[emoji3][emoji3][emoji3] acha kabisa..alafu wakaja kutoaga Yale ya plastic...wooiiiii na zile penseli za plastic zile[emoji23][emoji23]Waliokuwa na haya madude mlikiwa mnajiona mmewini sana maisha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
2008 Hahahahh
Aliyebuni zile penseli alikuwa kiazi kabisa.😀😀😀😀[emoji3][emoji3][emoji3] acha kabisa..alafu wakaja kutoaga Yale ya plastic...wooiiiii na zile penseli za plastic zile[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap ...niliuza maembe ya nyumbani(tulikuwa na miti) nikapata hela nikanunua..Ulikua unacheza..?
[emoji1787] mie huo wa kimama kuna li jamaa lenyewe lilikuwa linapenda mi niwe mama na mimi akili yangu ilikuwa kubwa nkajua anataka nini huyu, basi tukilala sichukui muda nawika [emoji23][emoji23] akawa anamaindi anasema wanawake hawawiki...Fadhili huyo...Nani alicheza kadome..?
Kula mbakishie baba je..?
Komborela je..?
Baba na mama je..? Lakini hii nilikuwa natengwa sana siwi baba nakuwa mtoto tu kenge kabisa[emoji23][emoji23]
Ila ipo niliofaidi hiyo ilikuwa ni special ya Mimi na kidemu fulani hivi kiliitwa fatu asubuhi pevu kenge tayari nipo kwao! Tukishajipikilisha tunaingia kwenye mauwa[emoji23][emoji23] fatuma i miss you[emoji7]
Michezo nliokuwa siipendi ni kula mbakishie baba ukiangusha kile kijiti halafu huna mbio utachezea mkong'oto mpk unalia[emoji23][emoji23]
Aiseee ,,sisi wachaga ruksa tena mzee alinipa sapot kabisa ya kunidondoshea na kunivundikia maembe, nikitoka shule nabeba beseni langu naenda kuuza habari sipatiSikuwqhi miliki wala kucheza hii gemu..utotoni sijawqhi miliki zaidi ya 200 (tulikatazwa kutafuta hela)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna dada alikua na vinyonyo vidogoo kipind tuko chuo tukawa tunamwambia tafuta fukufuku vikue hvyoMdudu fukufuku nimemuweka Sana kwenye tuchuchu zangu enzi hizo ili matiti yakuwe makubwa..[emoji3][emoji3] tulikuwa twaona wakubwa wanafauuuduuu[emoji57][emoji57] Natamani apatikane mdudu wa kupunguzaView attachment 1409389
Sent using Jamii Forums mobile app
Process ya kukifanya kisoda kiwe flat imeumiza vidole vya wengi sanaaaTukumbushane na hii..[emoji3][emoji3] watoto wa sikuhizi wanakosa uhondoView attachment 1409517
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mchezo na Tobo dunda ulitakiwa uwe na mbio sanaaaKula mbakishie baba
Hapo inabid upanguse mchanga kiakili sana, ukijichanga kuangusha kijiti, unaweza kuchezea kipigo kama boko haram, hapo mti wa kushika ili uachiwe kupigwa upo mtaa wa pili
Hiki kizaz mtoto wa kiume yeyote yule, hauwez kuwa na tabia za kike
Huu mchezo ulinifanya niwe nunda sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia juu huko nimeusema2008 Hahahahh
Unakumbukumb Sana
Mchezo wa ki-Baba na Mama sijaona ukisema [emoji3][emoji3]?
[emoji23][emoji23][emoji23] kwanini?Aliyebuni zile penseli alikuwa kiazi kabisa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vile sidhani Kama vinafanya kazi ukubwani..hata utotoni kwenyewe sidhani Kama ilikuwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna dada alikua na vinyonyo vidogoo kipind tuko chuo tukawa tunamwambia tafuta fukufuku vikue hvyo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Process ya kukifanya kisoda kiwe flat imeumiza vidole vya wengi sanaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hazikuwa imara, zinaong'onyoka kama za udongo. Hakuna penseli nilikuwa naikubali kama HB
Kweli aisee..utashangaa siku mbili tu zimeisha...HB kiboko mpaka keshoHazikuwa imara, zinaong'onyoka kama za udongo. Hakuna penseli nilikuwa naikubali kama HB
Toka nizaliwe leo ndio nimefahamu samasoti inaandikwa hivo..Kujifunza somersault niliangukia mgongo na nyumbani kichapo juu View attachment 1410834
Sent from my iPhone using Tapatalk
halafu kila siku upo, kama unalipwa vile.
Kula mbakishie baba
Hapo inabid upanguse mchanga kiakili sana, ukijichanga kuangusha kijiti, unaweza kuchezea kipigo kama boko haram, hapo mti wa kushika ili uachiwe kupigwa upo mtaa wa pili
Hiki kizaz mtoto wa kiume yeyote yule, hauwez kuwa na tabia za kike
Huu mchezo ulinifanya niwe nunda sana,
Sent using Jamii Forums mobile app