Mlikuwa mnabaniwa tu sisi ndani ya kambi kabisa na mibaruti juu ila muda mwengine walikuwa wakitufurumua..
Unataka kuniambia watoto wao hawasheherekei..? Tena wale ndo wakorofi Kama wazazi wao hujajua tu..
Zilikua sio kota. Nyumba zetu zilipakana na msitu wa jeahi. Majamaa walikua wanawapiga sana wabibi wakienda kukata kuniUnataka kuniambia watoto wao hawasheherekei..? Tena wale ndo wakorofi Kama wazazi wao hujajua tu..
Tulikua tuna mchezo tunaita Kombolela Uchi. Hii tulikua tunaicheza kuanzia saa 2 ya usiku..Mtu anakuja kukomboa mpira yupo full suti. Uchi kabisa (Tulikua hatuna chupi..) huwezi mjua jina jama.
Watu wamekulana huko..sio waoga tulitoka kapa pote
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechekaa.Wale waliokuwa wanajificha komborela hawatoki kumbe wanafanya yao..[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Wale kila mtu wanaona mvamizi😂Zilikua sio kota. Nyumba zetu zilipakana na msitu wa jeahi. Majamaa walikua wanawapiga sana wabibi wakienda kukata kuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza jua nimekulia sehemu yenye uhuru wa kucheza sana kumbee. Unacheza huku unajua ukurudi unafikia fimbo za kutosha tena unaenda kuchuma fimbo mwenyeww
Sisi watu walibadilishana nguo. Kuna wavulana walivaa magauni basi yule anaezinga anachachawa kutaja jina.Watu wanabutua.
Kombolela ya saa 12 jioni kwenda saa moja ilinoga sana.
Duh! Wale kila mtu wanaona mvamizi[emoji23]
Nasubiri zawadi yangu usijikaushe ntakuroga[emoji12][emoji12]
Inategemea na kibofu husika sisi wengine tulikuwa tunanukia cocacola😜😂😂Muha harogeki mkuu.
Mbona kwetu wali ulikua adimu tunaweza kaa hata 3 months bila kula wali ila siku ukijojoa unatoa ubwabwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Mkuu ubarikiwe kwa kunikumbusha hii kitu.....Mdudu fukufuku nimemuweka Sana kwenye tuchuchu zangu enzi hizo ili matiti yakuwe makubwa..[emoji3][emoji3] tulikuwa twaona wakubwa wanafauuuduuu[emoji57][emoji57] Natamani apatikane mdudu wa kupunguzaView attachment 1409389
Sent using Jamii Forums mobile app