Na hata ukitaka kujua ligi bora ni ipi kwa sasa utaambiwa tu ni la liga..utabishia kwa vigezo gani mfano ?Mimi nadhani tusipime league bora na kuchukua ubingwa wa CL. League bora yenye wapenzi wengi duniani na kwa hili naamini wote tunajuwa ni league gani. Leo PSG akichukuwa ubingwa tutasema league ya France ni bora? Porto alivyochukuwa ubingwa league ya Ureno ilikuwa bora? Mimi nadhani ni vitu viwili tofauti, Real, Barca, Munich, PSG na Juve zote team kubwa na nzuri sio kazima league za bora. EPL inaangaliwa na watu wengi na value yake ni kubwa sana na kitu kizuri kina thamani.
Sasa wewe weka vigezo, maana PSG atachukuwa ubingwa na uwezo wanao na legue 1 itakuwa bora. Ligi bora ni ile yenye kupendwa nà yenye thamani kubwa sasa EPL thamani yake ni mara 3 ya La liga. Haiwezekani kitu bora ununue cheap.Na hata ukitaka kujua ligi bora ni ipi kwa sasa utaambiwa tu ni la liga..utabishia kwa vigezo gani mfano ?
Kwa Mara Ya Kwanza Yaandikwa Rekodi Kwa Nchi Moja Kuingiza Timu 5 hatua Ya 16 bora Katika UEFA Champion League...
Ligi Kuu Ya EPL nchini Uengereza imefanikiwa Kuingiza Timu 5 kati ya 16 zilizofuzu Katika Hatua ya Last 16 jambo ambalo halijawahi Kufanya na Nchi Yoyote hile Katika Sayari Hii...
Na Nafasi Hizi Tano za Kushiriki Champion League Waingereza Hawakupewa Kwa Upendeleo, Bali Wamezitafuta Kwa Jasho lao.
1) Spurs (Kaongoza Kundi)
2) Man United (Kaongoza Kundi)
3) Man City (Kaongoza Kundi)
4) Liverpool (Kaongoza Kundi)
5) Chelsea (Nafasi Ya Pili)
Na ikumbukwe Kuwa Bingwa Wa Laliga (Real) Katika Kundi Lake Kagalagazwa Na (Spurs) Timu inayoshika Nafasi ya 6 kwenye EPL....
Ni WanaLaliga 2 (Real na Sevilla) Walikutana na WanaEPL 2 (Spurs na Liverpool) respectively Katika Makundi Yao Lakini Hawakuweza Kufurukuta na Wakaishia Nafasi za Pili kila Mmoja.
Halafu Leo Wanatokea Misukule from Nowhere wanakwambia "LALIGA NI LIGI BORA UKILINGANISHA NA EPL"!!! Yaani Nashindwa Kujenga Picha sijui Ni Majani ya Wapi Wanayovuta hawa Jamaa... 😀😀😀
Hiko kigezo hakipo... na Lig 1 au ligi yoyote ile kwa sasa haina uwezo wa kuipiku laliga labda kwa miaka mitatu ijayo... kama utapitia vigezo walivyo weka UEFA... kwanza kwa timu zao kufanya vizuri ktk ligi za uefa na uropa ndipo point wanapo vuna laliga... kwa kuingiza timu nyingi na kuchukua makombe hayo na pamoja na kufunga magoli mengi na kupelekea wafungaji bora kutoka huko... katika UEFA na Uropa...Sasa wewe weka vigezo, maana PSG atachukuwa ubingwa na uwezo wanao na legue 1 itakuwa bora. Ligi bora ni ile yenye kupendwa nà yenye thamani kubwa sasa EPL thamani yake ni mara 3 ya La liga. Haiwezekani kitu bora ununue cheap.
Many U, Spurs, Man City, Liverpool, Chelsea na Arsenan V/S Real na Barcelona
Kuna Watu Vichaa Kweli... Hivi Ligi Yenye Timu Sita za Ushindani Unaifananisha Na Ligi Yenye Timu Mbili za Ushindani??? Ridiculous...
Wacheni Kuifananisha EPL na Mambo ya Kipumbavu!
Real msimu huu yupo hoi timu haiekeweki keshachapwa na Spurs na La Liga yupo # 4 ......UCL msimu huu hakuna muujiza atajaoufanya hata apabgwe v Liverpool hapiti !!
Barca ? Msimu huu japo anaongoza La Liga lakini kuondoka kwa Neymar kumewaporomosha pia timu yao ipo ipo tu.....Hawa size yao Spurs tu na msimu uliopita alichofanyiwa na PSG ile mbovu kinajulikana
Sevilla ? Huyu nae tia maji tia maji
Atletico ? huyu kajichokea kabisa bora ajapambabe na Arsenal Europa
Huyu alipigwa na Chelsea kulekule Spain
Huko Bundesliga kabaki Bayern pekee ambaye nae kiwango chake nsimu huu hakieleweki
Dirtmund alipigwa kata funua na Spurs nje ndani
Timu pekee ya kuwatishia Waingereza ni PSG tu
Acheni kukariri
Swala la kuangaliwa na watu wengi sio haja kwan hiyo inatokana na investment kwenye advertisement, ila kwa sasa laliga nao wamefunguka so watu wengi wanaanza kuijua na kuifurahiaMimi nadhani tusipime league bora na kuchukua ubingwa wa CL. League bora yenye wapenzi wengi duniani na kwa hili naamini wote tunajuwa ni league gani. Leo PSG akichukuwa ubingwa tutasema league ya France ni bora? Porto alivyochukuwa ubingwa league ya Ureno ilikuwa bora? Mimi nadhani ni vitu viwili tofauti, Real, Barca, Munich, PSG na Juve zote team kubwa na nzuri sio kazima league za bora. EPL inaangaliwa na watu wengi na value yake ni kubwa sana na kitu kizuri kina thamani.
Safi watu wa epl pitia hiki kitu muache kukalili, Angalia laliga the best league
King Ngwaba KAMA UEFA NDIYO KIPIMO CHA LEAGUE BORA BASI [HASHTAG]#LALIGA[/HASHTAG] SANTANDER NI BORA KWA KUWA WAMECHUKUA VIKOMBE VYA UEFA CHAMPIONS LEAGUE MARA NYING KULIKO LEAGUE YOYOTE ILE ULAYA.
Nani aliyebeba Uefa Mara tano mfululizo zaidi ya La liga????? La liga is the best league bhana mnajitoa fahamueeeee!!!!????
Swala la kuangaliwa na watu wengi sio haja kwan hiyo inatokana na investment kwenye advertisement, ila kwa sasa laliga nao wamefunguka so watu wengi wanaanza kuijua na kuifurahia