Somanga: Rais Magufuli asikitishwa na uzembe wa Wizara ya Ujenzi kutokarabati barabara Somanga. Azawadiwa jogoo

Somanga: Rais Magufuli asikitishwa na uzembe wa Wizara ya Ujenzi kutokarabati barabara Somanga. Azawadiwa jogoo

Mleta mada wewe Ni maskini wa kutupwa zipo hoteli za makuti kwa siku laki nane kwa siku Makuuti
Sio umaskini maskini wewe

Nyumba za maeneo ya joto zinatakiwa kuezekwa Makuti Sio vigae au bati ndio maana hotels za makuti maeneo ya pwani Huwezi kumudu kulipia Lofa wewe
 
Ukiangalia mazingira ambayo Rais Magufuli alikuwa akihutubia huko Kilwa utaona nyumba za makuti tu, ambayo ni dalili ya namna umasikini ulivyo ndani ya jamii yatu!

Malalamiko ya wananchi ni ukosefu wa vyoo, na madarasa ya kusomea watoto ni magofu! Malipo ya korosho nayo mpaka leo hakuna!View attachment 1522693

Mtoa zawadi ya jogoo kwa Rais naye ukimwamgalia, utaona kwa namna gani wananchi walivyochoka na maisha magumu!

Nashawishika kusema, Zawadi ya jogoo aliyopewa rais, si ya wana Kilwa, ni ulaghai wa kutapeli akili za watu!

Vinginevyo wana Kilwa na kanda ya kusini mtuambie, Magufuli na CCM yake amewafanyia maendeleo gani hadi mumtuku jogoo!?
Bado maisha anayoishi Rais wa Tanzania na viongozi wa juu, ni ya kifahari sana! Hayaakisi maisha ya masikini walio wengi Tanzania
 
Huyu jogoo wa kizungu ametoka Mbagala asubuhi hata maji ya uso hakunawa.

Ni baada ya nyomi iliyompokea Lissu Airport na wengine walipanga kuonyesha jamii wanavyokubalika.

Yule mzee anafahamu maendeleo ya flyover na ununuzi wa na ununuzi wa ndege.
Utakufa na stress zako huko UK na hako kanaume kako kakiwete!
 
Mleta mada wewe Ni maskini wa kutupwa zipo hoteli za makuti kwa siku laki nane Makuti Sio umaskini

Nyumba za maeneo ya joto zinatakiwa kuezekwa Makuti Sio vigae au bati ndio maana hotels za makuti maeneo ya pwani Huwezi kumudu kulipia Lofa wewe
Ficha ujinga wako?

Haya ni makuti?
 

Attachments

  • 2444124_2444028_IMG_20200630_091115.jpeg
    2444124_2444028_IMG_20200630_091115.jpeg
    142.4 KB · Views: 1
Kwa hiyo ni barabara hiyo pekee iliyojengwa chini ya kiwango, inakuwaje Rwanda gari la uzito wowote linapita barabarani sisi mizani zimetapakaa kila mahali kupima uzito wa magari. Kama barabara inaweza kuharibiwa na basi la abiria eti limezidi uzito hakuna barabara hapo...
 


Ilibidi niende Dar es Salaam kwa kutumia Ndege kutokea Mtwara lakini nimepita hii Barabara (Mtwara- DSM) makusudi nione hali yake, hii Barabara imeharibika, 90 KM zote zimeharibika. magari yenye uzito mkubwa yameharibu hii Barabara

Barabara hii ya Mtwara - Lindi-Dar es Salaam imeharibika sana, Waziri wa Ujenzi atafute utatuzi wa hii Barabara, ajipange vizuri utunzaji sio mzuri.

Mmeniudhi Wizara ya Ujenzi, sijafurahia. Nimetoka na machungu kwa kumzika Mzee Mkapa, lakini hapa Somanga napo nimepata machungu kwa kukuta barabara hii haijatengenezwa”

Barabara hii ya Mtwara-Lindi-Dar es salaam imeharibika sana, Waziri wa Ujenzi atafute utatuzi wa hii Barabara, ajipange, utunzaji sio mzuri.Hii barabara imeharibika, huwezi ukaamini kama tuna Waziri wa Ujenzi. Kilometa 90 zote nilikuwa nahesabu zimeharibika -
Rais Magufuli

Rais Magufuli ametoa Shilingi Milioni 4.9 kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Msingi Somanga baada ya mwanafunzi wa shule hiyo Rehema Mikidadi Ngenje kumwambia Changamoto za Shule hiyo. Pia Rais amemzawadia mwanafunzi huyo Tsh 100,000.



Naichangia Shule ya Msingi Somanga TZS Milioni 5. OCD wa hapa hakikisha hizi fedha zinaenda benki na zinapelekwa katika hiyo shule, mkazitumie kweli nitakuja nifuatilie lakini TZS 100,000 ibaki kwa huyu mtoto - Rais Magufuli



Rais Magufuli pia amezawadiwa Jogoo na mzee mmoja ambaye pia Rais Magufuli amemzawadia Tsh.100,000 na kutania kwamba analichukua jogoo lakini asije akafika nalo nyumbani likageuka kuwa radi.

"Nisikilize Mzee wangu, baba yangu ameshatangulia mbele ya haki,umetoa jogoo,siku ukienda chato nitakukabidhi mama yangu na wewe uwe baba,haya kamlete huyo jogoo" - Rais Magufuli
Meko huwa anaongea utafikiria yeye ni rais wa nchi nyingine kaja tanzania ghafla,jamaa ni msanii hiyo barabara anaijua sana shida ni pesa aache blahblah
 


Ilibidi niende Dar es Salaam kwa kutumia Ndege kutokea Mtwara lakini nimepita hii Barabara (Mtwara- DSM) makusudi nione hali yake, hii Barabara imeharibika, 90 KM zote zimeharibika. magari yenye uzito mkubwa yameharibu hii Barabara

Barabara hii ya Mtwara - Lindi-Dar es Salaam imeharibika sana, Waziri wa Ujenzi atafute utatuzi wa hii Barabara, ajipange vizuri utunzaji sio mzuri.

Mmeniudhi Wizara ya Ujenzi, sijafurahia. Nimetoka na machungu kwa kumzika Mzee Mkapa, lakini hapa Somanga napo nimepata machungu kwa kukuta barabara hii haijatengenezwa”

Barabara hii ya Mtwara-Lindi-Dar es salaam imeharibika sana, Waziri wa Ujenzi atafute utatuzi wa hii Barabara, ajipange, utunzaji sio mzuri.Hii barabara imeharibika, huwezi ukaamini kama tuna Waziri wa Ujenzi. Kilometa 90 zote nilikuwa nahesabu zimeharibika -
Rais Magufuli

Rais Magufuli ametoa Shilingi Milioni 4.9 kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Msingi Somanga baada ya mwanafunzi wa shule hiyo Rehema Mikidadi Ngenje kumwambia Changamoto za Shule hiyo. Pia Rais amemzawadia mwanafunzi huyo Tsh 100,000.



Naichangia Shule ya Msingi Somanga TZS Milioni 5. OCD wa hapa hakikisha hizi fedha zinaenda benki na zinapelekwa katika hiyo shule, mkazitumie kweli nitakuja nifuatilie lakini TZS 100,000 ibaki kwa huyu mtoto - Rais Magufuli



Rais Magufuli pia amezawadiwa Jogoo na mzee mmoja ambaye pia Rais Magufuli amemzawadia Tsh.100,000 na kutania kwamba analichukua jogoo lakini asije akafika nalo nyumbani likageuka kuwa radi.

"Nisikilize Mzee wangu, baba yangu ameshatangulia mbele ya haki,umetoa jogoo,siku ukienda chato nitakukabidhi mama yangu na wewe uwe baba,haya kamlete huyo jogoo" - Rais Magufuli

Hii barabara imejengwa 5years ago chini ya usimamizi wake,Sasa hivi inahitaji tena ukarabati?
 
Mleta mada wewe Ni maskini wa kutupwa zipo hoteli za makuti kwa siku laki nane kwa siku Makuuti
Sio umaskini maskini wewe

Nyumba za maeneo ya joto zinatakiwa kuezekwa Makuti Sio vigae au bati ndio maana hotels za makuti maeneo ya pwani Huwezi kumudu kulipia Lofa wewe
Tupe hotel moja iliyoezekwa kwa makuti Dar au dar hakuna joto?
 
Hivi yule Mzee mwenye jogoo alijuaje atapata nafasi ya kuongea mpaka akawa amejiandaa na zawadi ya jogoo lake?

Kumbukeni tu ya kwamba Majibu yenu yote mtakayoyajibu hapa yatasomwa mno si tu ' Great Thinkers ' wa JF lakini pia yatasomwa vyema tu na ' Intellectuals ' kutoka vyuo Vikuu vya Watu wenye Akili Kubwa na zilizowapitiliza kabisa kama cha Havard huko Marekani, Oxford huko Uingereza na Tel-Aviv cha nchini Israel.


Mjumbe hauwawi!
 
Inaonekana Magufuli ana uwezo mdogo wa kujenga hoja na badala amekuwa akiropoka maneno yasiyo na sense. Mfano ni juzi alivyotoka katika mazishi ya Mkapa akafika maeneo ya Somanga.

Akiwa kwenye mkutano alisalimia kwa kutumia slogan "Mkapa Hoyee hoyee" Hivi hiyo ina maana gani kusema hivyo wakati mtu anayemsema ametoka kwenye msiba wake?

Kama haitoshi, akasema yule mzee atampa mama yake kwa sababu baba yake Magufuli alikuwa ameshatangulia mbele ya haki. Huyu mzee alimpa zawadi ya Jogoo. Magufuli akaendelea kusema "Kuku Hoyee!

Huyo mama si Mama yangu lakini katika utamaduni wa kiafrika kuongea maneno kama hayo si sahihi....Ni ujinga uliopitiliza.
 
Back
Top Bottom