Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Je Timu ya Uengereza yaweza Kucheza Fainali ya UCL?

  • Ndiyo

  • Hapana


Results are only viewable after voting.
Mimi nadhani tusipime league bora na kuchukua ubingwa wa CL. League bora yenye wapenzi wengi duniani na kwa hili naamini wote tunajuwa ni league gani. Leo PSG akichukuwa ubingwa tutasema league ya France ni bora? Porto alivyochukuwa ubingwa league ya Ureno ilikuwa bora? Mimi nadhani ni vitu viwili tofauti, Real, Barca, Munich, PSG na Juve zote team kubwa na nzuri sio kazima league za bora. EPL inaangaliwa na watu wengi na value yake ni kubwa sana na kitu kizuri kina thamani.
Na hata ukitaka kujua ligi bora ni ipi kwa sasa utaambiwa tu ni la liga..utabishia kwa vigezo gani mfano ?
 
Na hata ukitaka kujua ligi bora ni ipi kwa sasa utaambiwa tu ni la liga..utabishia kwa vigezo gani mfano ?
Sasa wewe weka vigezo, maana PSG atachukuwa ubingwa na uwezo wanao na legue 1 itakuwa bora. Ligi bora ni ile yenye kupendwa nà yenye thamani kubwa sasa EPL thamani yake ni mara 3 ya La liga. Haiwezekani kitu bora ununue cheap.
 
EPL.JPG


EPL.JPG
Laliga.JPG

Seria A.JPG

bundes.JPG

Lig1.JPG
 
Kwa Mara Ya Kwanza Yaandikwa Rekodi Kwa Nchi Moja Kuingiza Timu 5 hatua Ya 16 bora Katika UEFA Champion League...

Ligi Kuu Ya EPL nchini Uengereza imefanikiwa Kuingiza Timu 5 kati ya 16 zilizofuzu Katika Hatua ya Last 16 jambo ambalo halijawahi Kufanya na Nchi Yoyote hile Katika Sayari Hii...
Na Nafasi Hizi Tano za Kushiriki Champion League Waingereza Hawakupewa Kwa Upendeleo, Bali Wamezitafuta Kwa Jasho lao.

1) Spurs (Kaongoza Kundi)

2) Man United (Kaongoza Kundi)

3) Man City (Kaongoza Kundi)

4) Liverpool (Kaongoza Kundi)

5) Chelsea (Nafasi Ya Pili)

Na ikumbukwe Kuwa Bingwa Wa Laliga (Real) Katika Kundi Lake Kagalagazwa Na (Spurs) Timu inayoshika Nafasi ya 6 kwenye EPL....

Ni WanaLaliga 2 (Real na Sevilla) Walikutana na WanaEPL 2 (Spurs na Liverpool) respectively Katika Makundi Yao Lakini Hawakuweza Kufurukuta na Wakaishia Nafasi za Pili kila Mmoja.

Halafu Leo Wanatokea Misukule from Nowhere wanakwambia "LALIGA NI LIGI BORA UKILINGANISHA NA EPL"!!! Yaani Nashindwa Kujenga Picha sijui Ni Majani ya Wapi Wanayovuta hawa Jamaa... 😀😀😀

Mkuu mbona mapema sana...ungesubiri michuano iishe ndipo uanzishe thread yako.

Alafu unasema "Halafu Leo Wanatokea Misukule from Nowhere wanakwambia "LALIGA NI LIGI BORA UKILINGANISHA NA EPL= ubora wao uko vipi? Miaka yoote ligi yao mbovu na hukusema kitu 😀😀 only one season ndio wamekuaminisha kuwa wao ni bora!! ...so last year's mbona hukuja na thread yako hapa, au wale walikuwa sio epl team's?? 😀😀 hiyo ni nguvu ya soda kamanda...labda CITY ndio atajitahidi lakini sio hao wengine.
 
Sasa wewe weka vigezo, maana PSG atachukuwa ubingwa na uwezo wanao na legue 1 itakuwa bora. Ligi bora ni ile yenye kupendwa nà yenye thamani kubwa sasa EPL thamani yake ni mara 3 ya La liga. Haiwezekani kitu bora ununue cheap.
Hiko kigezo hakipo... na Lig 1 au ligi yoyote ile kwa sasa haina uwezo wa kuipiku laliga labda kwa miaka mitatu ijayo... kama utapitia vigezo walivyo weka UEFA... kwanza kwa timu zao kufanya vizuri ktk ligi za uefa na uropa ndipo point wanapo vuna laliga... kwa kuingiza timu nyingi na kuchukua makombe hayo na pamoja na kufunga magoli mengi na kupelekea wafungaji bora kutoka huko... katika UEFA na Uropa...

kitu kama hiki hakiwezi kufikiwa kwa kiwango cha msimu mmoja na kwa timu moja zina itajika timu nyingi zivune point kwa kasi... na sio timu moja na sio kwa kombe moja tu la uefa chapms kwa kuwa wana jumuisha na uropa ligi...

NB:
Everton ana onesha maajabu huko ya EPL na kuyapeleka Uropa Hahahahahahahahahahah.... Ukitaka kujua maajabu gani fatilia...
 
Many U, Spurs, Man City, Liverpool, Chelsea na Arsenan V/S Real na Barcelona

Kuna Watu Vichaa Kweli... Hivi Ligi Yenye Timu Sita za Ushindani Unaifananisha Na Ligi Yenye Timu Mbili za Ushindani??? Ridiculous...

Wacheni Kuifananisha EPL na Mambo ya Kipumbavu!


 
Real msimu huu yupo hoi timu haiekeweki keshachapwa na Spurs na La Liga yupo # 4 ......UCL msimu huu hakuna muujiza atajaoufanya hata apabgwe v Liverpool hapiti !!

Barca ? Msimu huu japo anaongoza La Liga lakini kuondoka kwa Neymar kumewaporomosha pia timu yao ipo ipo tu.....Hawa size yao Spurs tu na msimu uliopita alichofanyiwa na PSG ile mbovu kinajulikana

Sevilla ? Huyu nae tia maji tia maji

Atletico ? huyu kajichokea kabisa bora ajapambabe na Arsenal Europa
Huyu alipigwa na Chelsea kulekule Spain

Huko Bundesliga kabaki Bayern pekee ambaye nae kiwango chake nsimu huu hakieleweki
Dirtmund alipigwa kata funua na Spurs nje ndani

Timu pekee ya kuwatishia Waingereza ni PSG tu

Acheni kukariri

Yani unaongea utafikiri mchambuzi wa soka aliebobea dah 😀😀

Yani kuondoka kwa NEIMAR ndio timu ya Barca imeporomoka!!! Kweli!!! Hahaa Unatazama mpira au unasikilizia redioni mkuu?? Neimar kaondoka Barca ndio inazidi kuwa tamu zaidi na inarudi ile ile ya 2008,2012 na 2015 ikiongozwa na bingwa wa tick-tak LEO10 asiekuwa na mpizani.


Kuondoka kwa Messi BARCA itaathirika vibaya mno mno mno...lakini sio yule mtoto mwenye gundu/anaeuza sura
 
Mimi nadhani tusipime league bora na kuchukua ubingwa wa CL. League bora yenye wapenzi wengi duniani na kwa hili naamini wote tunajuwa ni league gani. Leo PSG akichukuwa ubingwa tutasema league ya France ni bora? Porto alivyochukuwa ubingwa league ya Ureno ilikuwa bora? Mimi nadhani ni vitu viwili tofauti, Real, Barca, Munich, PSG na Juve zote team kubwa na nzuri sio kazima league za bora. EPL inaangaliwa na watu wengi na value yake ni kubwa sana na kitu kizuri kina thamani.
Swala la kuangaliwa na watu wengi sio haja kwan hiyo inatokana na investment kwenye advertisement, ila kwa sasa laliga nao wamefunguka so watu wengi wanaanza kuijua na kuifurahia
 
King Ngwaba KAMA UEFA NDIYO KIPIMO CHA LEAGUE BORA BASI [HASHTAG]#LALIGA[/HASHTAG] SANTANDER NI BORA KWA KUWA WAMECHUKUA VIKOMBE VYA UEFA CHAMPIONS LEAGUE MARA NYING KULIKO LEAGUE YOYOTE ILE ULAYA.
 
King Ngwaba KAMA UEFA NDIYO KIPIMO CHA LEAGUE BORA BASI [HASHTAG]#LALIGA[/HASHTAG] SANTANDER NI BORA KWA KUWA WAMECHUKUA VIKOMBE VYA UEFA CHAMPIONS LEAGUE MARA NYING KULIKO LEAGUE YOYOTE ILE ULAYA.

Hapa Hatupo Kihistoria Bali Tupo Kwa Kile Kinachoendelea Sasahivi...

Huwezi Uchukua Ubora Wa Mababu Zetu Ukaufanya Ndiyo Wetu sisi...

Leta Facts za sasa zinazoonekana Sio zilizoandikwa Magazetini.
 
Nani aliyebeba Uefa Mara tano mfululizo zaidi ya La liga????? La liga is the best league bhana mnajitoa fahamueeeee!!!!????

Sisi Tupo December 7, 2017 wewe ndiyo Kwanza Unazungumzia 1965??

Sisi Tunazungumzia Real Ya Ronaldo Gay na sio ya De Stefano...

Na Bahati Mbaya Mimi Nilisoma PCB sikusoma HKL kama nitakuwa Mwalimu Mzuri Wa Historia.
 
Swala la kuangaliwa na watu wengi sio haja kwan hiyo inatokana na investment kwenye advertisement, ila kwa sasa laliga nao wamefunguka so watu wengi wanaanza kuijua na kuifurahia

Hivi Ukiitoa El Clasico Ni Mechi Gani Watu Wanayoifatilia?

Huko Kujuolikana Hicho Kijiligi Chenyewe Ni Kwa Hisani Ya Azam TV kuwaletea Huduma Karibu... Venginevyo Mungeendelea Kuifatilia EPL Dstv....

Na Wapenzi Wa Laliga Kwa Asilimia 98% Ni wale Walioanza Kupenda Mpira Kuanzia 2009 kwa Kumjua Messi.
 
Back
Top Bottom