Some childhood memories

Some childhood memories

Yap ...niliuza maembe ya nyumbani(tulikuwa na miti) nikapata hela nikanunua..

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Sikuwqhi miliki wala kucheza hii gemu..utotoni sijawqhi miliki zaidi ya 200 (tulikatazwa kutafuta hela)
 
Nani alicheza kadome..?
Kula mbakishie baba je..?
Komborela je..?
Baba na mama je..? Lakini hii nilikuwa natengwa sana siwi baba nakuwa mtoto tu kenge kabisa[emoji23][emoji23]
Ila ipo niliofaidi hiyo ilikuwa ni special ya Mimi na kidemu fulani hivi kiliitwa fatu asubuhi pevu kenge tayari nipo kwao! Tukishajipikilisha tunaingia kwenye mauwa[emoji23][emoji23] fatuma i miss you[emoji7]

Michezo nliokuwa siipendi ni kula mbakishie baba ukiangusha kile kijiti halafu huna mbio utachezea mkong'oto mpk unalia[emoji23][emoji23]
[emoji1787] mie huo wa kimama kuna li jamaa lenyewe lilikuwa linapenda mi niwe mama na mimi akili yangu ilikuwa kubwa nkajua anataka nini huyu, basi tukilala sichukui muda nawika [emoji23][emoji23] akawa anamaindi anasema wanawake hawawiki...Fadhili huyo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuwqhi miliki wala kucheza hii gemu..utotoni sijawqhi miliki zaidi ya 200 (tulikatazwa kutafuta hela)
Aiseee ,,sisi wachaga ruksa tena mzee alinipa sapot kabisa ya kunidondoshea na kunivundikia maembe, nikitoka shule nabeba beseni langu naenda kuuza habari sipati

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Kula mbakishie baba

Hapo inabid upanguse mchanga kiakili sana, ukijichanga kuangusha kijiti, unaweza kuchezea kipigo kama boko haram, hapo mti wa kushika ili uachiwe kupigwa upo mtaa wa pili
Hiki kizaz mtoto wa kiume yeyote yule, hauwez kuwa na tabia za kike

Huu mchezo ulinifanya niwe nunda sana,

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mchezo na Tobo dunda ulitakiwa uwe na mbio sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mitaa ya kwetu kulikua na kukodisha baskel mnavizia ile jion mnakodsha ya kulala bas jion yote mpka usiku mnaendesha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna dada alikua na vinyonyo vidogoo kipind tuko chuo tukawa tunamwambia tafuta fukufuku vikue hvyo

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vile sidhani Kama vinafanya kazi ukubwani..hata utotoni kwenyewe sidhani Kama ilikuwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujifunza somersault niliangukia mgongo na nyumbani kichapo juu
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
halafu kila siku upo, kama unalipwa vile.
Kula mbakishie baba

Hapo inabid upanguse mchanga kiakili sana, ukijichanga kuangusha kijiti, unaweza kuchezea kipigo kama boko haram, hapo mti wa kushika ili uachiwe kupigwa upo mtaa wa pili
Hiki kizaz mtoto wa kiume yeyote yule, hauwez kuwa na tabia za kike

Huu mchezo ulinifanya niwe nunda sana,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom