Bado maisha anayoishi Rais wa Tanzania na viongozi wa juu, ni ya kifahari sana! Hayaakisi maisha ya masikini walio wengi TanzaniaUkiangalia mazingira ambayo Rais Magufuli alikuwa akihutubia huko Kilwa utaona nyumba za makuti tu, ambayo ni dalili ya namna umasikini ulivyo ndani ya jamii yatu!
Malalamiko ya wananchi ni ukosefu wa vyoo, na madarasa ya kusomea watoto ni magofu! Malipo ya korosho nayo mpaka leo hakuna!View attachment 1522693
Mtoa zawadi ya jogoo kwa Rais naye ukimwamgalia, utaona kwa namna gani wananchi walivyochoka na maisha magumu!
Nashawishika kusema, Zawadi ya jogoo aliyopewa rais, si ya wana Kilwa, ni ulaghai wa kutapeli akili za watu!
Vinginevyo wana Kilwa na kanda ya kusini mtuambie, Magufuli na CCM yake amewafanyia maendeleo gani hadi mumtuku jogoo!?
Utakufa na stress zako huko UK na hako kanaume kako kakiwete!Huyu jogoo wa kizungu ametoka Mbagala asubuhi hata maji ya uso hakunawa.
Ni baada ya nyomi iliyompokea Lissu Airport na wengine walipanga kuonyesha jamii wanavyokubalika.
Yule mzee anafahamu maendeleo ya flyover na ununuzi wa na ununuzi wa ndege.
Mkuu hii inaingia kwenye kifungu cha shambulio la aibu.Utakufa na stress zako huko UK na hako kanaume kako kakiwete!
Ficha ujinga wako?Mleta mada wewe Ni maskini wa kutupwa zipo hoteli za makuti kwa siku laki nane Makuti Sio umaskini
Nyumba za maeneo ya joto zinatakiwa kuezekwa Makuti Sio vigae au bati ndio maana hotels za makuti maeneo ya pwani Huwezi kumudu kulipia Lofa wewe
Shambulio la aibu tena?Mkuu hii inaingia kwenye kifungu cha shambulio la aibu.
Meko huwa anaongea utafikiria yeye ni rais wa nchi nyingine kaja tanzania ghafla,jamaa ni msanii hiyo barabara anaijua sana shida ni pesa aache blahblahIlibidi niende Dar es Salaam kwa kutumia Ndege kutokea Mtwara lakini nimepita hii Barabara (Mtwara- DSM) makusudi nione hali yake, hii Barabara imeharibika, 90 KM zote zimeharibika. magari yenye uzito mkubwa yameharibu hii Barabara
Barabara hii ya Mtwara - Lindi-Dar es Salaam imeharibika sana, Waziri wa Ujenzi atafute utatuzi wa hii Barabara, ajipange vizuri utunzaji sio mzuri.
Mmeniudhi Wizara ya Ujenzi, sijafurahia. Nimetoka na machungu kwa kumzika Mzee Mkapa, lakini hapa Somanga napo nimepata machungu kwa kukuta barabara hii haijatengenezwa”
Barabara hii ya Mtwara-Lindi-Dar es salaam imeharibika sana, Waziri wa Ujenzi atafute utatuzi wa hii Barabara, ajipange, utunzaji sio mzuri.Hii barabara imeharibika, huwezi ukaamini kama tuna Waziri wa Ujenzi. Kilometa 90 zote nilikuwa nahesabu zimeharibika - Rais Magufuli
Rais Magufuli ametoa Shilingi Milioni 4.9 kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Msingi Somanga baada ya mwanafunzi wa shule hiyo Rehema Mikidadi Ngenje kumwambia Changamoto za Shule hiyo. Pia Rais amemzawadia mwanafunzi huyo Tsh 100,000.
Naichangia Shule ya Msingi Somanga TZS Milioni 5. OCD wa hapa hakikisha hizi fedha zinaenda benki na zinapelekwa katika hiyo shule, mkazitumie kweli nitakuja nifuatilie lakini TZS 100,000 ibaki kwa huyu mtoto - Rais Magufuli
Rais Magufuli pia amezawadiwa Jogoo na mzee mmoja ambaye pia Rais Magufuli amemzawadia Tsh.100,000 na kutania kwamba analichukua jogoo lakini asije akafika nalo nyumbani likageuka kuwa radi.
"Nisikilize Mzee wangu, baba yangu ameshatangulia mbele ya haki,umetoa jogoo,siku ukienda chato nitakukabidhi mama yangu na wewe uwe baba,haya kamlete huyo jogoo" - Rais Magufuli
Hii barabara imejengwa 5years ago chini ya usimamizi wake,Sasa hivi inahitaji tena ukarabati?Ilibidi niende Dar es Salaam kwa kutumia Ndege kutokea Mtwara lakini nimepita hii Barabara (Mtwara- DSM) makusudi nione hali yake, hii Barabara imeharibika, 90 KM zote zimeharibika. magari yenye uzito mkubwa yameharibu hii Barabara
Barabara hii ya Mtwara - Lindi-Dar es Salaam imeharibika sana, Waziri wa Ujenzi atafute utatuzi wa hii Barabara, ajipange vizuri utunzaji sio mzuri.
Mmeniudhi Wizara ya Ujenzi, sijafurahia. Nimetoka na machungu kwa kumzika Mzee Mkapa, lakini hapa Somanga napo nimepata machungu kwa kukuta barabara hii haijatengenezwa”
Barabara hii ya Mtwara-Lindi-Dar es salaam imeharibika sana, Waziri wa Ujenzi atafute utatuzi wa hii Barabara, ajipange, utunzaji sio mzuri.Hii barabara imeharibika, huwezi ukaamini kama tuna Waziri wa Ujenzi. Kilometa 90 zote nilikuwa nahesabu zimeharibika - Rais Magufuli
Rais Magufuli ametoa Shilingi Milioni 4.9 kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Msingi Somanga baada ya mwanafunzi wa shule hiyo Rehema Mikidadi Ngenje kumwambia Changamoto za Shule hiyo. Pia Rais amemzawadia mwanafunzi huyo Tsh 100,000.
Naichangia Shule ya Msingi Somanga TZS Milioni 5. OCD wa hapa hakikisha hizi fedha zinaenda benki na zinapelekwa katika hiyo shule, mkazitumie kweli nitakuja nifuatilie lakini TZS 100,000 ibaki kwa huyu mtoto - Rais Magufuli
Rais Magufuli pia amezawadiwa Jogoo na mzee mmoja ambaye pia Rais Magufuli amemzawadia Tsh.100,000 na kutania kwamba analichukua jogoo lakini asije akafika nalo nyumbani likageuka kuwa radi.
"Nisikilize Mzee wangu, baba yangu ameshatangulia mbele ya haki,umetoa jogoo,siku ukienda chato nitakukabidhi mama yangu na wewe uwe baba,haya kamlete huyo jogoo" - Rais Magufuli
Tupe hotel moja iliyoezekwa kwa makuti Dar au dar hakuna joto?Mleta mada wewe Ni maskini wa kutupwa zipo hoteli za makuti kwa siku laki nane kwa siku Makuuti
Sio umaskini maskini wewe
Nyumba za maeneo ya joto zinatakiwa kuezekwa Makuti Sio vigae au bati ndio maana hotels za makuti maeneo ya pwani Huwezi kumudu kulipia Lofa wewe
Hivi ni yule aliesema kua watu ni malofa na wapumbavu?Rais Kipenzi cha watu!
Alafu kweli Dar kuna joto sana...lands KEMPSIKTupe hotel moja iliyoezekwa kwa makuti Dar au dar hakuna joto?
You mean Kilimanjaro hotel au kempski? Pita pale uiangalie vizuri mkuu au igoogleAlafu kweli Dar kuna joto sana...lands KEMPSIK