Mungu wangu duu.ila naona kama umechanganya dozi nyingi sana kuna tatizo kubwa zaidi linalohitaji umakini zaidindugu mimi nateseka sana na hivyo vitu, nimeshasali sana, nimelala na Bible, nimelala huku naskiliza Qur'an, nimelala na mfupa wa nguruwe, nimelala na vitunguu(atleast kinamsaada japo hakijamaliza tatizo),nimelala na masizi, nimesomewa Albadill, hadi nimeenda mara mbili kwa waganga lakini waaapi bado ni mandoto mabaya na kuona maluweluwe usiku, skuizi hata silali mpaka kichwa kinauma, hebu nishauri,.
Anafanyaje Sasa kutoa mapepo ? Au ukishakuwa na vitu hivyo tu basi pepo anacbomoka?Very right namjua jamaa huyo anatumia kitunguu swaumu, mafuta ya zaituni na biblia vinginevyo sijui ila yule jamaa ni priceless lkn sijawahi kusikia kashindwa
Vitu vinavyoweza kufunguka ni kama vipi boss? (Kwa ile ya limao chin ya MTO)?Yeah inaweza kukutokea
Mkuu kwa nini asife?,ikiwa ana uhai[emoji3] [emoji3] [emoji3]hivi mshana utakuja kufa kweli?maana kila kitu unakijua,hongera sana bro!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji106] [emoji106] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Thanks mkuu mshanajr na wadau wote mliojazia nyama kwenye uzii huu.
Naumia sana rohoni kusikia kwamba kuna mtu kila akiamka anatamani malaiki wazime mitandao ya kijamii,maarifa yapatikanayo jf ni zaidi ya vyuoni,sababu hapa jf watu huongea kutokana nu uzoefu wa jambo husika sio zile theory za maprofeseri wetu.
Sasa naanza mkakati wa kuikubalia nafsi yangu ili niwe mbeba mikoba mshanajr[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mshana Jr, nilimaanisha ni vitu vipi vinaweza funguka? Tupe dondoo japo kidogo banaYeah
ndugu mimi nateseka sana na hivyo vitu, nimeshasali sana, nimelala na Bible, nimelala huku naskiliza Qur'an, nimelala na mfupa wa nguruwe, nimelala na vitunguu(atleast kinamsaada japo hakijamaliza tatizo),nimelala na masizi, nimesomewa Albadill, hadi nimeenda mara mbili kwa waganga lakini waaapi bado ni mandoto mabaya na kuona maluweluwe usiku, skuizi hata silali mpaka kichwa kinauma, hebu nishauri,.
hahahahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii ndio nimeprove, kuna kipindi niliona sipigi zile show za fally ipupa, mzee mmoja akanishauri hiyo kitu nilikuwa napiga vipande vyangu kumi kama ni vikubwa , kama ni vile vidogo namenya chote, then natwanga, nachukua na asali vijiko viwili vikubwa na mix na maji moto,,,, hapo ni asubuhi kabla hujapiga hata msawaki, nilifanya hilo zoezi mwezi mzima,, aiseeh baada ya hapo kila show lazima kari la fire lipaki mlangoni[emoji110] [emoji110]
Mkuu mchana sasa huo mchanganyiko huwa unasaidia nnHapana
Sawa ni tiba mbadala, ila huwa husaidia nini zaidTiba mbadala