Waoromo ambao ndo kabila kubwa Ethiopia wamekubali kuungana Tigray waanze mashambulizi kuingoa serikali ya shilikisho ya waziri mkuu.Kazi ipo na lazima watampindua ni swala la muda tu
Waoromo ambao ndo kabila kubwa Ethiopia wamekubali kuungana Tigray waanze mashambulizi kuingoa serikali ya shilikisho ya waziri mkuu.Kazi ipo na lazima watampindua ni swala la muda tu
πππ
Mkuu serikali ya majimbo ni ya ukweli kama mpo vizuri si unawachek USA wanasonga pia ina hatari zake
Pia hizi serikali kama zetu pia zina majanga yake si unawachek msumbiji
Ishu ni nchi na uongozi unaendaje hii mifumo ipo tu