Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Mungu wangu duu.ila naona kama umechanganya dozi nyingi sana kuna tatizo kubwa zaidi linalohitaji umakini zaidi
 
Very right namjua jamaa huyo anatumia kitunguu swaumu, mafuta ya zaituni na biblia vinginevyo sijui ila yule jamaa ni priceless lkn sijawahi kusikia kashindwa
Anafanyaje Sasa kutoa mapepo ? Au ukishakuwa na vitu hivyo tu basi pepo anacbomoka?
 
Thanks mkuu mshanajr na wadau wote mliojazia nyama kwenye uzii huu.

Naumia sana rohoni kusikia kwamba kuna mtu kila akiamka anatamani malaiki wazime mitandao ya kijamii,maarifa yapatikanayo jf ni zaidi ya vyuoni,sababu hapa jf watu huongea kutokana nu uzoefu wa jambo husika sio zile theory za maprofeseri wetu.

Sasa naanza mkakati wa kuikubalia nafsi yangu ili niwe mbeba mikoba mshanajr[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji106] [emoji106] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Nimechanganya tangawizi swaum asali nakunywa Kama juisi haiwez kuwa sumu mkuu [emoji56][emoji56]
 


Duuuh mkuu hii noma,

Umechanganya vyote hvyo aisee,
 
hahahahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…