eti sisi tulikua tunakatazwa kusema "chaka chaka dendaaa"Nyie wazazi mnazingua bana sometimes kuna mtu alikua anatuchapa tukiimba "wapii Dar mpaka Moro"
Eti nimatusi kumbee..
Au ukifanya ulimi ukalia fyokofyokofyoko mdomoni wanatuchapa..
Sent using Jamii Forums mobile app
umeyala sana makamasi we mtu unaonyeshaHivi damu na kamasi ile chumvichumvi huwa vinaitoa wapi?
kinyaaaNimemiss michezo ya utotoni, kipindi hicho mtu hajali kuhusu maisha wala nini unawaza kula,kucheza,kulala na Kwenda Shule (KKKK/4K )
Basi hapa tukumbushane michezo ya utotoni kwa picha, Enzi hizo Dunia ikiwa ni Dunia
....
Hii ktu nimefanya sana..
View attachment 1409353
Sent using Jamii Forums mobile app
nimepiga level zote hili game na sijawahi kulichoka,
Inaelekea uliyafaidi makamasi yako!Hivi damu na kamasi ile chumvichumvi huwa vinaitoa wapi?
Fukufuku kafanya yake!Mdudu fukufuku nimemuweka Sana kwenye tuchuchu zangu enzi hizo ili matiti yakuwe makubwa..[emoji3][emoji3] tulikuwa twaona wakubwa wanafauuuduuu[emoji57][emoji57] Natamani apatikane mdudu wa kupunguzaView attachment 1409389
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama dada bado anavua hovyo chupi yake mpaka sasa, atakuwa anaipata fresh!Kuna mdada wa jirani huyu ndio alikua mkubwa kwetu kama miaka 2. Huyu mdada alikua anachupi yake nyekundu mbele ina ua.
Alikua ashazoe tunakaa maeneo anavua chupi yake hiyo nyekundu namsaidia kutoa chawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukimaliza kuokota anavaa. Siku moja aliitupa hiyo chupi tukaona katoto kameivaa kichwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imeniacha hoi!![emoji1787] mie huo wa kimama kuna li jamaa lenyewe lilikuwa linapenda mi niwe mama na mimi akili yangu ilikuwa kubwa nkajua anataka nini huyu, basi tukilala sichukui muda nawika [emoji23][emoji23] akawa anamaindi anasema wanawake hawawiki...Fadhili huyo...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] mie huo wa kimama kuna li jamaa lenyewe lilikuwa linapenda mi niwe mama na mimi akili yangu ilikuwa kubwa nkajua anataka nini huyu, basi tukilala sichukui muda nawika [emoji23][emoji23] akawa anamaindi anasema wanawake hawawiki...Fadhili huyo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mbal sanaa aiseeHii ya kupasua hayo madude mpaka leo nafanya..View attachment 1409371
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu nlikua naangalia wanavyofanyaHuu tumecheza enzi hizo skuli ya fuoni.. tunaita mtegoView attachment 1409387
Sent using Jamii Forums mobile app
ChukuchukuMdudu fukufuku nimemuweka Sana kwenye tuchuchu zangu enzi hizo ili matiti yakuwe makubwa..[emoji3][emoji3] tulikuwa twaona wakubwa wanafauuuduuu[emoji57][emoji57] Natamani apatikane mdudu wa kupunguzaView attachment 1409389
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah