Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Je Timu ya Uengereza yaweza Kucheza Fainali ya UCL?

  • Ndiyo

  • Hapana


Results are only viewable after voting.
UEFA champions league mmechukua lini kwa Mara ya mwisho?


Kwani Msimu Huu Tayari imeshachukuliwa??
Mimi naongea this season Kuwa EPL na timu zake hazishikiki...
Wewe Kama unaongelea Miaka ya 1965s basi Mimi hainuhusu..
 
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi,it's always quality > quantity. Nakuomba urudi tukifika kweye finals, utatafuta jinsi ya kumeza kauli zako mwenyewe.The league of superstars will always maintain it's top level.

Bingwa Wa UCL Msimu huu Lazima Atatoka EPL trust me... Hao Laliga Wenu Yeyote Atakaekutana na Timu Ya EPL basi Ndiyo Mwisho Wa Safari Yake...
 
Kwahiyo Ubora Wa Ligi Ni Kutolewa Kwenye Makundi Ukasukumizwa Kule Kwenye Mechi Za Ijumaa za Europa Kama Alivyofanywa Atletico Madrid ama?
Hivi bigwa wa FUTUHI ni nani kwa sasa? Sio Manure kweli? maana naona unaponda Uropa League wakati kuna mijitu imewatoa hadi leo mnajitamba hapo.

Ukitaka burudani ya mpira angalia LA LIGA ukitaka kuangalia mboyoyo na kelele nyiiiingi nenda EPL
 
Kila kitu na wakati wake, unapoambiwa la liga ni ligi bora ina maana ndani ya misimu hii ya karibuni timu zake zimekuwa zikifanya vizuri zaidi kwenye uefa zaidi ya ligi nyingine
Uingereza wamekuwa hoi kwa kipindi kirefu, labda wafanikiwe msimu huu, ambapo naona kuna dalili nzuri basi nayo itapewa hadhi hiyo..

Lakini ni mapema sana kusema hayo, huwez kuilinganisha la liga na epl kisa tu timu 5 zimepenya ukiulizwa miaka mi5 epl katka uefa na ueropa wamefanya kipi cha ajabu kumfikia la liga hakuna super cup kibao wamecheza wahispania wenyewe ndani ya miaka mi5

Kikubwa sasa timu za epl zifanye kweli, sio tuisifie ligi tu kisa kuna machama tunashbikia.
 
Many U, Spurs, Man City, Liverpool, Chelsea na Arsenan V/S Real na Barcelona

Kuna Watu Vichaa Kweli... Hivi Ligi Yenye Timu Sita za Ushindani Unaifananisha Na Ligi Yenye Timu Mbili za Ushindani??? Ridiculous...

Wacheni Kuifananisha EPL na Mambo ya Kipumbavu!
 
Hivi bigwa wa FUTUHI ni nani kwa sasa? Sio Manure kweli? maana naona unaponda Uropa League wakati kuna mijitu imewatoa hadi leo mnajitamba hapo.

Ukitaka burudani ya mpira angalia LA LIGA ukitaka kuangalia mboyoyo na kelele nyiiiingi nenda EPL

Burudani gani iliyopo Laliga?
Kukaa Kwenye TV kabla Mpira Haujaanza ukawa unauhakika Barcelona anashinda Ndiyo Burudani au?

Ligi isiyo na Ushindani
ya Timu Mbili Real na Barcelona Haiwezi kuitwa Ligi Bora...
Bali Kuna Mechi Bora tu ya El Clasico...
 
Arsenal kutoshiriki UCL kumeinufaisha EPL ndio maana now wanatamba UEFA

Arsenal alikuwa uchochoro kwa Wahispaniola na Wajerumani
Naombea Arsenal hata Europa asichukue maana akija UCL hana faida !!!
 
Kitendo cha kushangilia team za EPL kuingia last 16 kinaonyesha jinsi gani mlivyo na hali mbaya wazee wa EPL.

Hizo zinaitwa rekodi uchwara!

Sisi huku LA liga tunaongelea records kama kushinda UEFA back to back.

Unaongelea kuongoza kundi?

Unajua ni mara ngapi Barca ameongoza kundi kwenye UEFA mfululizo?

Hebu tulieni kwanza wana EPL, angalao mkijitahidi kufika nusu fainali tutaongea.

Maana katika team zote za EPL ni Tottenham pekee ndo amekutana na misukosuko.

Hebu mkifika nusu fainali utukumbushe mkuu!
 
Kila kitu na wakati wake, unapoambiwa la liga ni ligi bora ina maana ndani ya misimu hii ya karibuni timu zake zimekuwa zikifanya vizuri zaidi kwenye uefa zaidi ya ligi nyingine
Uingereza wamekuwa hoi kwa kipindi kirefu, labda wafanikiwe msimu huu, ambapo naona kuna dalili nzuri basi nayo itapewa hadhi hiyo..

Lakini ni mapema sana kusema hayo, huwez kuilinganisha la liga na epl kisa tu timu 5 zimepenya ukiulizwa miaka mi5 epl katka uefa na ueropa wamefanya kipi cha ajabu kumfikia la liga hakuna super cup kibao wamecheza wahispania wenyewe ndani ya miaka mi5

Kikubwa sasa timu za epl zifanye kweli, sio tuisifie ligi tu kisa kuna machama tunashbikia.
Real msimu huu yupo hoi timu haiekeweki keshachapwa na Spurs na La Liga yupo # 4 ......UCL msimu huu hakuna muujiza atajaoufanya hata apabgwe v Liverpool hapiti !!

Barca ? Msimu huu japo anaongoza La Liga lakini kuondoka kwa Neymar kumewaporomosha pia timu yao ipo ipo tu.....Hawa size yao Spurs tu na msimu uliopita alichofanyiwa na PSG ile mbovu kinajulikana

Sevilla ? Huyu nae tia maji tia maji

Atletico ? huyu kajichokea kabisa bora ajapambabe na Arsenal Europa
Huyu alipigwa na Chelsea kulekule Spain

Huko Bundesliga kabaki Bayern pekee ambaye nae kiwango chake nsimu huu hakieleweki
Dirtmund alipigwa kata funua na Spurs nje ndani

Timu pekee ya kuwatishia Waingereza ni PSG tu

Acheni kukariri
 
Kitendo cha kushangilia team za EPL kuingia last 16 kinaonyesha jinsi gani mlivyo na hali mbaya wazee wa EPL.

Hizo zinaitwa rekodi uchwara!

Sisi huku LA liga tunaongelea records kama kushinda UEFA back to back.

Unaongelea kuongoza kundi?

Unajua ni mara ngapi Barca ameongoza kundi kwenye UEFA mfululizo?

Hebu tulieni kwanza wana EPL, angalao mkijitahidi kufika nusu fainali tutaongea.

Maana katika team zote za EPL ni Tottenham pekee ndo amekutana na misukosuko.

Hebu mkifika nusu fainali utukumbushe mkuu!
Kinachoongelewa ni mwenendo wa timu zote 5 kuingia 16 bora tena 4 zikiongoza makundi huoni ni jambo kubwa ?

Umezoea kukariri tena msimu huu Arsenal hayupo hivyo usitegemee timu ya EPL kunyanyaswa na Bayern wala Barca
 
aiseee ila tukumbuke kutomtusi mamba kabla hatujavuka mto.....
juventus alipgwa 3 kimatani matani na real akabeba mara ya 2
 
Arsenal kutoshiriki UCL kumeinufaisha EPL ndio maana now wanatamba UEFA

Arsenal alikuwa uchochoro kwa Wahispaniola na Wajerumani
Naombea Arsenal hata Europa asichukue maana akija UCL hana faida !!!
hahahaahahah
 
Kitendo cha kushangilia team za EPL kuingia last 16 kinaonyesha jinsi gani mlivyo na hali mbaya wazee wa EPL.

Hizo zinaitwa rekodi uchwara!

Sisi huku LA liga tunaongelea records kama kushinda UEFA back to back.

Unaongelea kuongoza kundi?

Unajua ni mara ngapi Barca ameongoza kundi kwenye UEFA mfululizo?

Hebu tulieni kwanza wana EPL, angalao mkijitahidi kufika nusu fainali tutaongea.

Maana katika team zote za EPL ni Tottenham pekee ndo amekutana na misukosuko.

Hebu mkifika nusu fainali utukumbushe mkuu!

Back-to-Back??
Ukiongelea back to back Hata Uengereza Ni Timu Mbili Zimeshawahi Kuchukua CL back to back rudia Historia uone.. Lakini Hapa Mimi sipo kihistoria Bali Naongelea Wakati Uliopo na Kinachoendelea...

Kwa Wakati Huu Chukua Timu 6 za juu za Laliga na Timu 6 za Juu za EPL halafu zichezeshe Uone Ukitoa Barcelona Kama Yupo Mwengine Atakayeweza Kushinda Hata Mechi Moja...

Achana na Historia Kubali Ukweli Kuwa EPL Kwa sasa ipo Juu tu...

Germany:
Timu ya Ushindani Ni Moja Beryan Pekee...

France:
Timu Ya Ushindani Ni Moja PSG Pekee...

Italy:
Timu ya Ushindani Ni moja Juventus Pekee....

Spain:
Timu za Ushindani Ni Mbili Real na Barcelona Pekee....

England:
Timu za Ushindani Ni 6:
1) Liverpool

2) Man United

3) Chelsea

4) Man City

5) Spurs

6) Arsenal

Halafu hapo still mtu anapinga ubora Wa EPL!! Jamani Hizi Akili za WaTZ zipo kichwani Kweli????
 
Nyinyi Endeleeni Kukariri Historia (Real vs Atletico)..... Wakati sisi tunaendana na Wakati uliopo....
Mapenzi na unazi uwa ni tatizo siku zote... una mkataza mwenzio kukalili historia na kudai upo una simama ktk wakati uliopo... yeye kwa hoja yako ameenda mbali zaidi na kusema kuwa hatoshangaa kwa wakt ujao kuwa kombe likaenda laliga...

Punguza unazi na Uliver... ukijua kwanini na vigezo vya kuwa ligi bora utaelewa... na ukielewa vigezo vya ligi yenye ushindani utaelewa zaidi...

Historia haiepukiki katk dunia ya sasa hata itakayo kuja kama itakuwepo... historiaa ni sehemu ya maisha na ndio maana tuna bible, misahafu, na tuna soma kwa kufanya reference ya vilivyo tokea ili kuweza kuona kama kuna uitaji wa sasa na baadae na nini kifanyike kupitia hizo historia....
 
Back-to-Back??
Ukiongelea back to back Hata Uengereza Ni Timu Mbili Zimeshawahi Kuchukua CL back to back rudia Historia uone.. Lakini Hapa Mimi sipo kihistoria Bali Naongelea Wakati Uliopo na Kinachoendelea...

Kwa Wakati Huu Chukua Timu 6 za juu za Laliga na Timu 6 za Juu za EPL halafu zichezeshe Uone Ukitoa Barcelona Kama Yupo Mwengine Atakayeweza Kushinda Hata Mechi Moja...

Achana na Historia Kubali Ukweli Kuwa EPL Kwa sasa ipo Juu tu...

Germany:
Timu ya Ushindani Ni Moja Beryan Pekee...

France:
Timu Ya Ushindani Ni Moja PSG Pekee...

Italy:
Timu ya Ushindani Ni moja Juventus Pekee....

Spain:
Timu za Ushindani Ni Mbili Real na Barcelona Pekee....

England:
Timu za Ushindani Ni 6:
1) Liverpool

2) Man United

3) Chelsea

4) Man City

5) Spurs

6) Arsenal

Halafu hapo still mtu anapinga ubora Wa EPL!! Jamani Hizi Akili za WaTZ zipo kichwani Kweli????
ushindani upi hapo unao uzungumzia mkuu... kama ni kuchukua kombe basi EPL watoe Spurs, arsenal, liverpool, na ikiwezekana Man utd... kwa kuwa wamebaki ni historia na hakuna walicho beba kwa siku za karibuni

na kama ni wapinzani wanatoa matokeo chanya basi na ktk lig zingine wapo wengi na ndio maana hakuna timu ktk hizo ligi zilizo baki iliyo wahi kushinda mechi zote ktk lingi... kama zipo zitaje... na kamaa hamna ndio ushindani ulipo...
 
Back
Top Bottom