Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
๐๐ Nyie endeleeeni kujichua tu ๐Kama una maanisha bro ,๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐ Nyie endeleeeni kujichua tu ๐Kama una maanisha bro ,๐
Ina maana ,maana kubwa ni uzazi tu, hayo mengine tunayoambiwa yanapatika humo kwa kiasi kikubwa ni kinyume chake(A) โข Waliopo kwenye ndoa, wanatamani kuachana na masuala ya ndoa
(B) โข Ambao hawapo kwenye ndoa, wanatamani kufunga ndoa
"HII INAONESHA KUWA NDOA HAINA MAANA ๐ค๐ค..."
Tunapenda basi ndugu yangu!๐๐ Nyie endeleeeni kujichua tu ๐
Kama lengo ni Watoto Sawa.. But Waliopo kwenye NDOA Kwa maisha ya Sasa, wanapitia vipindi vigumu sana.Ina maana ,maana kubwa ni uzazi tu, hayo mengine tunayoambiwa yanapatika humo kwa kiasi kikubwa ni kinyume chake
Hakuna ndoa tamu huo ni uongo,ndoa ni tamu wanandoa wakisha fika uzee basi.Wanapoendelea kukataa ndoa kwa muda mrefu hata kama wanatania baadae akili zao zitajengeka hivyo hivyo hakuna umuhimu wa ndoa. Wakija kushtuka utuuzima na uzee huu hapa...
Ingieni kwenye ndoa kakaTunapenda basi ndugu yangu!
La abda wewe ulipata mwarobaini , tu share kidogo ndugu yangu.
Tembea uone, usikae maeneo ya aina moja au kama uliona ndugu au mzazi akiteseka kwenye ndoa haimaanishi na wewe utateseka.Ndio ni karaha na mateso.
Sana ndugu yangu kati ya kumi wenye ndoa zaidi ya nusu wana lia sio wanaume tu hata wanawake, source ni matokeo yalio kinyume na matarajio.Kama lengo ni Watoto Sawa.. But Waliopo kwenye NDOA Kwa maisha ya Sasa, wanapitia vipindi vigumu sana.
Ngoya tujaribu aiseeIngieni kwenye ndoa kaka
Jibu murua kabisa! Sisi kataa ndoa tunapiga sana mbususu, tusichotaka ni kifungo NDOAKutomb(a) hakuna uhusiano wowote na kuoa.
#YNWA
Utamu wa kitu chochote ni kwa wewe mwenyewe mlaji unakichukuliaje na ladha yake umeielewa vipi. Hata vyenye chumvi, sukari, limao, uchungu na harufu kwa wengine ni vitamu.Hakuna ndoa tamu huo ni uongo,ndoa ni tamu wanandoa wakisha fika uzee basi.
Ndoa 99% ni karaha & 1% ndio furaha.
NakaziaUkiangali kwa makini kataa ndoa uwa wana hoja sisi tuliooa tunapitia mengi sana
View attachment 2944505
InafikirishaNdoa ni nini? Ni muungano wa Binadamu wawili walioamua kumla Bata hivyo sio busara kumchunguza, itakuumiza