Somo la uchumi (Economics) linapaswa kufundishwa kuanzia kidato cha kwanza kwa wanafunzi wa mchepuo wa biashara (Bookkeeping/Commerce)

Ss hiyo c ndivyo ilivyo au? We huoni masomo ya sayansi na arts wanafunzi wanasoma yote since form one!? Na hiyo ndiyo maana yake ya kusoma masomo yote.
 
Ss hiyo c ndivyo ilivyo au? We huoni masomo ya sayansi na arts wanafunzi wanasoma yote since form one!? Na hiyo ndiyo maana yake ya kusoma masomo yote.

Sijajua maana sie tumesoma zamani miaka ya 80 ,kwani zamani ukifika form 3 si unachagua mchepuo? Kama sayansi basi unapiga chini masomo ya biashara ,kama biashara unapiga chini masomo ya sayansi kama Arts unapiga chini masomo ya sayansi na biashara,na kwa shule za mikoani kuna somo la kilimo ,dini ni option au imebadilika siku hzi? Kuna masomo ya ziada mengine kama Fine Art ,Computer na French.
 
Hakuna mtu aliesoma finance au bussines administration akaitwa mchumi

Hauwez kuitwa mchumi kama hujasoma module muhimu za uchumi kama econometrics na intermediate macro na micro.huo ndo msingi wa uchumi

Kwa waliosoma uchumi watakuwa wameelewa
Sasa huoni mtoa mada anataja book keeping kwamba ndio masomo ya uchumi,uchumi wa wapi huo?

Uchumi nimesoma vizuri tuu naelewa Sana hizo kozi hasa Econometrics naikubali Sana mambo ya stochastic variables,langrarian multiplier nk..

Econometrics ni kozi muhimu sana kwa ajili ya kupima matokeo ya sera na kutoa muaongozo wa kisera
 
Ni sawa lakini History,na Geography na uchumi wapi na wapi? Hiyo Bam imewekwa kama back up tuu kwa watu wa HGE lakini ni moja ya combination za kijinga na napendekezwa ifutwe.

Ili uwe mzuri kwenye uchumi na mchumi wa ukweli lazima uwe vizuri kwenye mathematics na hapa ni pure mathematics.

Wanataaluma wengi wa uchumi ni watu wa hesabu au Pcm sio HGE sijui vitu gani huko.
 
Kama kuna HGE, kwanini hakuna KGE (Kiswahili, Geography na Economics) au ECB (Economics, Chemistry na Biology) alafu wasome na hiyo BAM?
Ni kweli mkuu ndio maana nikasema HGE ni combination ya hovyo,hakuna correlation ya hayo masomo.

ECA na EGM au natural sciences zina uhusiano hasa kwenye mathematics,na Economics kuanzia Second year kwenda ngazi za Juu ni application kubwa ya Mathematics tena pure sio basic wala BAM
 
Siku moja moja huwa unaongea point kumbe ukiacha upuuzi wa siasa, nimekupa like ya kwanza though [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwamba economics ni ngumu sana mpaka mtu ashindwe kuielewa akifika chuo mkuu.
 
Models za uchumi tunaosoma haziapply Tanzania. Ndiyo maana tuna wanauchumi waliokalili models za wenzetu mpaka leo wameshindwa kutukwamua kwenye umasikini.
Sio haziko applicable unless hujui hizo models ziko kwa ajili ya nini,ulienda kukariri badala ya kusoma.

Kitu gani unadhani ni cha tofauti ambacho hakiwezekani,nitajie nikupe majibu sasa hivi.

Unataka uniambie Tzn hii tukifuata ushauri au nadharia za kiuchumi nchi haitaepukana na umaskini?
 
Aliyesoma somo kwa miaka minne unataka kumlinganisha na yule atakayelisoma kwa miaka miwili tu A level? Unachekesha sasa mkuu
 
Okay
 
Uongo huu
 
Yani unasema ECA ni pure science wakat anasoma BAM aliyo soma uyo uyo mtu wa HGE.mkuu mbona unaongea vapour
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…