwa

 
EAC tushirikiane na Somaliland hawa wasomali poa waliletwa na Muingereza Kenya na Tanzania miaka miaka Mingi tumekaa nao bila Shida Tanzania wameshika Nyadhfa mbalimbali kwa kwa uaminifu mkubwa Majeshini Polisi ila hawa wa South Somalia Udini wameweka Mbele Ubaguzi dhidi ya Wabantu ndio umewatawala.
 
Wazo murua kabisa hili.
Mimi niko tayari kwenda kusaidiana nao kinachotakiwa ni Silaha za Kisasa nyepesi na kuwafundisha namna wanavyotawaliwa kifikra ili wajikomboe wamkubali Yesu wawe watiifu kwanza Kisimayuu ni neno la Kibantu Kisima cha juu halimo kwenye lugha ya kikush cha mashariki. Naunga mkono hoja.
 
Wanajifanya Kuichokoza Kenya?!..wakati wao ni wavamizi
 

mkuu

imekuwaje watu wote dunia hii waamini kuna MUNGU,si wahindi si wabantu wote kwa pamoja tunaamini Mungu yupo haijalishi wewe ni budha,muislamu ama dhehebu lolote?

in revolutionary terms,tupo hapa sababu baba zetu na babu zetu walikua better adapted to their environment..wakawa successful to pass their genes..

Ninachotaka kusema DINI ni adaptive,

imagine tusingekua na dini labda mababu zetu wangekua wauaji,majambazi,mala.ya na mambo mengine ambayo yako maladaptive....yote haya matokeo yake yangesababisha ugumu wa wao kupass their genes...hivyo mimi na wewe tusingekuwepo hapa…..

uko free leo hapo leo ni sababu kuna washika dini kibao,lol..imagine hapa hali ilivyo kuna maovu mengi hivyo,je kusingekua na dini?
 
Sawasawa luten jeneral mwakibolwa
Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Msomali yupi yupo tpdf mkuu
Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Wameshalianzisha ila Silaha za kisasa ndio hawana na wanaogopa kufanya mashambulizi kwa sababu prooaganda za Mogadishu zitasema ni Magaidi wanatakiwa kusaidiwa


Na hii ndio Bendera yao ndugu zetu wa damu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…