Somo kutoka Uchina, namna walivyoweza kuendeleza biashara ya Bandari

Je unakubali mapigo ya "Simba wa Yuda" na kama unakubali hizo sheria kali unajua zilikuwa zipo ukingoni tu,? na kama hukubali ujiulize ni kwanini...? haukubali....tafadhali ondoa sababu za kuchomekachomeka.
Hatahivyo naunga mkono huo mtazamo wako.
Kwamba kuweka sheria kali dhidi ya wabadhirifu na mafisad ni za kuchomekachomeka? NB; ili Taifa lisonge mbele kimaendeleo ni lazima kuwepo na sheria kali dhidi yao na ziwe active kwa kiongoz yeyote au raia yeyote!! Tutajidanganya san tu kupata maendeleo ya kweli huku tuki bless ufisadi!!!
 
Andika hata page 100 wabongo wanachojua ni wizi na kujazana kwenye Vitengo bas
 
China imekua reference san kwa viongoz wetu ni jambo zuri sana, lakn kwann hawataki kufuata reference za China ku apply sheria kali dhidi ya wabadhirifu na mafisad kama uchina?
Hapo hakuna kiongozi atakayekubali kumfanyia kazi hiko kipengele
 
China imekua reference san kwa viongoz wetu ni jambo zuri sana, lakn kwann hawataki kufuata reference za China ku apply sheria kali dhidi ya wabadhirifu na mafisad kama uchina?
Tena michina ni mijizi kwelikweli, lakini wakiwa huko kwao hawathubutu kuiba wakijua watakipata cha moto.

Hapa kwetu ni rahisi sana kuvidhiti hivi vijizi vyetu uchwara tukipata viongozi wasiovumilia upumbavu huu unaozidi kuimarika sasa hivi.
Kwa bahati mbaya kabisa, Samia ni kama ndiye mlezi mkuu wa hivi vijambazi vyetu hapa!
 
Mchina mtu wa kazi yule, hana longolongo ya kusema bandari imenishinda kuendesha.........maana kusema tu hivyo tayari upo juu ya kitanzi.
 
Upo sahihi ingawa zigo hili la ufisadi tusimtwishe Samia cz ni mfumo uliooza wa kifisadi tang miaka ming san. Solution ya kweli ni revolution ya katiba!!
 
Sisi tatizo letu ni viongozi majizi tulio nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…