Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Hayati Magufuli naona kaangukia pua tena

Somo la historia ya Tanzania lasitishwa

Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote.

Source ITV news

==============

Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.

Source: ITV

Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
Alikuwa mwehu yule, bila kujadiliana na wataalamu na wadau akiamka kitandani ni matamko yasiyo na mashiko kila kukicha, nchi haiendeshwi hivyo!
 
Wamekatazwa / tumekatazwa ?

Hata wewe hapo leo unaweza ukaamua ku-dedicate muda wako na maisha yako kuchimba / kufuatilia na kuandika na kuweka records..., Kama purpose ya maisha ya wengi ni kutafuta pesa tu na kuangalia ni vipi watajaza matumbo yao unadhani vitu kama hivyo atavifanya nani ?

Andika wewe kama kinafaa na kikiwa authenticated na balanced hata mashuleni watakitumia kama reference
shukrani nitafanyia kazi wazo lako
 
Prof Assad alikuwa sahihi aloposema, tujenge taasisi imara na sio watu imara sababu watu wanakufa na mawazo yao lkn taasisi zinaendelea.
Assad ali-copy toka kwa President Obama
 
Hayati Magufuli naona kaangukia pua tena

Somo la historia ya Tanzania lasitishwa

Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote.

Source ITV news

==============

Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.

Source: ITV

Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
Hilo jitu lilikuwa la hivyo kabisa. Why special attention to historia pumbavu kabisa
 
Sio kweli lakini Hayati alisisitiza Historia ya kweli ya Taifa letu sio kwa bahati mbaya cos kuna mambo mengi yanamkanganyiko mpaka leo moja wapo kifo cha Mkwawa na pia Mapinduzi ya Zanzibar
Magu alitaka atengeneze Somo la historia yake, hakuwa na lolote kama walitaka historia ya kweli mbona historia kumuhusu sokoine inafichwafichwa waimwage hadharani tuisome, kwa nn hawaiweki wazi?

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Somo mujarabu. Tunzo za BET na Chibu ndo ingekuea Topic 1
 
Ningeshangaa sana kama huo utopolo ungepita,binafsi hata historia hii wanayofunsishwa wanafunzi mashuleni inachukua muda mwingi kufundishwa tena kwa kurudiwa rudiwa,mfano historia ya o_level na advance utofauti ni mdogo sana,somo hili lingewekewa ukomo wa level,mathalani form four inakua mwisho wa kusoma historia vinginevyo mhusika aamue kujiendeleza kwenye fani itakayohusika na somo la historia.
Tunawapotezea muda watoto kwa masomo mzigo ambayo kwa dunia ya sasa akiwa mtaani hayamsaidii kupambana na changamoto za maisha baada ya shule kuisha,habari za mjerumani na mwarabu kutesa babu zetu hazina impact mtaani,ni heri masomo kama kilimo,ufundi na sanaa yakatiliwa mkazo kuanzia level za chini kabisa kwani yanamwandaa mhitimu kujiajiri baada ya maisha ya shule,inashangaza kuona vijijini ambako kilimo ndio kila kitu,99% ya wakazi ni wakulima ila wanafunzi hawasomi juu ya kilimo,tungefundisha kilimo kwenye shule zetu za kata hata wazee wangeipata elimu hiyo kupitia kwa watoto wao kwani ni ukweli usiopingika watoto hawa huambatana na wazazi inapofika miezi ya kilimo( kabla ya masika na baada ya masika),tumekifanya kilimo kisomwe kuanzia level ya chuo tu[emoji24]
Elimu yetu inahitaji reform,curriculum developers na wadau wanapaswa kuketi na kuja na mtaala utakaokua suluhu kulingana na dunia tuliyopo,elimu ilenge kumpa mhitimu maarifa ya kujiajiri/kujitegemea,kuwa mvumbuzi na kutatua changamoto mbalimbali za jamii yake...
 
Mwendazake alikua na phd ya maganda ya korosho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
NIMEAMINI WAFUASI WA JF ni mambumbumbu, nilujuaga humu wengi ni watu wanaojitambua ama watu wanaojielewa ma great thinkers, kumbe maboya na mapumbv, yaan ktk koment karbia 200 hakuna mtu hata mmoja aliejarbu kuonesha umuhim wa somo la history, hiv humu kuna wasomi kwel??? ama nyote ni wale lasaba failure ambao bado hawajajua vzr umuhim wa elimy, ama ni chuki za kisiasa znawafanya muchukie kila jambo hata lililofanywa kwa faida za watoto zenu, mnaleta siasa, kwanzia leo sitowahi waita great thinkers kwenye hili jukwaa la siasa, maana wote mnaonesha udhaifu, na ndyo ninyi mnaopigia kelele katiba mpya na wakat hamtaki marekebisho ya somo la history, maana hii ya sasa ni uongo mwingi sana umejaa, hiyo katiba haina umuhimu, maana hata umuhimu wa historia yenu hamuitak, ...UPINZAN WA TZ NI OVYO KABISA, ..simply nitawapa short stories za mambo ambayo ni makubwa na hayajaandikwa ktk hivyo vitabu ama takataka mnazoita history iliyokamilika
,Hiv mnajua kuwa Tz kulkuwako na wanyama wakubw walioishi hapa hapa east afrika ama Tz? , hiv mnajuwa kuwa the origin black Israelites were living in Tz?, hiv mnajuwa kuwa mnara mrefu(pyramid) ilijengwa east afrika na wana dini wanaita mnara wa babeli, huu ulijengwa hapa hapa east afrika kwa malengo ya kufungua mlango wa kuingia ktk dimension nyingne ya maisha kwa lengo la kwenda kuonana na Nguvu ya asiri inayo control dunia nzima,,hiv mnajuwa kuwa uko iringa kuna mabaki ya waisrel weusi ambao walipamban vita na mkolon kutetea rasilimali zisipolwe? jiulize, wale mnaowabariki uko palestina ikawaje historia yao ionekane mapangoni hapa Tz tena iringa? japo vitabu vya dini vinaeleza tofaut? jibu unalipata simple tuu baada ya mzungu kuja afrika na kuitawala aliarbu kila kitu, kuanzia elimu yetu, na kuwaletea colonia education inayowataka kujaza takataka , kichwan zisizo na msingi,.swal lingine, je mnajuwa kuwa swahil language was the among of tje best language toka ktk ile lugha ya mtu wa mwanzo? i mean watu wakale kabla hata hizo takataka za kiarabu, kigiriki,kiebrania azijatokea?, mnajua kuwa elimu ya nyota, na ugunduz wa sayar zile9 ikiwepo na solar system zmevumbuliwa hapa hapa afrika?? lkn hamjifunz haya, bado nawauliza mnajuwa kuwa umeme umetumika zaman kabla hata mzungu hajajua kuvaa chupi?,
bado naendelea, mnajuwa kuwa ndege vyombo vya angan vimeshatumika sana afrika b.c ??, mnajuwa kuwa ktk historia ya afrika aliwai kuzaliwa jemedari mwenye uungu na alizaliwa bila baba, yaani alitoka ktk uzao wa mama tu, na huyu alifanya ukomboz kwa waafrika kipindi hiko, alikuwa na nguvu za miujiza, ikiwepo uponyaji na kipawa cha kufundisha, huyu aliuwawa na hao hao waliowaandikia vitabu vya kikolon, wakaiba historia yake na kutunga vitabu vya iman na kumuita yesu ktk biblia na ktk quran akaitwa issa bin marium,,
hiv mnajuwa kuwa ramani ya dunia nzima ipo hapa hapa afrika? na ilichorwa na muafrika kabla hata mzungu hajajua kuvaa chupi, jiulize ni technology gani ilitumika, pia kuna historia ya mabara kugawanyika, hii wanasayans wameeleza uongo mkubwa hawataj sabbu ni nini, na ilianzia wapi, hii sabbu ya mabara kugawanyika ilianzia hapa hapa east afrika, ama babiloni ya kale,..hiv mnajuwa kuwa kibantu ikiwepo kiswahili ndyo ilkuwa lugha ya mtu wa mwanzo kabisa?? yaan lugha kongwe kupita zote, ushahidi upo,
Hiv mnajuwa kuwa viongoz wa afrika ktk jamii, historia imepotosha vyeo vyao kwa kuwapa majina ya vyeo vya chini sana , mfano kumuita kiongoz wa kabila kubwa kwa kumuita chief ilo ni kosa kubwaa sana, kiongoz wa jamii yeyote ile alitakiwa kuitw King na si vinginevyo, haya yote , hamuyajui, alafu mmekazana kuleta siasa kwenye uhalisia, watanzia ukolon bado unawatafuna, yaan utumwa wa akili bado umewakamata mnashindwa kujitambua, jitu lnafikia hatua ya kusema eti historia inamsaidia nn mtu wa kawaida, hiv hii ni akili au upumbv??? watu kama hawa ndyo tuwape nchi watuongoze si watatuuza, mbwa hawa,, kuna meengi yakueleza, inshort kwa serkali hii HAKUNA MWENYE UCHUNGU NA MAISH YA MTANZANIA, WOTE NI WAUZA SURA NA WATETEA MATUMBO YAO,
FB_IMG_16249105410350704.jpg
 
Hayati Magufuli naona kaangukia pua tena

Somo la historia ya Tanzania lasitishwa

Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote.

Source ITV news

==============

Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.

Source: ITV

Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
Kuna muimbaji pambio mmoja humu JF 2020 February tulibishana hapa nikamwambia Hilo somo hata likifundishwa Leo siku JPM akiondoka madarakani litafutwa, alinitolea povu kama amekunywa sumu ya kuulia wadudu waaribifu WA pamba maarufu kama thiodan. Mara Paap JPM katwaliwa na somo limefutwa namtafuta nimkubushe bahati mbaya sikumbuki ID yake. Nilitamani kumwambia ajaribu kuangalia mambo Kwa jicho la tatu na si Kwa ushabiki Tu, dunia unaenda Kasi Sana, Leo Sabaya ananyea ndoo Mdude anakuwa millionaire ghafla.
Mataga endapo utapita hapa nakukumbusha usiwe chawa WA kila kitu
 
Back
Top Bottom