Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #81
Kwa hiyo wewe ushauri wako ni upi mkuu?Models za uchumi tunaosoma haziapply Tanzania. Ndiyo maana tuna wanauchumi waliokalili models za wenzetu mpaka leo wameshindwa kutukwamua kwenye umasikini.
Ushauri mtaala wa elimu uboreshwe kuendana na mazingira yetu.Kwa hiyo wewe ushauri wako ni upi mkuu?
Aliposema hivyo tu nikagundua mleta mada anazipa nafasi sn hear say, ndivyo wanavyoongopeana mitaani kwamba chuo ukimaliza module moja unaachana nayo yn hukutani nayo tena!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna unalojua kuhusu somo la uchumi vyuoni.......
Huwezi kutoboa 'module' ya mbele kama ya nyuma hukumbuki.
Futa hilo wazo la kusema ukisoma semester hii ukafunika ndio basi tena.
Linaanzia kupitia commerce mkuu, ni km Accounting inavyoanzia form one kupitia book keeping.Katika masomo yoooote ya A level, ni economics pekee ndio halianzii kidato cha kwanza. Kwanini?
Hahahahahaaaa, kwaheri mkuu. Hakika sikuwezi kwa ubishiLinaanzia kupitia commerce mkuu, ni km Accounting inavyoanzia form one kupitia book keeping.
Chuo mmesoma nyie mkuu, mimi sijasomaAliposema hivyo tu nikagundua mleta mada anazipa nafasi sn hear say, ndivyo wanavyoongopeana mitaani kwamba chuo ukimaliza module moja unaachana nayo yn hukutani nayo tena!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uongo huu mkuu. Nimesoma ECA mimi ninajua from A to ZLinaanzia kupitia commerce mkuu, ni km Accounting inavyoanzia form one kupitia book keeping.
Tufanye nimekubaliana na justification yako kwa shingo upande, sasa wale wa HGE na EGM wanaisomea wapi hiyo basics?ndani ya commerce kuna economics basics kidato cha pili.
Unaposema "masomo delicate" unakuwa na maana gani?Kuna baadhi ya masomo ni delicate.ndomaana hakuna diploma ya economics tz.
I'll be the last to agree with thishivyo economics inasomwa kupitia commerce.
Vichwa havifanani mkuu. Simple kwako ila ngumu kwa Soldier.economics ni somo simple sana hata kama umelala usingizi unafaulu
Hii chai hii mkuu. Ni kama useme ndani ya Biology kuna Chemistry kwa sababu wanafunzi wanasoma masuala ya "gastric juice"Mkuu kimsingi mwanafunzi anayesoma commerce kuanzia form one mpk form four inatosha kabisa kumuandaa kusoma Economics kwasababu hayo masomo yana uhusiano mkubwa tu, ni km mwanafunzi anayesoma basic math o level zen akaja kusoma pure math advance, basic inampa msingi wa kuja kusoma pure na ndivyo ilivyo kwa commerce inampa msingi wa kusoma Economics japo commerce km commerce nayo ina mapana but mwanafunzi aliyesoma commerce o level anakuwa tayari na knowledge ya Economics at some points, pitia hapa [emoji116][emoji116]
View attachment 1792067
economics is extremely simple even doesnt need prior knowledgeTufanye nimekubaliana na justification yako kwa shingo upande, sasa wale wa HGE na EGM wanaisomea wapi hiyo basics?
Sasa hauoni kuwa wale wa ECA wanakuwa na advantage kubwa sana kuliko hao wa HGE na EGM?economics is extremely simple even doesnt need prior knowledge
Mkuu iko hivi ECA co wanauchumi mkuu wale wanajiandaa na business studies, hata HGE co pure wachumi ila pia hao ECA na HGE wanaweza kuwa wachumi wakifika chuo ila wachumi halisi ni EGM, sema shida ni kwamba inaonekana wewe unachanganya kati ya Economics na business kwakuwa unaona Economics inatokea kwenye combinations za ECA na HGE, ni sawa uchanganye PCM na PCB kisa wote wanasoma Phy lkn malengo yao ni tofauti, kwenye hizo comb mbili yn ECA na EGM misingi yao ni tofauti, ECA msingi wao mkuu ni Accountancy, lkn EGM msingi wao mkuu ni Economics. Ila ukifika chuo hiyo haijalishi kabisa Mana kule wanatumia sn cheti cha advance na o'level.Sasa hauoni kuwa wale wa ECA wanakuwa na advantage kubwa sana kuliko hao wa HGE na EGM?
In short ni kwamba ndani ya commerce hakuna basics za economics ndio maana umeshindwa kujibu swali langu.
Sasa hauoni kuwa wale wa ECA wanakuwa na advantage kubwa sana kuliko hao wa HGE na EGM?
.
Economics is not as simple as you can imagine, it's very complex study usichukulie poa mkuu. Economics haiitaji kumeza inahitaji kuelewa from the scratch cz mna deal na vitu visivyoonekana lkn vyenye uhalisia, mfano unaweza kuta mnafanya biashara inayofanana na mwenzako, ss unakuta mwenzako anauza sn kuliko wewe, sasa hapo unaweza kutumia theories za kiuchumi kupata majibu ya ufanye nini ili demand ya bidhaa yako iwe juu zaidi ya mwenzako.economics is extremely simple even doesnt need prior knowledge
Bisha kwa facts basi km msomi mkuu.Uongo huu mkuu. Nimesoma ECA mimi ninajua from A to Z
Hilo ndilo jambo tunakesha tukimuelewesha humu lkn anasema yeye alisoma ECA na bado hajui hii kitu, kwakweli inashangaza sana.ndani ya commerce kuna economics basics kidato cha pili. yaani theoriea of demand and supply. pia form three kuna finance yaani theory of money. form three pia kuna international trade. form one kuna production.
hivyo economics inasomwa kupitia commerce. after all economics ni somo simple sana hata kama umelala usingizi unafaulu