Somo kutoka Ethiopia: taifa vitani mbioni kugawanyika, kisa kiongozi kukataa ushauri

Ndio watu wanataka serikal ya majimbo nchi hii??????
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu serikali ya majimbo ni ya ukweli kama mpo vizuri si unawachek USA wanasonga pia ina hatari zake
Pia hizi serikali kama zetu pia zina majanga yake si unawachek msumbiji
Ishu ni nchi na uongozi unaendaje hii mifumo ipo tu
 
Kuna siku south Africa itakuwa nchi ya Ethiopia afu wanajiita wao ndo wayahudi.
 
Mambo yanaenda according na plan ya CIA..
Kwanza Ku control population kwa kuwapa njaa kubwa..
Sasa kuigawa nchi vipande
 
Ndio maaana kunachama Fulani hua kina pendekeza utawala wa majimbo na hayo ndio madhara yake
 
Mambo yanaenda according na plan ya CIA..
Kwanza Ku control population kwa kuwapa njaa kubwa..
Sasa kuigawa nchi vipande
πŸ€”πŸ€”
Yanayoendelea humu duniani ni hatari
Kuzungukana na matabasamu feki ndio yamejaa. Karibu kila jambo nyuma ya pazia kuna mkono flan
 
Ni wabishi wenye experience mmoja wa wanachama wao ni Tendros Gebreyesus mkuu wa WHO
Wako wengi Sana Tena sehemu nyeti huko duniani,wamejaribu kuwachomoa imeshindikana.

Ila PM analigawa Hilo Taifa kwa ukabila, kulikua na wanajeshi wa Ethiopia kabila wa tigray walioko kwny mission huko Sudan majuzi waliitwa na serikali ya Ethiopia kurudi nyumbani wamegoma kuondoka Sudan wakisema wakifika huk kwao wanajua Ni mwendo wa kushughulikiwa tu.
 
Mkuu somo lako zuri sana,na pia waafrika tuache hii tabia ya ubinafsi,ndio maana wengi wanaotemgwa wanatafuta uhuru wao wenyewe. Nakumbuka kuna tetesi pia TZ ilianza tabia hiyo ambayo mwishowe huwa mbaya.
 
Mkuu somo lako zuri sana,na pia waafrika tuache hii tabia ya ubinafsi,ndio maana wengi wanaotemgwa wanatafuta uhuru wao wenyewe. Nakumbuka kuna tetesi pia TZ ilianza tabia hiyo ambayo mwishowe huwa mbaya.
Viongozi wengi wa kiAfrika si wavumilivu kwa watu wanaowakosoa au kuwa na fikra tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…