Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Mshana ndugu yangu mi kibarua changu ni kusafirisafiri je nikichukua vitunguu swaumu vikubwa kama vitano vikamenywa na kutwangwa,kisha nikachanganya na asali kama vikombe viwili vya chai na ndimu kama tano,alafu nikachukua mchanganyiko huo nikaweka kwenye chupa ili nikisafiri niwe nachukua kiasi nakunywa kwa maji ya moto je kuna ubaya au nisawa tu?
 
Ni sahihi lakini isizidi massa 48,utatengeneza mvinyo mmoja mkali sana
 
Si unaonainatanua mishipa iliyosinyaa?
Unachifanya unachukua asali maji ya moto na kitunguu saumu robo lita ya maji moto kitunguu saumu vipande viwili asali vijiko vitatu daily kwa mwezi mzima
Vipi nikiwa nakatakata vipande vidogo halafu nameza Bila kutafuna?
 
Hayo maji moto ni kiasi gani mkuu
 
Mshan jr. Naomba msaad wako tafadhar nina mama yngu anasumbuliwa san na majini wakati mwingine yanampiga vibao usiku nakumpa vitisho vikali mara kichwa kina muuma mara mapigo ya moyo kwenda mbio yana yanamletea mawenge sana kuna kipindi akienda kwa ustadh anasomewa yanatulia yanachukua muda kurudi sasa afanyeje ili yasimsumbue tena maana ikifika usiku anaogopa hata kulala lzima wazee watie timu kumpa shurba zao na mateso mengine. Asante
 
Pole hiyo nyumba yenu ni lango la shetan naamisha kuna zindiko mliweka la Uganga kulinda nyumba dhidi ya wachawi

Mganga mkuu wa mapepo ni Yesu uamin usiamin Mungu tu hata mimi nahaha na mdogo wangu hapa Vita kunasiku utakubaliana nami
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…