proskaeur
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 1,571
- 4,924
Kwa wale tuliokua na mbuzi nyumbani, siku ukienda kuwachunga mnazichanganya na za majirani halafu mnaziachia zinaenda kwenye mazao ya watu huku nyie mnacheza mpira
Sasa muda ukipita mnakaa mnapiga Kura nani aende kuzitafuta zilikoenda maana kama ziko kwenye mazao ya watu halafu mwenye shamba akiwepo wewe uliezifata kipondo utakachochezea utasimulia
Hapo kwenye kupiga Kura tulikua tunachukua yake matawi ya mihogo, kule kunakokutana Kati ya Tawi na mti wa mihogo kuna kifundo, hapo mmoja anavikata kata then anavificha kwenye kiganja cha mkono Yule atakaechagua kijiti chenye kifundo ndio atazifata mbuzi zilikoenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa muda ukipita mnakaa mnapiga Kura nani aende kuzitafuta zilikoenda maana kama ziko kwenye mazao ya watu halafu mwenye shamba akiwepo wewe uliezifata kipondo utakachochezea utasimulia
Hapo kwenye kupiga Kura tulikua tunachukua yake matawi ya mihogo, kule kunakokutana Kati ya Tawi na mti wa mihogo kuna kifundo, hapo mmoja anavikata kata then anavificha kwenye kiganja cha mkono Yule atakaechagua kijiti chenye kifundo ndio atazifata mbuzi zilikoenda
Sent using Jamii Forums mobile app