Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Awamu ya Tano ingetuharibia sana Elimu yetu. Kwakweli tulikuwa tunaenda kufanya nchi ya Wagagagigikoko
 
Magufuli alikuwa ni kichaa alyepewa rungu. Hii inaonyesha kuwa katika watu million 60, yeye tu ndiye alikuwa tofauti. Mtu mmoja tu alikuwa anatuendesha watu mil 60 kwa mawazo yake ya kijinga.
 
Hakuna aliyekataa historia, wengi tulipinga kile kilichoitwa watoto kufundishwa somo la historia ya Tanzania kuanzia shule msingi na iwe compulsory, historia siyo lazima MTU akae darasani wewe andika vitabu vya historia watu watakaohitaji watasoma Tu, ni mambo mangapi umeyasoma ambayo haukuwahi kufundishwa darasani? Historia ya Tanzania itamsaidia nini MTU Katika Maisha ya kila siku.
Wale wanaojiita wazalendo ndo mafisadi wakubwa WA nchi hii. Wanafundisha maji huku wao wanakunywa mvinyo. Mfano ni akina Sabaya, kila siku walihubiri uzalendo huku wakihujumu huo uzalendo wenyewe
 
Katika masuala niliyomuunga mkono Magufuli na hili la ulazima wa somo la Historia kwa ngazi zote Tena kwa Kiswahili!!hapa nilimfananisha na Osagiefo kwame nkrumah kabisaπŸ€”

Kama hujui ulikotoka, utajuaje unakokwenda?!!
Wasomi uchwara tu ndiyo hawawezi kufahamu umuhimu wa HISTORIA
Utumwa hautatuacha kwa kuwa tunadharau historia yetu.
 
Mw
Mwanafunzi hatoweza kujua kukabiliana na mazingira ya Sasa kabla hajajua watangulizi wake waliwezaje kukabiliana na mazingira kipindi hicho?!!-huu ndo msaada wa historia kwenye maisha yetu!
Chief mkwawa alipigana kufa na kupona na Wajerumani ili alinde historia na tamaduni za wahehe,raisi Samia asipoifahamu Historia nakuapia atauza nchi kwa Wachina
 
Mkuu unatumia historia bila wewe mwenyewe kufahamu?!!unajua ni kwann huwezi kumuoa Dada yako wa damu?!!
 
Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚legacy chali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Apambane tu na JEHANAMU yake ,
Ya Tanzania hayamuhusu katu, mrundi yule.
 
Mkuu unatumia historia bila wewe mwenyewe kufahamu?!!unajua ni kwann huwezi kumuoa Dada yako wa damu?!!
Uwezo wako umefikia hapo, dadangu hawezi kuwa historia kwangu Leo hii, na sihitaji kwenda darasani ili kutambua huyu ni dadangu.
Bado nasimama pale pale, wewe umeisoma historia ya Mkwawa nambie imekusaidia nini ktk Maisha ya kila siku? Siamini Katika kusoma historia Kwa lazima, iachwe atakayehitaji akasome mwenyewe, siyo watu wote tukawe ma-histori teller
 
Ukisoma ukaelewa anamaanisha nini kichwa ulichoandika ni potofu...waziri anamaanisha mchakato ukamilike kwanza kwa kushirikisha wadau
 
''Mheshiwa raisi SSH tunakusihi sana sana UJENGE TAASISI IMARA ya uraisi, hatutegemei katka karne hii ya 21 tuwe na mtawala anaetumia nguvu nyingi kama zile za Shakha Zulu''πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Bwana yule hata wakatoliki wenzie walisha mchoka.
 
Kiranja wa malaika anapigwa kwelikweli,
 
Wizara ya Elimu inahitaji viongozi makini na wabunifu na si wa ndio Mzee.
 
Noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…