Somo la ki-islamu lazua sintofahamu, Je, Sabato, Katoliki na walokole Imani inafanana?

Somo la ki-islamu lazua sintofahamu, Je, Sabato, Katoliki na walokole Imani inafanana?

Nafkiri maana yao ni kwamba hao wa madhehebu wote wako chini ya Kristo (Ukristo) ndomana wamewarundika kwenye utambulisho mmoja tu wa ukristo.
 
Kuwa na somo la Islamic sio tatitizo

TATIZO NI KUIFANYA IKAWA KAMA PART YA COMBINATION

mbona divinity ni soma lakini ni extra tunaomba Islamic nayo iwe extra sio kweny combination la sivyo tunajenga Islamic state na ni mbaya hii
 
Ni mambo ya kipuuzi tupu kwa nchi kukosa muelekeo, masomo ya dini yalikuwepo na tulisoma kama masomo ya ziada tu..... taasusi ili nini?
 
Hao mambwa walioleta hii vurugu ni maiti kabisa, kipimo cha huyu mwanamke ni mambo kama haya ameweka akili matope kwenye wizara ya tamisemi, najiuliza hivi Mkenda amebariki utumbo huu au waislam wameuteka serikali yote?
Maswali yako magumu hayawezi kujibiwa sana sana anaweza tumwa mtu akasema "tulikuwa tunatania tu"
 
Kitendo cha serikali kuweka Somo la DIVINITY kwa wakristo wote ni kuwakosea wakristo,>imani zao ni tofauti sana, wapo wanao abudu sanamu, wapo wanao heshimu sanamu, wapo wakristo wnaopinga kuabudu na kuheshimu sanamu. Wapo wanao amini roho mtakatifu na wapo wanaokataa kabisa, wapo wanaosali jumamosi na wanaosali jumapili. Wapo wanao amni utakatifu duniani na wapo wanao amni utakatifu ni mpaka ufe, na uombewe ili uwe mtajkatifu.

Ipo hivi: ‘Divinity’ ni dini, Islam is included in divinity. Sasa unapo singleout kuweka tahasusi yenye Kiislam wakati dini zote zingine unazirundika kwenye divinity inaleta maswali mengi. Lutheran, Anglican, Catholic nk nao wakitaka kuwe na Tahasusi yao, utawapa?In a nutshell, kuweka combination ya Islam wakati kuna divinity it doesn’t make sense.

Islam, Catholic, Lutheran, Bible etc were taught under divinity.Tatizo la watu wetu wanafanya mambo kwa kumfurahisha boss, hawatumii merit kufanya maamuzi na mipango ya nchi. Mbona sioni tahasusi za Catholic, Anglican, Lutheran nk?Watu wamekaa kwenye wizara na vikao wanaona Rais ni Muislam wanaamua kumfurahisha kwa kumpa tasusi za Kiislam. Unfortunately. Sawa na kipindi cha Jiwe hadi wakamjengea mbuga za wanayama na uwanja wa ndege Chato. Futeni hii kitu, sio sahihi na ipo kinyume cha katiba ya nchi.
Kama wameshindwa kusoma elimu Dunia ujinga wao watutolee Tanzania ni Secular Government nadhani hata Hilo pia ni kama ndugu zetu upande wa pili hawakusoma faida zake.. Mambo ya Dini Ni vyema yakatenganishwa na Nchi maana imani tuko nazo nyingi Sana.. na wapagani pia wapo wanaoabudu mizimu n.k

Kitendo cha kuweka Dini Ni kulazimisha watufulani ambao Ni wavivu kusoma wafaulu..

Kama Ni nshu ya nidhamu watume wataalam waende Japan wakaige mbinu za kunyoosha maadili ya watoto wakiwa bado wadogo..
 
Kama wameshindwa kusoma elimu Dunia ujinga wao watutolee Tanzania ni Secular Government nadhani hata Hilo pia ni kama ndugu zetu upande wa pili hawakusoma faida zake.. Mambo ya Dini Ni vyema yakatenganishwa na Nchi maana imani tuko nazo nyingi Sana.. na wapagani pia wapo wanaoabudu mizimu n.k

Kitendo cha kuweka Dini Ni kulazimisha watufulani ambao Ni wavivu kusoma wafaulu..

Kama Ni nshu ya nidhamu watume wataalam waende Japan wakaige mbinu za kunyoosha maadili ya watoto wakiwa bado wadogo..
Tulumlaumu Kapuya na Sarangi lakini huyu wa sasa ndio "rubbish"
 
Kati ya vitu vya kijinga ni hili la dini mashuleni wakati wanasema selikari Haina dini Yani tunawaandaa watoto watatue matatizo Yao kwakufumba macho nakuomba afu tunakuja kusema watoto hawajui hesabu atahangaika kuumiza kichwa wakati ametoka kuambiwa kunakufumba macho tu mambo yanaenda?
 
Safi sana, hiyo ni nzuri sana

Tunataka masomo ya kutuunganisha na sii kututenganisha.

Tena ingefaa masomo yote ya dini yawekwe kwenye somo moja tu mfano FALSAFA YA DINI na anayesoma humo asome vyoote, historia, mapokeo na vitabu vitakatifu vya dini zote. Quran, bible na veda included. Hii ndiyo elimu na sio indoctrination
 
Back
Top Bottom