Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,384
GoodSisi ni ndugu zenu wa damu kabisa ,tulifunga mipaka tena tukamzuia Idi Amin kuingiza zana vita ambavyo vingeingia Tanzania ingekua na kibarua kigumu sana tulimnyima hata mafuta ikawa vigumu kwake kutumia vifaru na ndege za kivita,huo sio usaidizi jameni? Brotherly love.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mlitaka msaidiwe kisa na maana mlisaidia? Tenda wema nenda zako,Sisi vita vietu vya ukombozi tulivipigana wenyewe watu wetu wengi wakapoteza maisha Yao,sasa mbona tusaidie waja wakati hatukusaidiwa?.Kaka mimi ni African, Mtanzania with 3 other origin.
Africa we are all equal same to the world, we as Africans we need unity and coorperation highly than how we are currently.
The problem is, at the time Tanzanians battle one on one with colonies and apertheid no one cared. Imagine Africa consist 64 independent nations but more than 50 it was Tanzanians job, the whole SADC got Independence due to firm and niche Tanzanians souls, well heartens and sympathy for others also the whole SADC consist Tanzanians bloodhood brothers and sisters. Regardless the true meaning of unity showed by Tanzanians, then. NO One stands with Tanzanians currently.
That's why we choose our way.
You misunderstood him.What does tanzania..? have u ever contributed in any UN or Au,AMISON mission..?,nkt even am speaking english for nothing,and u are a fool,how can u post such a photo how heartless are u,iliterate ,imbicile, actually i was shicked some tanzanians were rejoicing during the last terror attack at dusit ,how shameless are u..?kenyans we have so many soldiers in supply and highly trained even if we loose we celebrate them as our heros who still live with us,we are waiting when it knock at your door how u will handle it,saving more tha 800pple and. 14we lost it was a win for us,imbicile use brains to reason,ushawai skia au ona hata grenade..?funga kinyua chako ,ongea sense.
Hatunaga Roho mbaya ila Kaka zetu watanzania wanatuona kama adui.Kenya wangekuwa na Roho mbaya wangemsaidia IDDI AMINI kufungua Second front tungechapwa mpaka Dodoma kabla Southern Brothers hawajafika ola pia wao kama Frelimo walikuwa wamechoshwa na Bushwars.
Ombi langu pia,Mungu atuhifadhi.Ni kweli Kenya ni ndugu zetu kabisa. Kwasababu tunashare mpaka mkubwa zaidi pia lugha moja. Nawaombea suala lenu la mpaka na Somalia liishe salama salmini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ziko Grad launchers zaidi ya hamsini na Ethiopia inanunua kwa niaba ya Somaliland ziko Guided antitank 300Sasa hiyo Somaliland wanaosema watasaidiana na Kenya kumbe silaha yao kubwa ni BM-21 tena wanazo tisa tu dah
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Na Somalia wanazo ngapi?Ziko Grad launchers zaidi ya hamsini na Ethiopia inanunua kwa niaba ya Somaliland ziko Guided antitank 300
Ziko Katyusha 80
Kuna vikwazo vya silaha kutokea Eritrea Somaliland na Somalia ila kwa Somaliland inapokea Silaha wana agiziwa na Ethiopia South Somalia Wana Armoured vehicles Only Nothing more na RPG za kizamani.Na Somalia wanazo ngapi?
Hizo katyusha 80 wamezifikisha lini na unaposema inanunua kwa niaba ya Somaliland unamaanisha nn
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Kwaiyo hizo ndio picha na ushahidi kuwa Somaliland wanazo?View attachment 1035088
TOWs ni za Kumwaga
View attachment 1035089
Na hizi antitank za Kichina ni za kumwagaView attachment 1035093
Na hizi Kutoka Yemen wamenunua nyingi
View attachment 1035095
Bm21 Grad za kumwaga wewe unafikiri ni mchezo wa kitoto
View attachment 1035098
Katyusha hizi ndio kiboko ya Alshabaab wa Somalia maana ukishapata mawasiliano unamwaga tu.
Somaliland ingekuwa ni ubwabwa ubwabwa Alshababu ingekuwa Inalawiti watu wake kwa waume ila kila wakigusa wanakula kichapo wanarudi kwenye Drawing board hahahahaha!!!Na Somalia wanazo ngapi?
Hizo katyusha 80 wamezifikisha lini na unaposema inanunua kwa niaba ya Somaliland unamaanisha nn
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Kwa hiyo mpaka watubebee watuletee Dar ili tuamini.Kwaiyo hizo ndio picha na ushahidi kuwa Somaliland wanazo?
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Kwa hiyo mpaka watubebee watuletee Dar ili tuamini.
Au waje kutualika twende tukatembelee makambi yao ili Mhutu mmoja au mtusi mmoja Irankunda arashaka kuzibhonye...
Kuna vikwazo vya silaha kutokea Eritrea Somaliland na Somalia ila kwa Somaliland inapokea Silaha wana agiziwa na Ethiopia South Somalia Wana Armoured vehicles Only Nothing more na RPG za kizamani.
Wewe uMhutu/Mtusi huijui tanzania kwa intelijensia niulize Uganda Kenya Rwanda Burundi wana silaha gani makambi mangapi na mbinu zao usiisahau na South Sudan na Chad.Sawa haya wewe umeyajuaje hayo kuwa Ethiopia ndio njia ya silaha za Somaliland na UN wasijue?
Unakumbuka kilichotaka kutokea tz kipindi wanafanya biashara ya silaha na North Korea?
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Sawa umeshinda lkn kiualisia Kenya plus Somaliland uwezo wa kumpiga Somalia wanao lkn hiyo vita utawacha wako taabani saana kiuchumi na depopulation yake Itakuwa sio ya kitotoWewe uMhutu/Mtusi huijui tanzania kwa intelijensia niulize Uganda Kenya Rwanda Burundi wana silaha gani makambi mangapi na mbinu zao usiisahau na South Sudan na Chad.