Somalia yaanza kuwafukuza Wakenya!

Somalia yaanza kuwafukuza Wakenya!

Mimi nakumbuka wakati wa Vita vya kagera kulikuwa askari Kitanzania wenye asili ya kisomali kwenye JW hilo nalikumbuka
 
Unanivutia sana wee mwanamke. Articles zako zinavutia pia kuzisoma
mkuu

imekuwaje watu wote dunia hii waamini kuna MUNGU,si wahindi si wabantu wote kwa pamoja tunaamini Mungu yupo haijalishi wewe ni budha,muislamu ama dhehebu lolote?

in revolutionary terms,tupo hapa sababu baba zetu na babu zetu walikua better adapted to their environment..wakawa successful to pass their genes..

Ninachotaka kusema DINI ni adaptive,

imagine tusingekua na dini labda mababu zetu wangekua wauaji,majambazi,mala.ya na mambo mengine ambayo yako maladaptive....yote haya matokeo yake yangesababisha ugumu wa wao kupass their genes...hivyo mimi na wewe tusingekuwepo hapa…..

uko free leo hapo leo ni sababu kuna washika dini kibao,lol..imagine hapa hali ilivyo kuna maovu mengi hivyo,je kusingekua na dini?
 
Aaah wap fafanua zaidi
mkuu

imekuwaje watu wote dunia hii waamini kuna MUNGU,si wahindi si wabantu wote kwa pamoja tunaamini Mungu yupo haijalishi wewe ni budha,muislamu ama dhehebu lolote?

in revolutionary terms,tupo hapa sababu baba zetu na babu zetu walikua better adapted to their environment..wakawa successful to pass their genes..

Ninachotaka kusema DINI ni adaptive,

imagine tusingekua na dini labda mababu zetu wangekua wauaji,majambazi,mala.ya na mambo mengine ambayo yako maladaptive....yote haya matokeo yake yangesababisha ugumu wa wao kupass their genes...hivyo mimi na wewe tusingekuwepo hapa…..

uko free leo hapo leo ni sababu kuna washika dini kibao,lol..imagine hapa hali ilivyo kuna maovu mengi hivyo,je kusingekua na dini?

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
mnhhh haya bana,

sidhani kama umenielewa,

sikulaumu,lols

Hahahahaaaa

Wewe upo na Mungu unachokiongea chote ni miujiza tu!

Cha ajabu hii dunia tunayoishi mimi na wewe hakujawahi kua na miujiza of any kind and you know this well!

Sema basi tu Becky unaamua kua mbishi!
 
Hahahahaaaa

Wewe upo na Mungu unachokiongea chote ni miujiza tu!

Cha ajabu hii dunia tunayoishi mimi na wewe hakujawahi kua na miujiza of any kind and you know this well!

Sema basi tu Becky unaamua kua mbishi!

Soma tena ile post kwa utaratibu,lol
 
Kuna habari zimesambaa mitandaoni zikionyesha mwanamke wa Kisomali amebakwa na kukatwakatwa vipande nikajiuliza chuki za kikabila za wasomali zinafikia hadi Kenya.
 
Hahahahaaaa

Wewe upo na Mungu unachokiongea chote ni miujiza tu!

Cha ajabu hii dunia tunayoishi mimi na wewe hakujawahi kua na miujiza of any kind and you know this well!

Sema basi tu Becky unaamua kua mbishi!

Hata wewe kuvuta mibangi chooni na kudai hakuna Mungu nao ni muujiza pia.

Wasi wasi wangu usijeamka siku ukaanza kubisha hukuzaliwa na mama yako.sababu tu umekua ukakuta watu wanasema huyo ni mama yako.
 
Hata wewe kuvuta mibangi chooni na kudai hakuna Mungu nao ni muujiza pia.

Wasi wasi wangu usijeamka siku ukaanza kubisha hukuzaliwa na mama yako.sababu tu umekua ukakuta watu wanasema huyo ni mama yako.

Kwani kuvuta bangi tatizo ni nini?

It is a natural herb availble abundantly na kwa kutumia imani zenu hizo hizo mnadai Mungu huyo huyo ndio kaziumba hizi bangi.

Kama alikua na akili sana,kwanini aumbe bangi na mitumbaku na mimea aina ya coca ambayo ni mibaya kwa afya ya mwanadamu?Kwanini?

Tena shukuru sayansi baada ya tests zaidi ya milenia tukagundua kwamba hii mimea haifai kiafya!

Baada ya kuathiri wanadamu zaidi ya miaka 1000!

Mungu alikua wapi asiwasaidie?Basi ni mkichaa!

Ni possible akawa sio mama yangu vilevile!Huenda alipokua labour bahati mbaya au makusudi wakafanya baby swap akapewa mtoto wa mama mwingine!

Au aliniiba mahali makusudi.Who knows?

Sayansi sasa hivi baada ya miaka mamilioni mwanadamu anaweza kujua hata ancestors wako miaka milioni nyuma kwa kutumia DNA analysis!

Tukipima DNA nae tutapata jibu la uhakika zaidi!

Sijajua unajibu kwa mashauzi na ngendembwe namna hii ni kwamba unamtetea huyo mungu asieweza jitetea yeye mwenyewe mpaka aombe msaada kwa mwanadamu dhaifu kama wewe?

Basi huenda huyu Mungu ni dhaifu sana!
 
"The Drums of war" Majeshi ya Somalia yakijiandaa na Vita wanasema mpaka wafike Nairobi na Kuweka kambi Isiliii..sisi yetu macho ngoja wajichanganye ndio watajua kilichomtoa kanga Manyoya

 
"The Drums of war" Majeshi ya Somalia yakijiandaa na Vita wanasema mpaka wafike Nairobi na Kuweka kambi Isiliii..sisi yetu macho ngoja wajichanganye ndio watajua kilichomtoa kanga Manyoya

Safi sana acha wazichape tu maana hakuna namna

Vita ni biashara ukiwa mjanja vita inaweza kukufanya ukawa bilionea aise

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Dada Jeni mzuka pande za Nyeri huko?

Hahahahahaa

Niko poa na I know it is so shocking to you people sababu mmekulia maisha ya hofu!

Mliambiwa dini au God cant be questioned which is a very stupid concept to begin with?

You are scared to be questioned,what'chu hiding Mr All Powerful Mr God?

God has to face criticism,ridicule,questions,etc like any other concept...

He has to stop running away!

And,one another thing,its funny this fabricated God cant even take a joke?

Namtukana yeye,cha ajabu wanadamu ndio mna-catch feelings,he so powerful muache ajitete yeye mwenyewe!
Unazidi kukiri kwamba Mungu yupo. Hebu soma comments zako vizuri.
Aisee nyie watu hunibamba sana.
 
Unazidi kukiri kwamba Mungu yupo. Hebu soma comments zako vizuri.
Aisee nyie watu hunibamba sana.

Hahaahahaaaa

Jeni unanifurahisha sana....

Ninaongea assuming huyo Mungu wenu ana-exist then ana mapungufu mob sana!

Ila mimi binafsi sina imani/faith kwamba kuna Mungu au Shetani....Nyie mlipoweka imani,mimi kwangu ni 0,yaani vacant,yaani hamna kitu!

Wakenya mpo religious sana kama Wanigeria na Wahindi!

Ndio maana mpo so aggressive and volatile,Wabongo wapo easy,lay back,hawana imani kali sana na hizi dini!

Dini zinawapa ujasiri wa ajabu with false hopes.....Fanatics wa dini hawana utu!
 
Hahaahahaaaa

Jeni unanifurahisha sana....

Ninaongea assuming huyo Mungu wenu ana-exist then ana mapungufu mob sana!

Ila mimi binafsi sina imani/faith kwamba kuna Mungu au Shetani....Nyie mlipoweka imani,mimi kwangu ni 0,yaani vacant,yaani hamna kitu!

Wakenya mpo religious sana kama Wanigeria na Wahindi!

Ndio maana mpo so aggressive and volatile,Wabongo wapo easy,lay back,hawana imani kali sana na hizi dini!

Dini zinawapa ujasiri wa ajabu with false hopes.....Fanatics wa dini hawana utu!
The only true religion is Christianity. Jesus died and rose again.
Islam, Mohammed never resurrected and in his book the Koran he instructed Muslims to kill all non-muslims. (Christians are the most affected by this. What's written in the book (bible about prosecution of Christians is evident now. FaizaFoxy
I would be an atheist if there was no Christianity.
Are you an atheist??
 
Back
Top Bottom